Zimebaki siku ngapi za kina Zitto?

Zimebaki siku ngapi za kina Zitto?

Status
Not open for further replies.
Uzuri ni kwamba walizitoa katika barau za wanachama wao hao na hawakupita JF na naamini Chadem hawashindi JF , swali lako nenda nalo kule Chadema , uwe na sifa ya kufanya hilo .

Wewe dogo acha akili za kusahau kama panzi humu JF kurugenzi ya habari chadomo ipo rasmi na imekuwa ikitupa habari zote za CC,ni chama pekee kinatoa matamko JF akina ben na wenzake well JF 24 hrs
 
Hebu vuta picha hili tukio lingekua ccm cdm ndo wengejua ni muda muafaka kwa wao kuchukua point tatu muhimu maana mara nying sana wameonekana kukinyooshe vidole chama tawala hususani kinapochelewa kutoa maamuzi mazito kama yale ambayo wao wangepaswa kuyafikia kwa muda mfupi kama ilivyokusudiwa mwanzoni mwa tukio hili waacheni wasuesue hawajui ndo wanapoteza point zao

CHADEMA ni chama makini kuliko vyote kwa ss hapa Tz hivyo sio cha kupoteza point kipumbavu.,ungeiuliza kwanza ccm(1)Maisha bora kwa kila Mtz yameishia wapi au ulikuwa usanii wa kushikia utamu?(2)Vua gamba ni muda gani sasa na imeishia wapi ni kweli gamba limekwamia kiunoni??(3)Ni mawaziri mzigo au mkulu ndio mzigo kwa Taifa???
 
wanaCHADEMA hujitapa kuwa ni chama cha maamuzi magumu.na wakipanga kitu lazima wafanye ndani ya muda lakini imebaki wiki 1 kumaliza mwezi tangu watoe siku 14 kuwafukuza wasaliti.kama mnashindwa kuwawajibisha watu 3 tu mkipewa nchi mtafukuza nani akikosea

Huwa haziishi hizo

Siku 90 za Nape vp zimeishia wapi kujivua gamba
 
CHADEMA ndio nyumbani kwa ZZK, he is there to stay
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom