Zitambue 'Code' mbali mbali za Watu wanao Cheat katika Mapenzi

Zitambue 'Code' mbali mbali za Watu wanao Cheat katika Mapenzi

Code sio ipo siku utafundishwa code za ndoa.
 
ukimgongea mwenzako na ww kuwa mpoke wako akigongwa malipo ni hapahapa dunian
 
Mkuu kumfuatilia mke wa mtu ratiba zake kwa siku ni kitu rahisi sana ,omba sana mungu jamaa aendelee kuamini mke wake hacheat,akimfuatilia tu utanaswa fasta na mapigo yake unayajua,,,,,,,,,,nakushauri achana na wake za watu mkuu !!!!
 
Kuna vitu wanaume wengi tunafanya na tunajua deep inside kuwa ni makosa.

Kwa kufahamu kuwa ni makosa mbele ya jamii na ya Kanisa unaviacha, ukishindwa kabisa unavifanya ufichoni na hautakaa hata siku moja kuhadithia yeyote even under penname.

Ndugu yangu unachofanya hapa ni kujidhalilisha na kutudhalilisha wanaume. Hauwezi jisifu kutembea na mke wa mtu hata siku moja, unajisifu KUOA tu. Mengine ni siri yako.

Mkeo kuliwa ataliwa tu. Lakini je ataliwajeliwaje?
1. Ataliwa kimya kimya usijue upate amani?
2. Au ataliwa na fala kama wewe kwa matangazo, usimuliwe anavyoinamishwa na kumezeshwa Drill?

Nenda Kachukue Matokeo Yako Nasikia NECTA wametoa jana.
 
Yule mke wa mtu alinipenda sana hadi leo hii....and tukienda kwenye sex nilikuwa so rough...leo kwenye gari,kesho parking kesho kutwa kwenye koshi,mtondogoo hoteli mara chooni so i was so harsh and rough!

KWA NINI USIMCHUKUE HUYO MWANAMKE UISHI NAE MAANA MKO COMPATIBLE
 
Swala la Kucheat katika mapenzi suala moja Mtambuka sana! Asilimia 90 ya watu waliopo kwenye mahusiano mmoja wao anacheat! So kugundua kuwa nani anacheat ni kitu kimoja kikubwa sana ambacho kila mtu angependa kukijua!

Kiukweli na kiuhalisia ni rahisi sana kumkamata mwanaume anae cheat lakini sio mwanamke anae cheat! Mwanamke anae cheat kumkamata ni kazi sanaa unless yeye aamue kukonesha kuwa anacheat ili muachane na hii huwa baada ya kuwa amekuchoka au huna vile vitu anavyo vitaka yeye! Mfano maybe huwezi rough sex,or may be huwezi ku act like a man,or may be your not harsh wewe kila kitu ukiambia ni sawa! Na vitu vingine vingi kifupi sio Mbunifu kwenye mahusiano yenu!

Sasa kuna code mbalimbali ambazo mwanamke au mwanaume anazitumia katika kucheat hasa kuwasiliana na yule mtu anae cheat nae! Nitakupeni mfano mmoja wapo!

Mimi sijaoa lakini kuna mke wa mtu alinipenda na nikawa na cheat nae sababu ni kuwa nipo HARSH sana kwenye mapenzi na ni muumini sana wa Rough sex! So kupitia kile alinipenda sanaa hadi kufikia hatua nikawa nina control ndoa yake like leo namwambia sitaki usex na bwana ako basi kweli hata sex nae atamwambia hata tumbo kuwa linauma! Ile kumwambia tuu leo sitaki ufanye hivi japo am wrong lakini nalazimisha my wrong way to be a true way!

Yule mke wa mtu alinipenda sana hadi leo hii....and tukienda kwenye sex nilikuwa so rough...leo kwenye gari,kesho parking kesho kutwa kwenye koshi,mtondogoo hoteli mara chooni so i was so harsh and rough!

Sasa nitafanyaje kuwasiliana nae n huku yeye ana mwanaume na watoto! Yeye akanifundisha na Kunipa CODE ambayo tukawa tunaitumia

Ipo hivi Alisema mimi nikitaka kuchat nae namtumia neno PEPSI yeye akijibu COCA means hapo naweza kuchat nae na kupanga mipango yetu yote baada ya kumaliza ana delete convo imetoka hiyo! So mwanaume wake hata akishika simu hawezi kuona chochote!! Pia nikimtumia neno PEPSI akanijibu FANTA means No chating anymore and we can't chat hapo ujue mwanaume wake yupo so nyeusi inaenda kwa nyeusi! Hivyo hivyo na kwakwe kama yeye anataka kuchat na mimi atanitumia NENO pepsi hapo najua yupo peke ake na ninaweza chat nae!

