Swali najiuliza Je, NDOA ni CHUNGU au TAMU?!!

Mr George Francis

Senior Member
Jun 27, 2022
186
212
Bado najiuliza, Je, NDOA ni TAMU au CHUNGU ?!!

Ni swali ambalo walio nje ya ndoa wanajiuliza kila siku, lakini hata walio ndani ya ndoa nao bado hawana majibu yaliyokamilika.

•Kuna watu wamepoteza maisha yao kwasababu ya NDOA, kutokana na vipigo na manyanyaso yaliyopitiliza na wengine wamejiua wenyewe baada ya kushindwa kuhimili changamoto za ndani ya NDOA.

•Kuna watu wamepata ulemavu wa maisha kwasababu ya NDOA. Kuna wengine wamepoteza ujasiri wa kupambana na maisha kwasababu ya NDOA.

•Kuna watu wamefirisika kwasababu ya NDOA kutokana na tabia hatarishi kiuchumi za upande wa pili. Na wengine wameacha au kupoteza kazi kwasababu ya kutumikia NDOA.

•Kuna watu walikuwa na ndoto kubwa za maisha lakini ndoto zao zilidumaa na hatimae kufa kabisa baada ya kuingia kwenye NDOA kutokana na kukosa uhuru wa kufukuzia ndoto zao.

•Kuna watu hivi sasa wapo hospitali kwaajili ya kujiuguza presha, kisukari na madonda yaliyotokana na NDOA.

•Kuna watu wapo Mahakamani muda huu na Mahakama imeshindwa kabisa kuwapatanisha, ugomvi ni mzito sana na hakuna anayetamani tena kubaki kwenye NDOA.

Bado najiuliza, Je! NDOA ni CHUNGU au TAMU?!!!

Lakini wakati wengine hawaitaki NDOA, wapo wengine wanaitaka NDOA hata leo hii na wengine wapo kwenye mipango ya NDOA na wengine wapo kwenye NDOA kitambo tu na wanaifurahia NDOA.

•Kuna watu wameokoa maisha yao kwasababu ya NDOA. Na wengine wamepona magonjwa kwasababu ya NDOA.

•Kuna watu wametajirika na wanaendelea kuimarika kiuchumi na maisha yao ni mazuri sana kwasababu ya NDOA.

•Kuna watu wamefanikisha ndoto zao kwasababu ya NDOA. Na wengine wanaendelea kuishi maisha ya ndoto zao kwasababu ya NDOA.

•Kuna watu wamepata furaha waliyoikosa kwenye maisha yao miaka mingi, lakini baada ya kuingia kwenye NDOA hadi sasa mambo ni murua na furaha tele kwasababu ya NDOA.

Bado najiuliza, Je, NDOA ni CHUNGU au TAMU?!!


Naomba majibu tafadhali!!
Kwa upande wako unaonaje.! Ni kwanini unataka kuingia kwenye NDOA, kwanini mpaka sasa upo kwenye NDOA, kwanini unataka kutoka kwenye NDOA na kwanini umetoka kwenye NDOA.

Naomba majibu tafadhali!! Je NDOA ni CHUNGU au TAMU.?!!

#No_Learning_No_Earning
So we have to Learn.

NAME: Mr George Francis
A Lawyer & LifeCoach
📩 mr.georgefrancis21@gmail.com
IMG_20231122_134808_959.jpg
 
Ndoa kwamaana halisi ni tamu sana yaani unafall in love na unadumu nae kwa maisha yako yote ni furaha sana, uko huru kwenda nae kokote na hakuna swali wala dodoso hakuna kitu kizuri kama hicho.
 
Ndoa ni tamu sana.

1. Kama wanandoa mnapendana kwa dhati.

2. Hela iwepo. Kipato halali cha kuendeshea maisha kupatikana kwa uhakika... stress za gharama za maisha zisiwepo kwenye ndoa hiyo.


3. Familia wanazotoka wanandoa ziwe zinajitambua kiuchumi wasiwe tegemezi kwa mwanandoa yoyote.. na pia ziwe zinajitambua kwa kujua mipaka yao kwenye ndoa za vijana wao.

