Zima Moto Updates

Zima Moto Updates

Siyo lazima akujuze Kishindo, majina yaliyo toka zimamoto ni ya Mkaguzi msaidizi tu,kumbuka hizi nafasi maombi yalitumwa kwa Katibu mkuu wizara ya mambo ya ndani na kwa ngazi ya Sergeant &Constable ambayo hayaja toka bado yalitumwa kwa Kamishna Jenerali.

asante
 
Naombeni mwenye gazeti atusaidie maina ya herufi "D" nipo bush wandugu
 
Wamechukua wengi toka JKT then wanaamua kuita hawao 309 kujazia kidogo. Usikate tamaa utapata tu ajira
 
Wakuu naombeeni msaada kwa yeyote mwenye majina yanayo anza na herufi S ya walioitwa kwenye usaili zimamoto awamu ya kwanza tar 12.3.2014
 
Kwa kweli ninazidi kuuliza mwenye ajina ya awamu ya kwanza atusaidie herufi D...nmeshindwa kabisa kupata gazeti la tar 12.
 
Majina haya hapa, zimamoto moto moto....

attachment.php

ndugu naomba kama una hilo gazeti la tar 12 la majina unisaidie yanayoanza na herufi D....tafadhali!
 
Kwa kweli ninazidi kuuliza mwenye ajina ya awamu ya kwanza atusaidie herufi D...nmeshindwa kabisa kupata gazeti la tar 12.
Mimi daily news lenye hayo majina ninalo kwa post Assistant Inspector of Fire and Rescue, shida yako hasa ni nini? kuona jina lako au tar ya usali
 
Chwaka kwani name daily news walitoya ya mkaguzi msaidizi pia. Awajamaaa wajanja kweli
 
Jamani mwenye majina naomba aniandikie majina yanayo anzana na herufi ""k
 
Shida yangu ni hiyo ndugu "Assistant Inspector" kwa maana gazeti lenyewe sijabahatika kuliono niko bush nlipofuatilia ofisini wakadai waesha yaruddisha magazeti, naomba kama unalo walau majini ya herufi D....
 
Mimi daily news lenye hayo majina ninalo kwa post Assistant Inspector of Fire and Rescue, shida yako hasa ni nini? kuona jina lako au tar ya usali

Shida yangu ni hiyo ndugu "Assistant Inspector" kwa maana gazeti lenyewe sijabahatika kuliono niko bush nlipofuatilia ofisini wakadai waesha yaruddisha magazeti, naomba kama unalo walau majini ya herufi D....
 
Shida yangu ni hiyo ndugu "Assistant Inspector" kwa maana gazeti lenyewe sijabahatika kuliono niko bush nlipofuatilia ofisini wakadai waesha yaruddisha magazeti, naomba kama unalo walau majini ya herufi D....

Fungua web ya wizara ya mambo ya ndani kila kitu utakipata hapo kiongozi.
 
Back
Top Bottom