Ahsante sana aunt Lizzy kwa majibu mazuri, lakini pia kuna maswali ya wana JF wenzako hapo juu ni vyme aukayapitia na kuyapatia majibu yako.Bi Zinduna asante sana kwa kunikaribisha kwenye kipindi, na naomba radhi sana kwa kuchelewa maana kipindi kilianza bila mie kuwa nimewasili. Sasa maana muda umeenda naomba nijibu maswali yako haraka haraka kama watazamaji hawajahamia TiBiSii.
Koh koh. . .
Bi dada King'asti nautambua uwepo wako katika mahojiano haya, ahsante kwa kujaWifi ujibu swali la '# of boifrendiz', manake naona kongosho nae wifi-shemeji wako, Bishanga anaongelea ratiba ya kuoga!
Nilikuonya sie tuna wivu ukoo mzima! Kaka anakuangaliaa hapa kwa scrini seva!
gambachovu we endelea na kazi yako ya kupiga vacuum kama unavyoonekana kwenye Avtar yako, yangu huyawezi weyeZinduna me likey yua avatar so machii..
gambachovu we endelea na kazi yako ya kupiga vacuum kama unavyoonekana kwenye Avtar yako, yangu huyawezi weye
Hehehe. . .BT boifurendi tena jamani wakati nimeolewa? Kwetu hatukufunzwa habari ya mafiga matatu.
Je FirstLady1 una swali lolote ungependa kumuuliza Aunt Lizzy ?
Da Lizzy, Asante kwa majibu yako ya kina kifupi!
Niña maswali la nyongeza.
-kwa kuwa umesema haujawahi kumastabeti; vipi huwa unaota?
-je huyo naniliu, umeshawahi kumvuta kwenye hisia ili kurahisisha 'ujaji' wako ukiwa na karent boyifurendi wako?
Ni hayo tu, haya maswali nimetipiwa na Kongosho na wala si Bishanga!
Hahahahah wifi umesahau kwamba sio wote wapendao kaka yako afaidi? Umesahau kua Bishanga anasifika kwa uchonganishi? Ye hata nikipost huku nimekumbatiwa na kaka yako bado haoni tabu kusema sijui ndo ananipeleke shopping and what not King'asti.Wifi ujibu swali la '# of boifrendiz', manake naona kongosho nae wifi-shemeji wako, Bishanga anaongelea ratiba ya kuoga!
Nilikuonya sie tuna wivu ukoo mzima! Kaka anakuangaliaa hapa kwa scrini seva!