BLACK MOVEMENT
JF-Expert Member
- Mar 11, 2020
- 2,712
- 6,515
Mchungaji wa Kenya amewaandikia Barua Manabii kadhaa wa Kenya akitaka ufafanuzi wa kinacho itwa MODERN MIRACLE.
Anasema Yesu wakati anahubiri injili alifanya Miracle kwa watu na kwa eneo fulani.
Mfano; Yesu alimfufua Lazaro kule Bethany na pia kule Jericho akamponya Bartimaeous. Kule Jerusalemi Petro na John walimponya mtu Kilema.
Kenya ina wafu wengi sana, Vilema, Vipofu, Mabubu, Vichaaa na pia wanao sumbuliwa na magonjwa mbalimbali.
Sasa anawataka Manabiii waweke wazi wale watu wanao pokea oponyaji, yaani majina yao yawekwe wazo na ikibidi wanako ishi yaani Vijiji na Mitaaa wanako tokea.
Wakenya wanaona kila siku kwenye Tv za Manabii watu wakitupa magonga kule na kule kwamba wameponywa Ila hakuna Mkenya anaye jua kijiji wanako tokea wale walio pokea uponyaji na kutupa magongo kwamba wanakuwa na sura ngeni sana miongoni mwa Wakenya, na pia kwa nini Media huwa hazireport taarifa za watu kuponywa kama Breaking news? Kwamba kwa yeye swala la mtu kuponywa ukilema au ukiziwa ni jambo kumbwa sana linahitaji Breeking news kabisa.
Je Bongo kuna anaye ishi jirani na mtu alie ombewa akapona au wale wanao toa shuhuda kwenye TV na ni anawajua?
Niliwahi kuwa na wasiwasi wa wale watoa ushuhuda wa kupona.
Anasema Yesu wakati anahubiri injili alifanya Miracle kwa watu na kwa eneo fulani.
Mfano; Yesu alimfufua Lazaro kule Bethany na pia kule Jericho akamponya Bartimaeous. Kule Jerusalemi Petro na John walimponya mtu Kilema.
Kenya ina wafu wengi sana, Vilema, Vipofu, Mabubu, Vichaaa na pia wanao sumbuliwa na magonjwa mbalimbali.
Sasa anawataka Manabiii waweke wazi wale watu wanao pokea oponyaji, yaani majina yao yawekwe wazo na ikibidi wanako ishi yaani Vijiji na Mitaaa wanako tokea.
Wakenya wanaona kila siku kwenye Tv za Manabii watu wakitupa magonga kule na kule kwamba wameponywa Ila hakuna Mkenya anaye jua kijiji wanako tokea wale walio pokea uponyaji na kutupa magongo kwamba wanakuwa na sura ngeni sana miongoni mwa Wakenya, na pia kwa nini Media huwa hazireport taarifa za watu kuponywa kama Breaking news? Kwamba kwa yeye swala la mtu kuponywa ukilema au ukiziwa ni jambo kumbwa sana linahitaji Breeking news kabisa.
Je Bongo kuna anaye ishi jirani na mtu alie ombewa akapona au wale wanao toa shuhuda kwenye TV na ni anawajua?
Niliwahi kuwa na wasiwasi wa wale watoa ushuhuda wa kupona.