4. Wana ndoa na waliowazunguka wana ndoa wasiwe na imani za ajabu ajabu. Kama kuamini ushirikina ama kuamini mambo ya diniii sana... imani kwenye uhalisia iwe kubwa kuliko imani ya vitu vya kufikirika


Nje ya hapo ndoa ni mkataba mgumu sana
 
Kataa NDOA

NDOA ni utapeli mamboleo

NDOA ni chanzo cha mapato cha mwanamke.

NDOA ni kiini macho

NDOA ni utumwa

NDOA ni unyonyaji wa mwanamke kwa Mwanaume

NDOA ni ndoano
 
Bado najiuliza, Je, NDOA ni TAMU au CHUNGU ?!!

Ni swali ambalo walio nje ya ndoa wanajiuliza kila siku, lakini hata walio ndani ya ndoa nao bado hawana majibu yaliyokamilika.

•Kuna watu wamepoteza maisha yao kwasababu ya NDOA, kutokana na vipigo na manyanyaso yaliyopitiliza na wengine wamejiua wenyewe baada ya kushindwa kuhimili changamoto za ndani ya NDOA.

•Kuna watu wamepata ulemavu wa maisha kwasababu ya NDOA. Kuna wengine wamepoteza ujasiri wa kupambana na maisha kwasababu ya NDOA.

•Kuna watu wamefirisika kwasababu ya NDOA kutokana na tabia hatarishi kiuchumi za upande wa pili. Na wengine wameacha au kupoteza kazi kwasababu ya kutumikia NDOA.

•Kuna watu walikuwa na ndoto kubwa za maisha lakini ndoto zao zilidumaa na hatimae kufa kabisa baada ya kuingia kwenye NDOA kutokana na kukosa uhuru wa kufukuzia ndoto zao.

•Kuna watu hivi sasa wapo hospitali kwaajili ya kujiuguza presha, kisukari na madonda yaliyotokana na NDOA.

•Kuna watu wapo Mahakamani muda huu na Mahakama imeshindwa kabisa kuwapatanisha, ugomvi ni mzito sana na hakuna anayetamani tena kubaki kwenye NDOA.

Bado najiuliza, Je! NDOA ni CHUNGU au TAMU?!!!

Lakini wakati wengine hawaitaki NDOA, wapo wengine wanaitaka NDOA hata leo hii na wengine wapo kwenye mipango ya NDOA na wengine wapo kwenye NDOA kitambo tu na wanaifurahia NDOA.

•Kuna watu wameokoa maisha yao kwasababu ya NDOA. Na wengine wamepona magonjwa kwasababu ya NDOA.

•Kuna watu wametajirika na wanaendelea kuimarika kiuchumi na maisha yao ni mazuri sana kwasababu ya NDOA.

•Kuna watu wamefanikisha ndoto zao kwasababu ya NDOA. Na wengine wanaendelea kuishi maisha ya ndoto zao kwasababu ya NDOA.

•Kuna watu wamepata furaha waliyoikosa kwenye maisha yao miaka mingi, lakini baada ya kuingia kwenye NDOA hadi sasa mambo ni murua na furaha tele kwasababu ya NDOA.

Bado najiuliza, Je, NDOA ni CHUNGU au TAMU?!!


Naomba majibu tafadhali!!
Kwa upande wako unaonaje.! Ni kwanini unataka kuingia kwenye NDOA, kwanini mpaka sasa upo kwenye NDOA, kwanini unataka kutoka kwenye NDOA na kwanini umetoka kwenye NDOA.

Naomba majibu tafadhali!! Je NDOA ni CHUNGU au TAMU.?!!

#No_Learning_No_Earning
So we have to Learn.

NAME: Mr George Francis
A Lawyer & LifeCoach
📩 mr.georgefrancis21@gmail.comView attachment 2821644
Ni tamu sana ikiwa una uelewa na ufahamu wa kutosha, kuhusu ndoa. Na ikiwa umechochewa na upendo wa dhati wa ki-Mungu kuoa. Hapo bila shaka uchungu, uchachu, ugumu, urahisi vyote utaviona vitamu sana na ni vya kawaida.

