- Thread starter
- #21
Ni maigizo. Kua kipindi watu walisema helkopta ni aghali na u fulani wa hela, tunaona sasa karibu wote wanaenda huko. Usishangae nae karibuni akapeleka huko huko! Ujamaa wa maigizo hauduma na hasa katika mazingira ya sasa duniani. Hata wachina na watu si hawako huko tena.
Unajua kama kuna rais anatembelea bito wewe?
Huu upuuzi wa kushabikia viongozi kutembelea Ma-V8 unatuumiza sisi wenyewe...halafu wewe badala uwe mmoja wa wanaosupport viongozi wanaojali matumizi ya raslimali...unabaki eti kuponda!?!
Uwa nakuona wa maana sana...ila katika hili uneniangisha mno na nimeanza kukudharau mkuu.
