Zijue sheria ''mama' za infidelity...

Hata ukifanya hivyo usifiche...! Ndio njia namna ya kuuwa huyu mdudu; INFIDELITY

Kama mshauri nawashauri kila Infidelator/infideletee wawe wanatumia namba za simu tofauti na mawasiliano yafanyike pindi wawapo kazini
 
Kama mshauri nawashauri kila Infidelator/infideletee wawe wanatumia namba za simu tofauti na mawasiliano yafanyike pindi wawapo kazini

Na ratiba hii ijulikane wazi kwa kila mtu...! INFIDELITY itakuwa haipo.
 
Ngoja niwatafute wajumbe wa bodi kuja kujadili huu mswada kabla haujasainiwa

Mwenyekiti - Pope Kaizer
Katibu - St. Roya Roy
Mweka hazina - Big braza Asprin -ODM
Katibu mwenezi - Bigirita
Mshauri mkuu - Fidel
Wajumbe: The Finest, Masanilo, Dreamliner,Askofu,Kimey,Klorokwini,Maskini Jeuri,D5, Msanii, Dark City,Smiles, Beauty, bht,fanta,bacha,Jamii Forums, Acid,Teamo
Wajumbe toka kambi ya upinzani: Carmel. Nyamayao, MJ1,Mwalimu Gaijin, ZD,Shishi,Mom......na wote wenye mapenzi mema na infidelity.:welcome::welcome::welcome:

kwenye red :becky::becky::becky: ngoja nikapate ushauri then ntautumia vice vesaly.
 
Wewe,Born Town, kwa mamlaka niliyopewa, nakutangaza rasmi kuwa umekuwa mwanachawa wa heshima tena wa maisha. Karibu sana na ahsante kwa mchango wako uliotukuka.

"Make someone laugh and you've got a friend........... :becky::becky::becky::becky:
 
Mkuu konakali....ukiona mtu kafumaniwa huyo si MWANACHAMA wetu. Hajafuata sheria zetu!

Wanachama wetu hawafumaniwi!

Kufumaniwa si madhara ya infidelity....ni madhara ya kutotii sheria.....
 
Kufumaniwa si madhara ya infidelity....ni madhara ya kutotii sheria.....
Katibuuuu..........Ajenda inayofuata? Hilo naona limeeleweka


The Following User Says Thank You to Roya Roy For This Useful Post:

Asprin (Today)​

!
 
The Following 2 Users Say Thank You to BornTown For This Useful Post:

Asprin (Today), Teamo (Today)​

Nilikuwa napinga kweli INFIDELITY lakini siku yaliponikuta nikasema potelea mbali wenzangu wanafanya ufisadi napiga kelele wee hadi koo linauma nikasema isiwe taabu wacha na mimi niingie kwenye chama
 
Nilikuwa napinga kweli INFIDELITY lakini siku yaliponikuta nikasema potelea mbali wenzangu wanafanya ufisadi napiga kelele wee hadi koo linauma nikasema isiwe taabu wacha na mimi niingie kwenye chama
Kitu kimoja ambacho watu wengi hawakijui ni kuwa KAMA HUFANYI INFIDELITY UJUE MKEO/MMEO NDIO KAMANDA WA INFIDELITY! Utafiti wa chama chetu umethibitisha hilo. Kwa hiyo mkuu we piga infidelity ili mkeo awe safe. Usipopiga, watu watakupigia. Take it from me and believe it accordingly!
 
mie jamani nicmfumanie mtoto wa mtu, akiniona tu atimke, afanye afanyalo nicmfume.
Wala usitegemee kwakuwa mmeo ni mwanachama wetu hai. Anafuata sheria zote kwahiyo usitegemee kufumania....:becky::becky:
 
mie jamani nicmfumanie mtoto wa mtu, akiniona tu atimke, afanye afanyalo nicmfume.


Nyamayao, kama jamaa ni Infidelitor na akakutana na Infidelitee, huwezi kufumania daima dawamu ....
 
Back
Top Bottom