==> okello anasema ukweli, kama huamini...vuta subira, 2015 iko around the corner
==> siku ccm watasema lowassa ndie uchaguzi wao....tutapiga vifijo na nderemo, tutalia kwa furaha na upendo....na nchi yangu itakuwa inaelekea ktk nchi ya ahadi....
Eeeh...mungu, tunakuomba, mbariki lowassa na tanzania na watu wake...!!"
----! No where in your thread i find the collocation between President Satta (as he then was ) and those corrupts. The heading is badly misconcieved!
Duuuh.... basi la siasa limekuacha ....maana fupi namna hii Mkuu unashindwa kutohoa
mada iko hovyo, imelazimishwa lakini bado haielekei. Mada haitegemei usome vyombo vya habari ndipo uelewe, mleta mada anawajibu wa kueleweka yeye mwenyewe bila kutegemea vyombo vya habari vingine au alazimike kutohoa yasotoholeka
Muamsheni huyo mtoa hoja bado yupo usingizini anaota!!!
una taarifa mkapa ameikana iyo taarifa kwenye magazeti ya jana?
Hahahaha nimependa namna unavyofikiri na kujadili hoja, unaonesha matatizo na mafanikio ya malezi yetu nyumbani na mfumo wetu wa elimu yetu kama taifa. Tafakari, chukua hatuaSishangai kuitwa domokaya naona unapayuka...
Hahahaha nimependa namna unavyofikiri na kujadili hoja, unaonesha matatizo na mafanikio ya malezi yetu nyumbani na mfumo wetu wa elimu yetu kama taifa. Tafakari, chukua hatua
Nimeijadili hoja yako, umejadili jina la ID yangu, kila kitu kipo wazi, sina matatizo nawe, tunaishi katika ulimwengu tofauti kifikra, ulimwengu wako ni mkubwa kuliko wangu, labda siku nikifikia viwango vyako tunaweza tukajadili hoja na kuvumilia kukosolewa endapo hoja zetu kama hazijakaa vizuri kwani kwangu lengo ni kujenga na kupata mawazo tofauti, hata kama kila siku nitakwambia "mkuu hii imekaa vyema" ilhali si kweli tutakuwa tunamdanganya nani?angalia historia ya fact zako... na fanya comparison halafu majibu ni kwa faida yako...
Namkubali lowassa lakini Nina wasi wasi ni MTU Wa visasi no gaidi anaweza akaingiza nchi matatizoni
Umesha kaa ukafikiria where will you be in 2015/ October kimaisha au kwako nani atakuwa raisi mwakani ni muhimu sana. Una mtoto? kama unaye umeshafikiria atasoma vipi? University ipi ataenda utamsaidiaje kufikia malengo yake?
Sioni rais anaetufaa wrote wananuka ufisadi Wa kutisha mm sina mtoto,sina mume in Oct.nitakuwa namalizia degree yangu APA udom