Benjamin Netanyahu
JF-Expert Member
- Dec 1, 2014
- 362
- 60
Aguzo la Chama Tawala hahaha wanaenda kununua migrbuka kigoma hao
Mjamaa toka lini akamiliki Hammer?
Nakubaliana na wewe, ukiangalia historia ya dunia ni kwamba
watu hufanya mabadiliko ktk maisha na mazingira wanayoishi kuangalia the past! Yaani kwa kimombo wanasema"The past predict the Future " Ktk historia ya Tanzania, ujamaa ni the Past ambayo ilifeli kuwakomboa wananchi Kiuchumi, elimu na kisayansi. Nakumbuka miaka ya 1980,1981,82 mpaka Kuritire kwa Mwalimu JK, Wananchi tulijipanga kupigiania mahindi ya njano, sukari ilikuwa kama dhahabu, tulifua nguo na maji ya mipapai. Huduma zilipatikana kwa shida ktk mashirika ya umma. Vitu kama TV, gari, friji na vitu kama hivyo, tuliambiwa ni Anasa! Kweli friji au TV au gari ni anasa? Ktk nchi zilizoendelea hivi ni vitu ambavyo ni lazima uwe navyo kukurahisishia maisha. Leo 2015 mtu anakuja anasema kwa akili yake kwamba mimi nataka kuwarudisha ktk siasa ya Ujamaa. Hivi kweli hii inaingia akilini? Sijuhi Zito alikuwa na umri gani kwenye miaka hiyo ya early 1980's but anatakiwa kutambua kuwa watanzania tumesafa chini ya Ujamaa mpaka hata Baba wa Taifa alikubali hilo katika moja ya interview na redio moja ya nje. Mimi kama Mtanzania ningependa kuona wana siasa wanakuwa wakweli kulikoni kuhubiri kitu ambacho tulijaribu na tukashindwa vibaya. Namtakia bwana Zito kila laheri but Ujamaa sio Gia ya kutuambia ktk hii karne ya 21.
Wana Ukumbi,
Kama Watanzania tunataka chama cha siasa chenye nidhamu ya matumizi ya pesa, basi ACT ndio chama sahihi!
Zitto ameendelea kuonyesha tabia yake ya kujali raslimali kwa kuzitumia kwa uangalifu mkubwa huku akifikiria wanyonge wa nchi hii ambao wengi wao wako kijijini.
Katika kutekeleza hilo, Zitto ameamua kufanya ziara za chama hicho (kwa awamu ya pili) kwa kutumia treni kwa kuwa itapita maeneo ambayo ACT imeyakusudia kwa awamu ya pili!
Watanzania, matukio haya ambayo tunayoyaona ndani ya ACT ni ukumbusho wa ujamaa wa Mwalimu wakati wa CCM ile ya enzi za azimio la Arusha.
Unafiki mtupu. Bado tunsmtaka aueleze Imma wa watanzania, ni nani anafadhili hiyo mikutano ya chama chake
Shangingi moja sawa na zahanati nne, maneno ya ya slaa kwenye kampeni 2010,
Baada ya kuingia bungeni kiongozi wa kambi rasimi ya upinzani anatembelea zahanati nne.
Sawapendi chadema ni walaghai, wanafiki, wazandiki, mafisadi, na matapeli wa kisiasa wanasema kile wasichoweza kuishi. Tuwaogope kama ukoma.
Mkombozi wa kweli ni ACT wazalendo wa kweli walioamua kuirudisha nchi yetu kwenye misingi ya mwasisi. Ili kila mwannchi aweze tuweze kugawana kwa usawa keki ya taifa.
Very nyc commentZitto vijana wana bet ili kutoka kimaisha wewe unahubiri Ujamaa? Mafisadi wanaitwa wajanja wewe unahubiri Ujamaa? Umeshiba mema ya nchi kwanza halafu unajificha nyuma ya Ujamaa? Hivi mjamaa unamjua au unawaona watanzania hamnazo nini?
kiufadhili sio tatizo hata wewe unae mfadhili wakounafiki mtupu. Bado tunsmtaka aueleze imma wa watanzania, ni nani anafadhili hiyo mikutano ya chama chake