Zipi tamu na chungu za ndoa?

Zipi tamu na chungu za ndoa?

Ndoa ni makubaliano ya watu wawili mme na mke wenye akili timamu wanapoamua kuishi pamoja kwa makubaliano ya kimila, kidini au kiserikali
-mke na mme wakikubaliana, huwa hakuna chungu bali huwa kuna tamu na changamoto tu na si chungu.

lakini mmoja akiwa shetani au wote mkawa mashetani/vichaa hakuna rangi ya chungu utaacha ona. maana hyo haitakuwa ndoa tena
 
Kama umeamua kuoa wewe oa Tu, Kila mmoja ana chungu na tamu zake za ndoa, mara nyingi huwa hatufanani na hutegemea na mke uliyempata alivyo, elimu Yake, alipotoka, mazingira aliyolelewa na kukutana nayo ukubwani,dini Yake na vitu vingine vingi vinavyohusiana na mtazamo wake kuhusu maisha...Hivyo basi cha msingi ni kuoa mtu unaeendana nae Kwa vitu kadhaa vingine inabidi mvumiliane, je wewe unataka mke wa Aina gani?, je wewe ni Liberal au Pure conservative au ni mixed?
 
sasa mie mwenzenu na miaka 45 sina mke,sina watoto na sina mchumba.Tatizo langu naogopa watoto wakike.Na tangu kuzaliwa kwangu sijawai kuwa na demu wala kupanda jukwaan.sijui tatizo langu ni lipi?Naomben ushauri wenu wakuu
 
sasa mie mwenzenu na miaka 45 sina mke,sina watoto na sina mchumba.Tatizo langu naogopa watoto wakike.Na tangu kuzaliwa kwangu sijawai kuwa na demu wala kupanda jukwaan.sijui tatizo langu ni lipi?Naomben ushauri wenu wakuu
Huna tatizo baki hivyo hivyo hakuna tabu
 
Kila kitu ninkizuri ndani ya ndoa mpaka siku utakapoogopa kurudi nyumbani
 
Back
Top Bottom