Zimebaki siku ngapi za kina Zitto?

Zimebaki siku ngapi za kina Zitto?

Status
Not open for further replies.
uliambiwa baada ya siku 14; sasa je, wakiadhibiwa hata katikati ya mwaka ujao itakuwa ni kabla au baada ya hizo siku?

... ficha umbulula wako!

Acha propaganda zako zakimburura, CHAGADEMA walisema NDANI ya siku 14.
 
Tatizo liko wapi?Kawaida ni siku 14 tangu mhusika alipokabidhiwa barua ya mashtaka.Baada ya hapo maamuzi yanafanywa kutokana na maelezo ya mshitakiwa. Ikumbukwe kuwa CC ya CDM ina taratibu za vikao vyake.
 
uliambiwa baada ya siku 14; sasa je, wakiadhibiwa hata katikati ya mwaka ujao itakuwa ni kabla au baada ya hizo siku?

... ficha umbulula wako!

Kaka acha kutoka povu,wananchi wanataka kujua hatma ya wasaliti....hv cdm wakichukua dola watu wataweza kuhoji kweli?manake wakali sana
 
Acha propaganda zako zakimburura, CHAGADEMA walisema NDANI ya siku 14.

wewe ni mkurupukaji tena sana rejea kauli ya chadema walipewa siku kumi na nne kujieleza na walifanya hivyo na wala hawakusema watawafukuza nadani ya siku kumi na nne kuwa muelewa wewe mburura rejea ripot ilisemma nini usiwe mkurupukaji kama huna akili timamu wewe zuzu.
 
wewe ni mkurupukaji tena sana rejea kauli ya chadema walipewa siku kumi na nne kujieleza na walifanya hivyo na wala hawakusema watawafukuza nadani ya siku kumi na nne kuwa muelewa wewe mburura rejea ripot ilisemma nini usiwe mkurupukaji kama huna akili timamu wewe zuzu.

"Kuanguka aanguke nyani mtini useme bahati mbaya, akianguka Komba mnazini basi kalewa pombe ya mgema". Sasa nimeamini "kunya anye kuku, akinya bata kaharisha". JITAMBUE WEWE MFUASI WA MZEE WA TENGERU.
 
Kaka acha kutoka povu,wananchi wanataka kujua hatma ya wasaliti....hv cdm wakichukua dola watu wataweza kuhoji kweli?manake wakali sana

acha ushamba nyie wapuuzi ndio mnataka kulazimisha mambo coz mnatumika kama always za wamama hamjitambui hata ukweli mnajifanya hamuuoni.
 
"Kuanguka aanguke nyani mtini useme bahati mbaya, akianguka Komba mnazini basi kalewa pombe ya mgema". Sasa nimeamini "kunya anye kuku, akinya bata kaharisha". JITAMBUE WEWE MFUASI WA MZEE WA TENGERU.

ha ha ha aaaa! Unafikiri mimi msukule kama wewe usie jitambua? Njaa inakufanya unakosa hadi maarifa,unadumaza ubongo wewe kwa kuwa mvivu kufikiri sababu ya kutumika, kwa taarifa hata mbowe au slaa hawanijui ,mimi ni raia ninaye jitegemea na ninae ipenda nchi yangu siwezi kushirikiana navibaka kama nyie hata siku moja mnao uza utu wenu kwa ujira mdogo,huna tofati na wazee walio badilisha shanga na dhahabu sababu hata wewe umekaza misuli huku kuwatetea wala rushwa na wapinga maendeleo kisa unapata posho,
 
Kusoma darasani pekee sio kuelimika Gamba mkubwa wewe!
Pof Kapuya mkubwa wewe!!

achana nao hao wasio jitambua hawajui mchana wala usiku hao, wao nafikiri kwa kufanya hivyo ndio kumsaidia zito.zito ndani ya chadema ni sawa na chuya ndani ya mchele likitolewa mchele utabaki safi,siku za zito ndani ya chadema zinahesabika hayo mazuzu yaache yaendelee kubwabwaja yakidhani chadema inacheka na wasaliti kama ccm inavyo cheka na wabakaji na walarushwa na wauza unga.
 
Kama kweli kamati kuu ya chadema wako serious basi wafunge hii kesi... Maana naona wanapoteza muda

they need to mqle decision and move forward
 
wanacdm hujitapa kuwa ni chama cha maamuzi magumu.na wakipanga kitu lazima wafanye ndani ya muda lakini imebaki wiki 1 kumaliza mwezi tangu watoe siku 14 kuwafukuza wasaliti.kama mnashindwa kuwawajibisha watu 3 tu mkipewa nchi mtafukuza nani akikosea
Wlipewa siku 14 za kujieleza, si siku 14 za kuwafukuza. Umetumwa au unakurupuka tu!
 
"Kuanguka aanguke nyani mtini useme bahati mbaya, akianguka Komba mnazini basi kalewa pombe ya mgema". Sasa nimeamini "kunya anye kuku, akinya bata kaharisha". JITAMBUE WEWE MFUASI WA MZEE WA TENGERU.

kama wewe ni mtu wa kulelewa utakuwa umenielewa nimekwambia maswala ya siasa yajadiliwe kisiasa kuanza kumkebehi mtu sababu ya mapungufu yake ya kimaumbile sababu ya ushabiki wa kisiasa si jambo jena hata siku moja huwezi niona namnanga mtu kwa kilema alicho nacho hata kama ni waccm ,cuf,au chadema na kama ukiendekeza hilo utajibiwa kwa mifano dhahir .kama ni matusi tukana,kama ni maneno ya dharau,kejeli etc yaseme lakini si kusemea mtu kwa mapungufu ya kimaumbile aliyo umbiwa, kuwa muelewa wewe zuzu usijifanye mjuaji kwa kutaka sifa za kijinga hapa jukwaani hujafa hujaumbika zuzu wewe.
 
Oooh! You must be one of those stup.i.d beast....! CDM iliwapa siku 14 kuwafukuza au kuwakilisha utetezi wao. Eti nawe ni GT wa JF, a simple straight foward fact as this one; you can not understand...... what a loss you are!!!

wanacdm hujitapa kuwa ni chama cha maamuzi magumu.na wakipanga kitu lazima wafanye ndani ya muda lakini imebaki wiki 1 kumaliza mwezi tangu watoe siku 14 kuwafukuza wasaliti.kama mnashindwa kuwawajibisha watu 3 tu mkipewa nchi mtafukuza nani akikosea
 
Tumia akili kidogo na wewe sio unakurupuka, hatu za kinidhamu ni za kikatiba sio kufanya maamuzi eti kukufurahisha wewe na njaa zako, kachukue B7 unywe kahawa ulale maana hata akili yako haina kingine cha kuwaza.
 
"Kinyesi sio mwiba ila ukikikanyaga lazma uchechemee". Mipovu kibao mdomoni inakukutoka, jibu hoja hizo, kama huwezi ni heri ukakojoe ulale!.
UKIMNYOOSHEA MWENZAKO KIDOLE KIMOJA CHA SHAHADA JUA VINGINE VINAKUANGALIA WEWE. sasa jihoji acha kuwa na akili za kukariri darasani

mbona unajikosoa tena mwenyewe?unakazana na chadema wakati hicho chama chako kimeoza na kinatoa harufu kali sana,
 
pokea like mkuu

mnajaribu kujipa matumaini baada ya kushindwa mbinu zenu??endeleeni na huo upopompo wakati CHADEMA CHAMA KUBWA LIKISONGA MBELE KWA KASI YA UMEME. Nyie endeleeni kuwa madwaa!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom