Raymanu KE
JF-Expert Member
- Jan 20, 2022
- 10,602
- 19,868
I'm fine cute, I missed you too 😌
I'm fine cute, I missed you too 😌
Ushauri wa bure, kama hutaki acha.. Tukutane kuzimu ukiwa umechoka saaaanaMzee wa kupotosha kwenye moja na mbili
Mimi kuzimu siendi bwasheeUshauri wa bure, kama hutaki acha.. Tukutane kuzimu ukiwa umechoka saaaana
Okay ❤I'm fine cute, I missed you too 😌
Huwezi kwenda. Utapelekwa.Mimi kuzimu siendi bwashee
Napenda 😋😅I was looking for this comment 😂
Nimefurahi kukuona humu Joanah, it's been a while I haven't talked to you 😌Okay ❤
Wewe unadhani kwanini... wajane ni wengi?Hadi wewe mtumishi dah
Nimefurahi kukuona humu Joanah, it's been a while I haven't talked to you 😌
Hata ukiwa na pesa haimaanishi kua muda wote utakua na furaha,Ukiwa huna pesa furaha kwako sahau itakuja kwa muda na kuondoka
Kiukweli nilikuwa nimebanwa Sana na shughuli and I haven't logged in for quite sometimesYeah,
Ulipotea jukwaani ama tunapishana?
😂😂Huwezi kwenda. Utapelekwa.
Kiukweli nilikuwa nimebanwa Sana na shughuli and I haven't logged in for quite sometimes
Wewe unadhani kwanini... wajane ni wengi?
Mara utasikia oooh! kajinyonga kisa mapenzi inasikitisha san!Hapana sijui.
Nikwel mkuu lakn maskini hukosa furaha kwa kuwaza mafanikio unapojipa matumaini na jambo then inakua opposite na matarajio unajikuta hauna furaha lakn maboss mpaka awe na issue zake binafs ndo atakosa furahaHata ukiwa na pesa haimaanishi kua muda wote utakua na furaha,
Happiness is this moment" or "Happiness is being in the moment" watu wasio na hela hua wanaamini kua ukiwa na hela unakua na furaha muda wote,pia ni ngumu sana kuwaaminisha hili jambo,
Nikirudi kwenye mada,
Furaha utaipata kwa kufanya mambo ambayo wewe unayapenda na unaenjoy kuyafanya,kila mtu ana njia zake za kuipata furaha yake.
Ahsante nashukuru sana na nimekaribia haswaOoh pole
Karibu tena
RealMamy umeshajipata,isije kuwa wakati mwingine tunalala njaa wakati RealMamy anakula anatosheka na kusaza!Uwe na pesa pia
Sababu ni nini?Mara utasikia oooh! kajinyonga kisa mapenzi inasikitisha san!