Lakini ni chungu kama shubiri ikiwa umechochewa kuona kwa tamaa za kimwili, sura, au fedha. Na usipokua na ufahamu na uelewa wa kutosha juu ya ndoa basi utaiona ni mzigo mzito, karaha na majuto sana. Itakua ni uwanja wa mafarakana, mapigana , vita na uharibifu.

Tumuombe Mungu atujalie kushinda vishawishi na vichocheo vya kimwili vinavyotushurutisha kuoa wasio wetu, bali tuchochewe na upendo wa dhati wa Mungu, ili hatimae tukafunge ndoa za amani, utulivu na walio wetu na kufurahia neema na baraka za wototo na familia yenye upendo na maelewano.
Aimen.
 
Bado najiuliza, Je, NDOA ni TAMU au CHUNGU ?!!

Ni swali ambalo walio nje ya ndoa wanajiuliza kila siku, lakini hata walio ndani ya ndoa nao bado hawana majibu yaliyokamilika.

•Kuna watu wamepoteza maisha yao kwasababu ya NDOA, kutokana na vipigo na manyanyaso yaliyopitiliza na wengine wamejiua wenyewe baada ya kushindwa kuhimili changamoto za ndani ya NDOA.

•Kuna watu wamepata ulemavu wa maisha kwasababu ya NDOA. Kuna wengine wamepoteza ujasiri wa kupambana na maisha kwasababu ya NDOA.

•Kuna watu wamefirisika kwasababu ya NDOA kutokana na tabia hatarishi kiuchumi za upande wa pili. Na wengine wameacha au kupoteza kazi kwasababu ya kutumikia NDOA.

•Kuna watu walikuwa na ndoto kubwa za maisha lakini ndoto zao zilidumaa na hatimae kufa kabisa baada ya kuingia kwenye NDOA kutokana na kukosa uhuru wa kufukuzia ndoto zao.

•Kuna watu hivi sasa wapo hospitali kwaajili ya kujiuguza presha, kisukari na madonda yaliyotokana na NDOA.

•Kuna watu wapo Mahakamani muda huu na Mahakama imeshindwa kabisa kuwapatanisha, ugomvi ni mzito sana na hakuna anayetamani tena kubaki kwenye NDOA.

Bado najiuliza, Je! NDOA ni CHUNGU au TAMU?!!!

Lakini wakati wengine hawaitaki NDOA, wapo wengine wanaitaka NDOA hata leo hii na wengine wapo kwenye mipango ya NDOA na wengine wapo kwenye NDOA kitambo tu na wanaifurahia NDOA.

•Kuna watu wameokoa maisha yao kwasababu ya NDOA. Na wengine wamepona magonjwa kwasababu ya NDOA.

•Kuna watu wametajirika na wanaendelea kuimarika kiuchumi na maisha yao ni mazuri sana kwasababu ya NDOA.

•Kuna watu wamefanikisha ndoto zao kwasababu ya NDOA. Na wengine wanaendelea kuishi maisha ya ndoto zao kwasababu ya NDOA.

•Kuna watu wamepata furaha waliyoikosa kwenye maisha yao miaka mingi, lakini baada ya kuingia kwenye NDOA hadi sasa mambo ni murua na furaha tele kwasababu ya NDOA.

Bado najiuliza, Je, NDOA ni CHUNGU au TAMU?!!


Naomba majibu tafadhali!!
Kwa upande wako unaonaje.! Ni kwanini unataka kuingia kwenye NDOA, kwanini mpaka sasa upo kwenye NDOA, kwanini unataka kutoka kwenye NDOA na kwanini umetoka kwenye NDOA.

Naomba majibu tafadhali!! Je NDOA ni CHUNGU au TAMU.?!!

#No_Learning_No_Earning
So we have to Learn.

