Nyamayao, kama jamaa ni Infidelitor ana akakutana na Infidelitee, huwezi kufumania daima dawamu ....
Nilikuwa napinga kweli INFIDELITY lakini siku yaliponikuta nikasema potelea mbali wenzangu wanafanya ufisadi napiga kelele wee hadi koo linauma nikasema isiwe taabu wacha na mimi niingie kwenye chama
Kufumaniwa si madhara ya infidelity....ni madhara ya kutotii sheria.....
Hata modes kumbe ni washabiki wa infedility wakati sisi tunapinga wao wanashangilia wamechomoa bango langu la kuonyesha madahara ya infedility
Wala usitegemee kwakuwa mmeo ni mwanachama wetu hai. Anafuata sheria zote kwahiyo usitegemee kufumania....:becky::becky:
Mkuu zile picha zingefanya hii thredi yote ihamishiwe kule ukubwani...
Pole kwa kukutwa na hayo...! Lakini hii ni kukata tamaa...!
Ngoja niwatafute wajumbe wa bodi kuja kujadili huu mswada kabla haujasainiwa
Mwenyekiti - Pope Kaizer
Katibu - St. Roya Roy
Mweka hazina - Big braza Asprin -ODM
Katibu mwenezi - Bigirita
Mshauri mkuu - Fidel
Wajumbe: The Finest, Masanilo, Dreamliner,Askofu,Kimey,Klorokwini,Maskini Jeuri,D5, Msanii, Dark City,Smiles, Beauty, bht,fanta,bacha,Jamii Forums, Acid,Teamo
Wajumbe toka kambi ya upinzani: Carmel. Nyamayao, MJ1,Mwalimu Gaijin, ZD,Shishi,Mom......na wote wenye mapenzi mema na infidelity.:welcome::welcome::welcome:
Leo nitakua off mpaka topic hii itakapofikia tamati, na walaaniwe wote infideletor wote!
Kwa taarifa yako, mmeo ni mwanachama wetu hai!:welcome::welcome:Leo nitakua off mpaka topic hii itakapofikia tamati, na walaaniwe wote infideletor wote!
Leo nitakua off mpaka topic hii itakapofikia tamati, na walaaniwe wote infideletor wote!
Ushindwe na ulegee polepole...
Nyamayao, kama jamaa ni Infidelitor ana akakutana na Infidelitee, huwezi kufumania daima dawamu ....
Askofu na masista kibao nao ni wanachama wetu!!Ushindwe na ulegee polepole...
Kwa taarifa yako, mmeo ni mwanachama wetu hai!:welcome::welcome:
Ngoja niwatafute wajumbe wa bodi kuja kujadili huu mswada kabla haujasainiwa
Mwenyekiti - Pope Kaizer
Katibu - St. Roya Roy
Mweka hazina - Big braza Asprin -ODM
Katibu mwenezi - Bigirita
Mshauri mkuu - Fidel
Wajumbe: The Finest, Masanilo, Dreamliner,Askofu,Kimey,Klorokwini,Maskini Jeuri,D5, Msanii, Dark City,Smiles, Beauty, bht,fanta,bacha,Jamii Forums, Acid,Teamo
Wajumbe toka kambi ya upinzani: Carmel. Nyamayao, MJ1,Mwalimu Gaijin, ZD,Shishi,Mom......na wote wenye mapenzi mema na infidelity.:welcome::welcome::welcome:
Ungesema INFIDELEES ningekuelewa lakini kuwa INFIDELETOR ni mpango wa Mungu.Mom mtu hawezi kuwa INFIDELETOR from no where lazima kuna sababu au jambo liliwahi kumkuta
heheh..... Kwisha kazi!!