Zitambue 'Code' mbali mbali za Watu wanao Cheat katika Mapenzi

Zitambue 'Code' mbali mbali za Watu wanao Cheat katika Mapenzi

mimi huwa namtumia neno 'ulanzi' akijibu 'ugimbi' jua yupo ready kuchati ila akijibu 'komoni' ujue access denied BUT akijibu 'ugimbi komoni' hapo ujue ni handle with care...
 
Endeleeni kucheat wanawane kila la heri na hongereni "wachitaji" wote out there.
 
Ngoja unaswe ndio utazijua hizo code vizuri.

In life....never under rate any man as long he is the same man like you.

Laiti ungejua na yeye anatumia code gani usingethubutu kuendelea na huyo Mke wake.

Ni suala la muda tu, hakika utakuja kunaswa tena kirahisi mno wala hutaamini.
Dah Mkuu umetisha mbaya....ila kweli wacha wamshike halafu tuone hizo code
 
wenzako walitengeeza code leo tunafurahia mitandao ya kijamii na app kibao ww mbulula unatengeneza code za kuangamiza familia za watu alafu unategemea mvua itanyesha
Dah, mwenzake walipasua vichwa kutengeneza codes hadi leo tunawasiliana kirahisi, yeye amebuni codes za FANTA vs COCA ili atafune mke wa mtu.

Nchi imeoza toka juu hadi chini aisee.
 
English-Physics....tusichat
English-Maths....tuchat
English-PM...tuchat but not much in deep
 
Neeema... Nestrooy
Halimaa...Aliance
Jack......Jock.. Majinaa ndoo yanaseviwaa namnaa hiyoo tukishamaliza kuchat nafutaa no code..
 
Hahaha nilitumia Majina ya wahasimu waliotoka chama kimoja na kuwania nafasi ya ukulu wa nchi. Nimecheka sana utadhani unanizungumzia mimi
 
Usiusemee moyo...eti unakontroo ndoa yake chaaa.. Hii overconfidence itakuponza cku moja
 
Utakua umefikisha siku 38,bado moja ya 39 then unakamatwa na utalipa 0713
 
Mimi nikitaka kucheat na mpenzi wako huwa namwambia "nafwaa" maana yake nina njaa.. yeye akijibu "nafwaa" basi mtanange unashika kasi... Ila akijibu ya ya ya nana bhaghosha.... hapo anamaanisha kuwa haitawezekana
 
Dah mm nakumbuka kitambo nilikuwa natembea na mtu na mdogo wake na simu walikuwa wanatumia moja na siku moja dada mtu alishitukia kuwa natoka na mdogo wake so akanibana nikakataa kata kata akasema atafanya uchunguzi
Nilipokutana na mdogo wake baadae nikamwambia cc wako ameshitukia na anafanya uchuguzi so kama vp tuachane kwanza coz akijua itakuwa noma dogo akakataa akasema hatuwezi kuachana nifanye ninavyojua lakni tusiachane duh mtiani kwangu ni kuwa dogo nilkuwa nampenda kuliko dada yake japo nilianza na dada yake

Nikawaza cha kufanya nikamwambia sasa kwa vile mnatumia simu moja yani simu ya dada yake ndo dogo anatumia na yeye sasa ww inabidi kabla ya kunipigia utume msg kwanza na kwenye msg andika namba hz tu 7005 na kama utasahau ukituma msg yeyote mm nitajibu kwa kukuandikia neno password ? andika hzo namba ndo ntajua ni ww usipo andika nikikuuliza zaid ya mala 3 password usipo andika hyo namba nitajua si ww na kama utajisahau kunipigia bila ya kuanza na kuandika hzo namba nitakata ukipiga tena nakata nakuandikia msg neno password ukipiga tena napokea coz ntajua si ww ni cc wako bhasi ndo ikawa mchezo wetu

Siku zikapita nikaona na sister wake na yeye nimpe namba kama nilivyompa dogo wake nikamwambia unajua kuna siku nimepigiwa simu na namba yako napokea nasikia upande wa pili anaongea mama yako so inawezekana mom wako ameshashtukia akasema dah inawezekana dogo ndo kauza ramani ya vita moyoni nikasema yes bila kuchelewa na yeye nikampa password yy nikampa 5007 so nkawa nikiona 7005 najua ni dogo huyu nikiona 5007 najua dada mtu huyu bhasi nikawanajifaidia ufalme wangu mpaka nilipokuja kuondoka nchi ile
 
Back
Top Bottom