naa
JF-Expert Member
- May 5, 2013
- 1,765
- 3,789
Ewaaaaaa huyu akileta apple mwengine analeta chocolate, mnaanzaje kuchoka a hapo!?Na pesa kila mmoja awe na zake
Ewaaaaaa huyu akileta apple mwengine analeta chocolate, mnaanzaje kuchoka a hapo!?Na pesa kila mmoja awe na zake
Kuchoka kupo tu , asili ya binadamu akizoea kitu sana atakichoka tu, ndio maana ndoa za mikataba ni nzuri sana 😅Ewaaaaaa huyu akileta apple mwengine analeta chocolate, mnaanzaje kuchoka a hapo!?
Wewe ni wakike au kiume?Mengi mkuu halafu mm mfukunyuku nikikuta uozo najikalia zangu pembeni so kwa dunia ya sasa ukiwa mfukunyuku lazima uonekane mbaya na yatakushinda
Kabisa ili msogezane kuelekea kifo , tofauti na hapo ni fix tuNa hapo Mwanaume aje nazo 60, Ke aje na 40 😁
WakikeWewe ni wakike au kiume?
umeandika kwa uchungu😁,, hebu Mungu akutizame na wew mwaka huu akupe moyo wa jiweKwa sababu mahusiano yamenishinda moyo wa plastic
Sasa kama unapenda sex hata ungekuwa mtawa si ungeruka ukuta?Oa kwa ajili yako mwenyewe kama hujisikii kabisa usioe kwa ajili ya hao jamaa zako maana utajuta kwasababu halitakua pendekezo lako ni msukumo wa wawatu wengine mi naona ndoa sio lazima sana 😒 mimi hata mahusiano tu bila ndoa sio muhimu sana😏 mimi kama ningekuwa sijawahi kufanya sex nisingefanya kabisa ningekua mtawa maana mapenzi sitaki ila sex nataka☹️
Hapana ni singeruka maana ningekua sijui chochote kuhusu sexSasa kama unapenda sex hata ungekuwa mtawa si ungeruka ukuta?
Si ndio heh niwe ng'ang'ariumeandika kwa uchungu😁,, hebu Mungu akutizame na wew mwaka huu akupe moyo wa jiwe
👍🏼Hapana ni singeruka maana ningekua sijui chochote kuhusu sex
Sasa umefikiria kufanya nini , kuliwa tu na kila mtu? Au kutafuta mmoja akule hata kama anakula pengine?Wakike
Swali zuri nitakujibu hivi:Sasa umefikiria kufanya nini , kuliwa tu na kila mtu? Au kutafuta mmoja akule hata kama anakula pengine?
HAPANATafuta mume uolewe ndo mbinu ya kukabiliana nao
Si ndio heh niwe ng'ang'ari
weee ujaribu au ndo michezo yako🤭🤨,, huko usiingie hakuna utam,, hizi mambo zinahitaji 2pic💃Swali zuri nitakujibu hivi:
Kwanza kama kungekua na uwezekano wakua kuliwa ilikua best option
Kuliwa na kila mtu ni kinyaa🤮
Kuliwa na mtu mwenye mtu wake nayo ni completed
Kiufupi tu naishiwa power 🙌 au nitajaribu nye,,,,,,o
Kama kawaida..Na daftari langu kuchukua notes za ndoa
Changamoto yako ni kubwa kidogo , sasa wewe ulikua unataka kuchukua uamuzi gani ?Swali zuri nitakujibu hivi:
Kwanza kama kungekua na uwezekano wakuacha kuliwa ilikua best option
Kuliwa na kila mtu ni kinyaa🤮
Kuliwa na mtu mwenye mtu wake nayo ni completed
Kiufupi tu naishiwa power 🙌 au nitajaribu nye,,,,,,o
HmmChangamoto yako ni kubwa kidogo , sasa wewe ulikua unataka kuchukua uamuzi gani ?