Taarifa Zilizonipata ni kwamba Zima Moto kesho. Be patient na usikose kuja JF kusoma jina lako wewe uliye-apply.
Gazeti la daily news halina link. We tafuta gazeti kwanza au check kwenye website ya wizara ya mambo ya ndani www.moha.go.tz kama watakuwa wametupia coz sina uhakika zaidi ya gazeti tajwa hapo juu. OVER
Haya majina bwana!! Yananichekesha kinomiiu
maisha yanazidi kuwa tight mpaka zimamoto tumetoswa?aaaaaaaaàhhhhhh
akili mu kichwa
Ni gazeti gani hili mkuu