Zingatia kabla ya kuoa

Zingatia kabla ya kuoa

Tukishamaliza hapa tuhamie upande wa pili, wanaume na kabila zao....just curious

Sent from my BlackBerry 9810 using JamiiForums
 
Uzuri wa uongo siku zote ni pale unapomwagwa kwa mazezeta...
 
Ukitaka majungu OA MHAYA. Ukitaka Mapenzi ya ujanja ujanja OA MCHAGA. Ukitaka Uchawi OA MFIPA. Ukitaka maneno OA MZENJI. Ukitaka mapishi OA MTANGA. Ukitaka Uume wenza OA MZARAMO. Ukiwa na shamba OA MSUKUMA. Ukitaka mapenzi ya kuona aibu oa MHEHE, Ukitaka kubana matumizi OA MPARE. Ukitaka Kisukari OA MWARABU mara tende mara halua!!! Ukitaka kuji-mix, oa mkerewe au mjita. Na kama unataka kuwachanganya m2 na dadake, OA Mrangi. Ukitaka kubishana na kupigana OA Mnyilamba,.Ukitaka kuzaa sana Oa Muha na ukitaka kubembelezwa na kudanganywa Oa mnyamwezi.

Not applicable in modern African communities especailly on social changes taking place nowadays. Life is not like that.Utandawazi bwana
 
Ukitaka majungu OA MHAYA. Ukitaka Mapenzi ya ujanja ujanja OA MCHAGA. Ukitaka Uchawi OA MFIPA. Ukitaka maneno OA MZENJI. Ukitaka mapishi OA MTANGA. Ukitaka Uume wenza OA MZARAMO. Ukiwa na shamba OA MSUKUMA. Ukitaka mapenzi ya kuona aibu oa MHEHE, Ukitaka kubana matumizi OA MPARE. Ukitaka Kisukari OA MWARABU mara tende mara halua!!! Ukitaka kuji-mix, oa mkerewe au mjita. Na kama unataka kuwachanganya m2 na dadake, OA Mrangi. Ukitaka kubishana na kupigana OA Mnyilamba,.Ukitaka kuzaa sana Oa Muha na ukitaka kubembelezwa na kudanganywa Oa mnyamwezi.
Hapo kwenye red sijaelewa na nimecheka sana. Hebu nijuze
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom