nkongu ndasu
JF-Expert Member
- Jan 19, 2013
- 22,532
- 6,628
binafsi nampongeza kwa kwenda kwenye jimbo linaloongozwa na ccm. lakini najiuliza je ni kweli kigoma kaskazini hakuna matatizo? ni swali linalopaswa kujibiwa na zitto pamoja na wana kigoma kaskazini wenyewe.