warangi wale wa IRINGA?
MAS0M0 ya URAIA na J0GRAFIA yameaachwa kufunzwa shule? WARANGI wa Iringa? Kazi kweli kweli🙂
warangi wale wa IRINGA?
Wagogo
Mento tafadhali naomba nijuze sifa za Wa-Rombo wanawake maana mm ni Mrombo nijijue nina sifa gani aiseee. Maana wanaume ni Masembo.
wewe KE au ME. Unajua kuweka kwenye K kitu kile ni siri au wanaweka wazi wazi tu?
ahahaha u mini wanaume wa Rombo ni isembo? Cc: Asprin na Jiwe Linaloishi.
Wadada wa Rombo wanafahamika famously kama makubota...u know em tractors? siju kama nyie wa dot.com mnafit huku lakini!!!
bora mchagaaa
Mbona umeegemea upande mmoja wa shilingi em geuza na wapili basi! Au viceversa is true????
Kwanini unajiita Double K?kazi kweli na kwa wanaume je?
Kwanini unajiita Double K?
MAS0M0 ya URAIA na J0GRAFIA yameaachwa kufunzwa shule? WARANGI wa Iringa? Kazi kweli kweli🙂
na wale wanaoweka kipande cha nyama kwenye papuchi siku mbili halafu anaipika na nyama nyingine kisha anakulisha ili usimwache ni kabila gani!!?
are u Ufo Saro Mushi???
tatzo mnawazaga hela ht tm za kugegedana!..,