Unaijua combined budget wewe (Zaka kamili) ...asilimia kumi ni jina tuu lakini ili uonekane umetoa matoleo sahihi inatakiwa angalau 20% .... Means zaka 10% + Sadaka 10% , wanasema sadaka ni ishara ya upendo ,.... Mfano kwenye zaka unatoa moja ya kumi Ila sadaka unaangalia sadaka iliyonona syo kilema , so angalau ianzie kiwango kama cha zaka na Zaid na siyo chini ya hapo ...maana chini ya hapo ni kama umetoa sadaka kilema ... Kama unabisha kamuulize mchungaj wako.... Idea Yao inaweza kuwa ipo vyema tatizo wanaifanya kuwa command hapo ndo tunachengana ,na usipofanya hvi hata uongozi kanisani hupewi, utaambiwa wewe hujamjua Mungu , dini ya Mungu ni kutoa... Mi najua zaka ni command sadaka ni hiari , kuiunganisha sadaka iwe level moja na zaka in term of umuhimu huo ni utapeli .....
Na bado kuna sadaka nyingi nyingi nje ya hyo 20% , makambi ( shukrani), ujenzi kambi, majengo , n.k.... piga mahesabu kama mshahara wako ni 100000 itakutoka sh ngap kwenda kanisani
Issue inakuja zaka yote 10% inaenda conference ,na asilimia 58 ya sadaka inaenda conference , kanisa Mahalia mnabaki na asilimia 42 tuu , inakuwa haitoshi Kwa budget inabid mpeane magori tena huku wao huko conference wakiendesha magari ....
Alaf wanasingizia et watu hawatoi Kwa uaminifu ndo mana kuna michango michango .... Sherehe kama za makambi ni mikakati Tu ya wachungaji kupiga pesa , Kwa taarifa yako kila sku mchungaji akisimama kwenye makambi analipwa 50000 kama posho ndo mana wanakomalia Sana hyo sadaka ....
Mgawanyo wa sadaka na zaka kwenye kanisa upo kuwanufaisha wachungaji na sio makanisa Mahalia ili yafanye vyema.... Matokeo yake mchungaji akisimama kila fungu atakalosoma analielekeza kwenye matoleo..... Hzi dini miyeyusho sana