Zitambue 'Code' mbali mbali za Watu wanao Cheat katika Mapenzi

Zitambue 'Code' mbali mbali za Watu wanao Cheat katika Mapenzi

Ukiona hivyo ujue
16230049_242557736154770_5994855333883805696_n.jpg

Hii ni mikwala, anaetakiwa kuheshimu ndoa ni mwanandoa mwenyewe c mimi wa nje, hata mimi nilishacontroll mke wa mtu, nikiwambia leo ucmpe jamaa ili kesho unipe mke anajiuguza, hvo jamaa hapati kitu.
 
Penzi la mchepuko likikolea ujuee ndio mchepukaji anakaribiaa kukamatwa... Mkuu mda wako unahesabikaa.
 
Tupo wengi mkuu usiogope, mi yule mmoja nikisema:- mkuu nipite...... kama jamaa yupo ananijibu tu "hakuna njia"..... kama jamaa yupo lakini tunaweza kuchati ananijibu "pita kwa tahadhari njia sio nzuri"

Yule mwngne code zetu ni:- kaka yake? Kama jamaa yupo ananijibu <=====, kama hayupo ananitumia ======>, yani hadi raha
Utaona raha zaidi siku ukifilwwa baada ya kuwekwa mtu kati!
 
Mwanaume ambaye hajalogwa na ana akili zake timamu hako unakokafanya ni ka kitoto sanaaaa... Sema kwamba jamaa hana time na wife wake by the way ashafanya mpaka amechoka, sasa we jifariji kwamba ni mjanja ila siku akiamua hiyo fanta yenu itakuwa mirinda.

Kwa mfano akianza kutaka kuona txt zinazoingia anaomba simu huoni kama italeta shida hata kama zinafutwa..??

Yeye akisikia mlio au kuona mwanamke anaangalia simu na ku-type kitu anacheki tuu ni SAA ngapi...sasa ole wake asikute text aliyosikia inaingia mda huo. Hapo ndio fanta itageuka Novida.

NB: za mwizi ni arobaini, usipodakwa jua na mkeo nae atatumia code.
Huyu jamaa anajiona mjanja sana sahivi..Bora angekuwa demu wa mtu ila sio mke!
Mwenye mke akitaka kumdaka ni dkk0 tu kwa zama hizi...Yani kwa software ndogo tu anaibug hio simu ya mkewe kwa siku3 tu na atausoma mchezo wote na anamtafuta huyu mbwiga na kumfanya kitu mbaya!
 
Mkuu kumfuatilia mke wa mtu ratiba zake kwa siku ni kitu rahisi sana ,omba sana mungu jamaa aendelee kuamini mke wake hacheat,akimfuatilia tu utanaswa fasta na mapigo yake unayajua,,,,,,,,,,nakushauri achana na wake za watu mkuu !!!!
Mikwara hii.
 
Uzi huu umenithibitishia kuwa kumbe wake za watu wengi wanamegwa. Nami nina post yangu jukwaa la sheria mkuje muweze kunisaidia mawazo.
 
Unajisifia uzinzi roho nyeupeeee! Si ndo nyie mkienda kwa Karumanzila hamuoni hatari kuhadithia. Aibu ndugu yangu.
 
Ipo siku watu wataicrack code ya rinda zako,shauri yako.
 
Huyu jamaa anajiona mjanja sana sahivi..Bora angekuwa demu wa mtu ila sio mke!
Mwenye mke akitaka kumdaka ni dkk0 tu kwa zama hizi...Yani kwa software ndogo tu anaibug hio simu ya mkewe kwa siku3 tu na atausoma mchezo wote na anamtafuta huyu mbwiga na kumfanya kitu mbaya!
Kuna clip moja inamuhusu aone wagoni wanavyonaswa...

Kwa usawa huu pesa ngumu, mfumuko wa bei, ada za watoto, njaa...halafu mtu anafurahia kuchezea familia ya mwenziwe...
 
Swala la Kucheat katika mapenzi suala moja Mtambuka sana! Asilimia 90 ya watu waliopo kwenye mahusiano mmoja wao anacheat! So kugundua kuwa nani anacheat ni kitu kimoja kikubwa sana ambacho kila mtu angependa kukijua!

Kiukweli na kiuhalisia ni rahisi sana kumkamata mwanaume anae cheat lakini sio mwanamke anae cheat! Mwanamke anae cheat kumkamata ni kazi sanaa unless yeye aamue kukonesha kuwa anacheat ili muachane na hii huwa baada ya kuwa amekuchoka au huna vile vitu anavyo vitaka yeye! Mfano maybe huwezi rough sex,or may be huwezi ku act like a man,or may be your not harsh wewe kila kitu ukiambia ni sawa! Na vitu vingine vingi kifupi sio Mbunifu kwenye mahusiano yenu!

Sasa kuna code mbalimbali ambazo mwanamke au mwanaume anazitumia katika kucheat hasa kuwasiliana na yule mtu anae cheat nae! Nitakupeni mfano mmoja wapo!

Mimi sijaoa lakini kuna mke wa mtu alinipenda na nikawa na cheat nae sababu ni kuwa nipo HARSH sana kwenye mapenzi na ni muumini sana wa Rough sex! So kupitia kile alinipenda sanaa hadi kufikia hatua nikawa nina control ndoa yake like leo namwambia sitaki usex na bwana ako basi kweli hata sex nae atamwambia hata tumbo kuwa linauma! Ile kumwambia tuu leo sitaki ufanye hivi japo am wrong lakini nalazimisha my wrong way to be a true way!

Yule mke wa mtu alinipenda sana hadi leo hii....and tukienda kwenye sex nilikuwa so rough...leo kwenye gari,kesho parking kesho kutwa kwenye koshi,mtondogoo hoteli mara chooni so i was so harsh and rough!

Sasa nitafanyaje kuwasiliana nae n huku yeye ana mwanaume na watoto! Yeye akanifundisha na Kunipa CODE ambayo tukawa tunaitumia

Ipo hivi Alisema mimi nikitaka kuchat nae namtumia neno PEPSI yeye akijibu COCA means hapo naweza kuchat nae na kupanga mipango yetu yote baada ya kumaliza ana delete convo imetoka hiyo! So mwanaume wake hata akishika simu hawezi kuona chochote!! Pia nikimtumia neno PEPSI akanijibu FANTA means No chating anymore and we can't chat hapo ujue mwanaume wake yupo so nyeusi inaenda kwa nyeusi! Hivyo hivyo na kwakwe kama yeye anataka kuchat na mimi atanitumia NENO pepsi hapo najua yupo peke ake na ninaweza chat nae!

Nikimtumia neno PEPSI akanijibu PEPSI FANTA! Means jamaa yake yupo lakini tunaweza kuchat haina shida! So ikawa hivyo baada ya kumaliza ana delete hakuna kusave jina wala nini mwanaume wake atakagua hiyo simu haoni kitu!

Sasa Twambie ni CODE GANI WEWE unayo ifahamu ambazo zinatumika kwa watu wano cheat mimi na ifahamu hiyo ya PEPSI FANTA COCA wewe je?
Kamwe usimuamini mwanamke mkuu...utaingia mkenge muda si mrefu mwanaume ni mfano wa Mungu......
 
mimi huwa namtumia neno 'ulanzi' akijibu 'ugimbi' jua yupo ready kuchati ila akijibu 'komoni' ujue access denied BUT akijibu 'ugimbi komoni' hapo ujue ni handle with care...
 
mbegu uliyoipanda matunda yake utayala tu jua na wa kwako lazima utamegewa tu.
 
Back
Top Bottom