Zitambue 'Code' mbali mbali za Watu wanao Cheat katika Mapenzi

Zitambue 'Code' mbali mbali za Watu wanao Cheat katika Mapenzi

Acha usenge bro kwani wanawake wengine hujawaona mpaka uchukue wake za watu? moja ya vitu ambavyo sijawahi kufikiria ni kugonga mke wa mtu kwanza nahisigi hadi kinyaaa we mademu kibao unaweza ukawachukua hadi kwa mafungu we unang'ang'ania mke wa mtu ngoja siku ufumuliwe malinda ndio utajua hizo code zako zinaweza kufungua hata puru yako
 
Acha usenge bro kwani wanawake wengine hujawaona mpaka uchukue wake za watu? moja ya vitu ambavyo sijawahi kufikiria ni kugonga mke wa mtu kwanza nahisigi hadi kinyaaa we mademu kibao unaweza ukawachukua hadi kwa mafungu we unang'ang'ania mke wa mtu ngoja siku ufumuliwe malinda ndio utajua hizo code zako zinaweza kufungua hata puru yako
Usiwagonge ama uwagonge, ujue wewe utagongewa tu.
 
Wanawake hawana formula hawajui wanataka nini mpaka saa hii ikilijua hilo uwez pata shida
 
Haya mambo ya sirini anayaweza paka tu,lakini pamoja na usiri wa paka binadam alifanikiwa kuijua siri yao,sembuse wewe jitu zima unayeishi na watu?tambua ya kwamba hakuna siri ya watu wawili kwanza we mwenyewe umeivujisha hapa hiyo siri yenu, usijeshangaa siku moja unaokotwa mtaroni ukiwa ume.fir.wa
 
Hahahahaaaa.....

Umenikumbusha hii soda aisee......

Halafu wewe nawe siku hizi kwanini huvai yale malapa yako ya Skywei?
Si umeninunulia raba za loso au umeshasahau?
 
And you call yourself a man.

A real man gets his own woman and gives her the time of her life.
 
Nilikuwa nakutafuta cku nyng kumbe Ww ndo unakula mama watoto yangu, jaman naua .
 
Nimefuatilia comment za huu uzi wanaume wameumia mbona nyie kutwa kucha mnachit
 
Utakapofumwa utainamishwa na njemba wala ky hutapakwa utafi..a kavukavu Malaya unayeharibu ndoa za watu wewe.
 
Ivi umelelewa vzuri wewe mtoa post!? Unaona sifa kutoka na mke wa mwanaume mwenzio!!!? Jinga sana, subiri wa kwako nae atatafunwa tena hadharani, malipo hapahapa duniani
 
Katika vitu ambavyo navikimbia kama ukoma ni MKE WA MTU!
 
We ngoja siku umetext PEPSI unashangaa jibu lake ni. SHUWAINI BASTAD MKUBWA WEWE NAKUJA KUKUKULA KIBOGA.
 
Ngoja ukutwe, hata hivyo kuna watu hawana muda wa kutaka kujua lolote kuhusu mwanamke Malaya, hupunguza ufanisi na huleta umasikini, kama umepata janamke kahaba ni kumwomba Mungu umfume Siku moja na kupiga chini fasta. Binafsi sina muda wa kumfatilia mwanamke.
 
Back
Top Bottom