Dua,
Ndugu yangu hakuna hata mtu mmoja anaye lazimishwa kukopa hata benki zetu, lakini kama wewe umeishi maisha ya Ulaya unaelewa kabisa kuwa huwezi kwenda mbele bila kuwa na benki karibu yako. Benki ni kama mama yako na kitaifa WB ni mama wa chumi za nchi zote. Na huwezi kusema kabisa kwamba hakuna mtu aliyelazimishwa kwa sababu unajua utaratibu uliowekwa ni sawa kabisa na lazima.
Hakuna mkopo usiokuwa na masharti na ndio mbinu iliyotumiwa na benki zetu hata ktk mikataba ya saccos kwa wananchi (wajariamali)... wananchi wengi hawakuelewa wakidhani mfumo wa JK ulikuwa unatoka kwa mtume. na Ukweli unasimama kwamba mfuko wa JK ulikuwa na malengo ya kutengeneza jina badala ya kusaidia wananchi.
Huwezi kutoa mabillioni ya fedha kiasi hicho bila kuwepo na utaratibu rahisi kwa wananchi ambao wengi wao hawana credit record! hawana nyumba hawana account na kadhalika. matokeo yake fedha hizi zimeishia mifukoni mwa wasiokuwa walengwa! je wananchi hawatakiwi kulalamika ati kwa sababu zilikuwa ni msaada?.. hizi ni kodi zao lakini.
Benki kuu ya dunia IMF zote ni vyombo vimeundwa kwa kutazama interest za nchi za magharibi kwa hiyo huwezi kusema nchi maskini hazitakiwi kulaumu. Kama hizi Benki zingekuwa kwa maslahi ya nchi maskini basi G8 ingekuwa na mwakilishi, nchi maskini zingepewa nafasi ya kujipangia matumizi na mikakati yake.
Kama unakumbuka Mkapa alipokwenda IMF, ni IMF iliyofanya kazi ya kuandaa mikakati yetu na most of the programs tuliwahi kuzifanya zimetoka kwao.
Mimi nakubaliana na wewe unaposema kwamba hatuwezi kuilaumu IMF kwa sababu tunakwenda kuomba msaada sisi wenyewe! Well, huwezi kutembea wima kama wewe ni kilema na uchumi wa nchi zetu hauna tofauti na kilema!.. fadhila ya kupewa msaada wa gari la usafiri sio sababu ya kumpa ruksa mtu amchezee hata mkeo! - Huwezi kupata mkopo benki bila kupitia Saccos!.. tufanye nini tupe solution!
Ndugu yangu hakuna hata mtu mmoja anaye lazimishwa kukopa hata benki zetu, lakini kama wewe umeishi maisha ya Ulaya unaelewa kabisa kuwa huwezi kwenda mbele bila kuwa na benki karibu yako. Benki ni kama mama yako na kitaifa WB ni mama wa chumi za nchi zote. Na huwezi kusema kabisa kwamba hakuna mtu aliyelazimishwa kwa sababu unajua utaratibu uliowekwa ni sawa kabisa na lazima.
Hakuna mkopo usiokuwa na masharti na ndio mbinu iliyotumiwa na benki zetu hata ktk mikataba ya saccos kwa wananchi (wajariamali)... wananchi wengi hawakuelewa wakidhani mfumo wa JK ulikuwa unatoka kwa mtume. na Ukweli unasimama kwamba mfuko wa JK ulikuwa na malengo ya kutengeneza jina badala ya kusaidia wananchi.
Huwezi kutoa mabillioni ya fedha kiasi hicho bila kuwepo na utaratibu rahisi kwa wananchi ambao wengi wao hawana credit record! hawana nyumba hawana account na kadhalika. matokeo yake fedha hizi zimeishia mifukoni mwa wasiokuwa walengwa! je wananchi hawatakiwi kulalamika ati kwa sababu zilikuwa ni msaada?.. hizi ni kodi zao lakini.
Benki kuu ya dunia IMF zote ni vyombo vimeundwa kwa kutazama interest za nchi za magharibi kwa hiyo huwezi kusema nchi maskini hazitakiwi kulaumu. Kama hizi Benki zingekuwa kwa maslahi ya nchi maskini basi G8 ingekuwa na mwakilishi, nchi maskini zingepewa nafasi ya kujipangia matumizi na mikakati yake.
Kama unakumbuka Mkapa alipokwenda IMF, ni IMF iliyofanya kazi ya kuandaa mikakati yetu na most of the programs tuliwahi kuzifanya zimetoka kwao.
Mimi nakubaliana na wewe unaposema kwamba hatuwezi kuilaumu IMF kwa sababu tunakwenda kuomba msaada sisi wenyewe! Well, huwezi kutembea wima kama wewe ni kilema na uchumi wa nchi zetu hauna tofauti na kilema!.. fadhila ya kupewa msaada wa gari la usafiri sio sababu ya kumpa ruksa mtu amchezee hata mkeo! - Huwezi kupata mkopo benki bila kupitia Saccos!.. tufanye nini tupe solution!