CUTE
JF-Expert Member
- Mar 5, 2012
- 1,230
- 591
nilikua namuonea huruma sana huyo bidada unavompiga kamba(fix) hapo
nilikua namuonea huruma sana huyo bidada unavompiga kamba(fix) hapo
We si unajua bila fix huwa hamkubaligi?nilikua namuonea huruma sana huyo bidada unavompiga kamba(fix) hapo
We huoni nimemiliki mabinti wawili hapo? Chezeya mimi wewe? Mi ndo ODM bana.
we ni moto sijui unatumia ipi kati ya hizi hapa sasa teh teh teh
1.super shafty
2Titanic K2 Power Booster Capsules
3.Pure Shilajit
ndio uanze kusema oohh obama kaka yangu,mengi ni mjomba wangu,alafu mm ndio nalimiki serena hotel ujueWe si unajua bila fix huwa hamkubaligi?
hahhaaaaaaaaaaaa kweli we ni zaidi ya pawer mabula au mfalme mswatiSihitaji msaada wa mataifa ya nje. Mi ni nchi inayojitegemea.
hawezi kumiliki kitu kama hii mwenzio huyu kijanaErickb52 ana milikiView attachment 56514Nasikia unajogoo anaye lima
aisee hii kiboko duh! mama yuko kazini au sioNiliwafuma Continental kwenye Khanga Moko laki si Pesa...
Hawa watakua na filimbi, si bure
Humjui Erotica? Mwanyasi bana, Erotica huyu hapa
Kuanzia kushoto Erotica, charminglady, Zinduna na BADILI TABIA wakiwa kwenye kitchen party ya MwanajamiiOne
Nimependa kicheko chako... kimenikumbusha mbali sana...