Zijue sababu za Benjamin Mkapa kumuunga mkono Lowassa

Zijue sababu za Benjamin Mkapa kumuunga mkono Lowassa

Bwana chipanga acha kupinda hao ni wachambuzi waliobobea wewe ndiye anayetaka kuleta ubishi
kwa maslahi ya mtu wako mimi ni UKAWA lakin kiukweli ccm wakimweka Ly ni SHida Kwetu UKawa
Anakubalika huyo
 
Mkapa anajua mahala pa kupeleka kete yake! Lowassa hazuiliki ... Watajaribu sana kumchafua lakini mwisho wa siku wataendelea kumpa heshima yake!
 
Ndugu mm ninani hata nionge sana ila tukumbuke chema chajiuza kibaya chajitembeza sasa kama lowasa ni chema muacheniatauzika hata msiposema mnapo sema sana tunaona kama mnatupaka mafuta kwa mgongo wa chupa wacha tutafakari utendaji wake hali ya taifa hapalilipo watanzania wataamua
 
ndugu mm ninani hata nionge sana ila tukumbuke chema chajiuza kibaya chajitembeza sasa kama lowasa ni chema muacheniatauzika hata msiposema mnapo sema sana tunaona kama mnatupaka mafuta kwa mgongo wa chupa wacha tutafakari utendaji wake hali ya taifa hapalilipo watanzania wataamua
wata amini 2015
 
Bwana chipanga acha kupinda hao ni wachambuzi waliobobea wewe ndiye anayetaka kuleta ubishi
kwa maslahi ya mtu wako mimi ni UKAWA lakin kiukweli ccm wakimweka Ly ni SHida Kwetu UKawa
Anakubalika huyo

swadakta huu ndio ukweli....
 
Tatizo afya yake tunaambiwa hawezi hata kushika kikombe jaribuni kumpiga picha akiwa na kikombe.
 
Binafsi nilimpenda Lowasa. Lakini jinsi wapambe wake wanavyompigia debe nimeona kuna walakini. Hivyo, nimefuta upenzi wangu kwa Lowasa.
 
Binafsi nilimpenda Lowasa. Lakini jinsi wapambe wake wanavyompigia debe nimeona kuna walakini. Hivyo, nimefuta upenzi wangu kwa Lowasa.

basi humpenda ila unajaribu kufanya janja ya ushawishi fake... kutuonyesha uliwahi kumpenda...
 
Mkapa ni mpambe wa wasira na ndiye aliyemshauri agombe atamuunga mkono
 
Back
Top Bottom