Nikimtumia neno PEPSI akanijibu PEPSI FANTA! Means jamaa yake yupo lakini tunaweza kuchat haina shida! So ikawa hivyo baada ya kumaliza ana delete hakuna kusave jina wala nini mwanaume wake atakagua hiyo simu haoni kitu!

Sasa Twambie ni CODE GANI WEWE unayo ifahamu ambazo zinatumika kwa watu wano cheat mimi na ifahamu hiyo ya PEPSI FANTA COCA wewe je?
NJOO KWANGU NIKUKATE IYO DUSHE?
 
Swala la Kucheat katika mapenzi suala moja Mtambuka sana! Asilimia 90 ya watu waliopo kwenye mahusiano mmoja wao anacheat! So kugundua kuwa nani anacheat ni kitu kimoja kikubwa sana ambacho kila mtu angependa kukijua!

Kiukweli na kiuhalisia ni rahisi sana kumkamata mwanaume anae cheat lakini sio mwanamke anae cheat! Mwanamke anae cheat kumkamata ni kazi sanaa unless yeye aamue kukonesha kuwa anacheat ili muachane na hii huwa baada ya kuwa amekuchoka au huna vile vitu anavyo vitaka yeye! Mfano maybe huwezi rough sex,or may be huwezi ku act like a man,or may be your not harsh wewe kila kitu ukiambia ni sawa! Na vitu vingine vingi kifupi sio Mbunifu kwenye mahusiano yenu!

Sasa kuna code mbalimbali ambazo mwanamke au mwanaume anazitumia katika kucheat hasa kuwasiliana na yule mtu anae cheat nae! Nitakupeni mfano mmoja wapo!

Mimi sijaoa lakini kuna mke wa mtu alinipenda na nikawa na cheat nae sababu ni kuwa nipo HARSH sana kwenye mapenzi na ni muumini sana wa Rough sex! So kupitia kile alinipenda sanaa hadi kufikia hatua nikawa nina control ndoa yake like leo namwambia sitaki usex na bwana ako basi kweli hata sex nae atamwambia hata tumbo kuwa linauma! Ile kumwambia tuu leo sitaki ufanye hivi japo am wrong lakini nalazimisha my wrong way to be a true way!

Yule mke wa mtu alinipenda sana hadi leo hii....and tukienda kwenye sex nilikuwa so rough...leo kwenye gari,kesho parking kesho kutwa kwenye koshi,mtondogoo hoteli mara chooni so i was so harsh and rough!

Sasa nitafanyaje kuwasiliana nae n huku yeye ana mwanaume na watoto! Yeye akanifundisha na Kunipa CODE ambayo tukawa tunaitumia

Ipo hivi Alisema mimi nikitaka kuchat nae namtumia neno PEPSI yeye akijibu COCA means hapo naweza kuchat nae na kupanga mipango yetu yote baada ya kumaliza ana delete convo imetoka hiyo! So mwanaume wake hata akishika simu hawezi kuona chochote!! Pia nikimtumia neno PEPSI akanijibu FANTA means No chating anymore and we can't chat hapo ujue mwanaume wake yupo so nyeusi inaenda kwa nyeusi! Hivyo hivyo na kwakwe kama yeye anataka kuchat na mimi atanitumia NENO pepsi hapo najua yupo peke ake na ninaweza chat nae!

Nikimtumia neno PEPSI akanijibu PEPSI FANTA! Means jamaa yake yupo lakini tunaweza kuchat haina shida! So ikawa hivyo baada ya kumaliza ana delete hakuna kusave jina wala nini mwanaume wake atakagua hiyo simu haoni kitu!

Sasa Twambie ni CODE GANI WEWE unayo ifahamu ambazo zinatumika kwa watu wano cheat mimi na ifahamu hiyo ya PEPSI FANTA COCA wewe je?
Mbona huongelei ulivyodakwa ukazibuliwa mtaro?
 
05 akisema 5 tunachat, akisema 0 hatuchat
 
Nikituma 2020 akijibu lowasa Basi huwa tunachati

Lakini Nikituma 2020 akijibu yohana Basi huwa hatuendelei kuchati
 
mm huwa namuita dada na kwenye simu yake kanisave mdogo wangu nikitaka kuchati nae au kumuita ili nimgegede huwa namsalimia shikamoo dada habari za huko, vip wakina anko wazima msalimie na shemeji basi yeye atanijibu anko zako wazima na shemeji yako yuko hapa mzima, akijibu hivyo ndio mwisho wa conersation na kama jamaa hayupo huwa najibu anko zako wazima ila shemeji yako hayupo.
alafu jamani penzi la kuiba tamu
 
Walaaaa! Shida yote yanini kuishi na wasiwasi Muda wote!! Mi namtulizia mmoja tu
Ewalaa!! Hayo ndio mambo, kisa cha kuishi kama unaoga njia panda ili iweje!! Muda wa kukaa ufikirie ya maana unafikiria codes za kuchepuka!! Waii!!!
 
Back
Top Bottom