NAME: Mr George Francis
A Lawyer & LifeCoach
📩 mr.georgefrancis21@gmail.comView attachment 2821644
Inategemea na akili,ufahamu na roho za wahusika.
 
Bado najiuliza, Je, NDOA ni TAMU au CHUNGU ?!!

Ni swali ambalo walio nje ya ndoa wanajiuliza kila siku, lakini hata walio ndani ya ndoa nao bado hawana majibu yaliyokamilika.

•Kuna watu wamepoteza maisha yao kwasababu ya NDOA, kutokana na vipigo na manyanyaso yaliyopitiliza na wengine wamejiua wenyewe baada ya kushindwa kuhimili changamoto za ndani ya NDOA.

•Kuna watu wamepata ulemavu wa maisha kwasababu ya NDOA. Kuna wengine wamepoteza ujasiri wa kupambana na maisha kwasababu ya NDOA.

•Kuna watu wamefirisika kwasababu ya NDOA kutokana na tabia hatarishi kiuchumi za upande wa pili. Na wengine wameacha au kupoteza kazi kwasababu ya kutumikia NDOA.

•Kuna watu walikuwa na ndoto kubwa za maisha lakini ndoto zao zilidumaa na hatimae kufa kabisa baada ya kuingia kwenye NDOA kutokana na kukosa uhuru wa kufukuzia ndoto zao.

•Kuna watu hivi sasa wapo hospitali kwaajili ya kujiuguza presha, kisukari na madonda yaliyotokana na NDOA.

•Kuna watu wapo Mahakamani muda huu na Mahakama imeshindwa kabisa kuwapatanisha, ugomvi ni mzito sana na hakuna anayetamani tena kubaki kwenye NDOA.

Bado najiuliza, Je! NDOA ni CHUNGU au TAMU?!!!

Lakini wakati wengine hawaitaki NDOA, wapo wengine wanaitaka NDOA hata leo hii na wengine wapo kwenye mipango ya NDOA na wengine wapo kwenye NDOA kitambo tu na wanaifurahia NDOA.

•Kuna watu wameokoa maisha yao kwasababu ya NDOA. Na wengine wamepona magonjwa kwasababu ya NDOA.

•Kuna watu wametajirika na wanaendelea kuimarika kiuchumi na maisha yao ni mazuri sana kwasababu ya NDOA.

•Kuna watu wamefanikisha ndoto zao kwasababu ya NDOA. Na wengine wanaendelea kuishi maisha ya ndoto zao kwasababu ya NDOA.

•Kuna watu wamepata furaha waliyoikosa kwenye maisha yao miaka mingi, lakini baada ya kuingia kwenye NDOA hadi sasa mambo ni murua na furaha tele kwasababu ya NDOA.

Bado najiuliza, Je, NDOA ni CHUNGU au TAMU?!!


Naomba majibu tafadhali!!
Kwa upande wako unaonaje.! Ni kwanini unataka kuingia kwenye NDOA, kwanini mpaka sasa upo kwenye NDOA, kwanini unataka kutoka kwenye NDOA na kwanini umetoka kwenye NDOA.

Naomba majibu tafadhali!! Je NDOA ni CHUNGU au TAMU.?!!

#No_Learning_No_Earning
So we have to Learn.

NAME: Mr George Francis
A Lawyer & LifeCoach
📩 mr.georgefrancis21@gmail.comView attachment 2821644
Mwanasheria wangu mwl Mpwayungu
 
All in all generally, ndoa ni tamu, anzia kwenye faragha unakula vituz bila wasiwasi muda wowote ukihitaji. Kutunzana matunzo ya hapa na pale, kupata heshima ndani ya jamii. Uwezo wa kuhimili changamoto za ndoa hufanya ndoa kuwa na furaha na amani. Kujaliana na kuheshimiana huleta amani na upendo katika ndoa. Kinyume na hapo ndoa hugeuka chungu na hukosa muelekea na kuishia kusambaratika. Oa mwanamke mnayeendana hobby na mitindo ya maisha
 
Back
Top Bottom