Numbisa
JF-Expert Member
- Dec 12, 2016
- 348,112
- 1,249,111
PINGU WANZUKI
CHIBUKU CHIMPUMU,
CHIBUKU CHIMPUMU,
halafu uache kunywa pingu shaur yakoPINGU WANZUKI
halafu uache kunywa pingu shaur yako
tatzo lako ukishazima akili zikikurudia unasahau yanayokukutaIna nn kwan?
tatzo lako ukishazima akili zikikurudia unasahau yanayokukuta
ha ah ha ha ha ha jiandae next time nakurecordHahaha ndio safi,kusahaulisha matatizo kwa muda
ha ah ha ha ha ha jiandae next time nakurecord
ujifiche wakat muda huo hujitambuiHahahaha ntajificha
Acha mikwala, wake za watu kubambanjuliwa ni kawaida sana.Ngoja unaswe ndio utazijua hizo code vizuri.
In life....never under rate any man as long he is the same man like you.
Laiti ungejua na yeye anatumia code gani usingethubutu kuendelea na huyo Mke wake.
Ni suala la muda tu, hakika utakuja kunaswa tena kirahisi mno wala hutaamini.
Hii ni mikwala, anaetakiwa kuheshimu ndoa ni mwanandoa mwenyewe c mimi wa nje, hata mimi nilishacontroll mke wa mtu, nikiwambia leo ucmpe jamaa ili kesho unipe mke anajiuguza, hvo jamaa hapati kitu.Mwanaume mwenye akili hawezi kujivunia kuharibu ndoa ya mwanaume mwenzie tena iliyomgharimu mambo mengi kuiimarisha.Huyu jamaa ana sifa za kijinga na ni mpuuzi.Heshimu ndoa ya mwenzio.
Acha mikwala wewe....!!wenzako walitengeeza code leo tunafurahia mitandao ya kijamii na app kibao ww mbulula unatengeneza code za kuangamiza familia za watu alafu unategemea mvua itanyesha
Wewe umeongea kitu mkuu.Mwanaume au mwanamke,kutoka nje ya ndoa HAWEZI KUKOSA SABABU. Kwahio si kila mwanamke au mwanaume anayechiti kwamba kuna vitu anavikosa kwa mkewe/mumewe,ila HUO NI UONGO WANAOUTOA KWA WALE WANAOCHITI NAO,ILI WAO WAJIONE NI WAJUZI KULIKO MKE/MUME WAKE.Kwahio rekebisha kauli sio kila mke wa mtu anayekupa penzi ukayaamini maneno yake,wewe kama umeamua kupiga piga tu,ila usidhani hizo ndio sababu,na pengine hauko peke yako ktk anaochiti nao.