Uchaguzi 2020 Zijue sababu kuchelewa vikao Kamati Kuu ya CCM kupitisha Wagombea wa Ubunge

yule ataponzwa na external enemies of makonda ndiyo waliotoa hongo kwa wajumbe ili akatwe ndungulile hajatoa rushwa ia wajumbe wamekula rushwa hivyo makonda anapeta
Makonda anapetaje kwa kutoa rushwa ili Ndungulile akatwe? Vijana wa Lumumba hata kuandika ni shida, mnaweza mambo gani ninyi? Umbea, majungu, kuteka na kushambulia tu?
 
Jimbo la Makonda lile. Jiandae waziri wako wa baadae huyo.
Kwa kuwa chama kimegeuka na kuwa mali binafsi ya GENGE LA WAHALIFU, kila kitu kinawezekana Mkuu. Huoni mfano kwa TAKUKURU kuwasilisha majina ya watoa rushwa CCM badala ya kuwapeleka Mahakamani? Utawala wa IMLA una viroja sana.
 
Rushwa ipl Sasa. Hivi unajua fedha walizolipwa Wajumbe na Vitisho

Kuna mtu mkoa wa Dar aliyekuwa na vitisho na muhongaji zaidi ya Bashite? Alikuwa anatumia cheo chake kwa manufaa yake binafsi na kujitapa kuwa uhusiano wake na mama Suluhu utambeba ingawa wananchi wamemkataa!!
 
Hivi kwani utaratibu ukoje kwa Takukuru ikishapata uthibitisho wa Mtu kutoa au kupokea Rushwa? Je ili kumchukulia hatua ikiwemo kumpeleka Mahakamani, inapaswa iombe ruhusa kutoka kwenye Chama? Je chama ukiwapotezea lakin wao Takukuru waba ushahidi, nao watawapotezea? Kwa kufanya hivyo haioni kuwa haitendi haki kwa wale wasio wanasiasa/CCM?
 
Waanzania ni walewale mkuu. CCM kunakuwa na rushwa kwa sababu mchuano unawahusu watu wengi. Hivyo kwa chama chochote chenye watia nia wengi rushwa ni lazima

Vyama vingi vya upinzani mgombea ndani ya chama ni m1 tu. Utatoa rushwa ili umshinde nani?
Kwahyo rushwa iendelee hivo hivo kisa watia Nia wengi
 
Enzi za funika kombe..hazipo tena, acha kuzungusha kichwa uone makengeza bwn, msimamo wa M/kiti, wasaidiz wake, Katibu Mkuu na sekretariat yote unajulikana..watu wenye sifa, hakuna sifa ya pesa kwenye sifa zilizotajwa! wakati mwngn sabab za kutoendelea kwetu kunatokana na watu wa aina ya huyu aliyeandika hapa, anazunguka zunguka wakat mambo yako wazi kabisa..huwezi ishinda rushwa kwa misemo ya kijinga jinga kama aliyotoa huyu, ni bora upate mtu safi hata km wanaccm hawamtaki lakini atafanya kazi nzuri kwa nchi..

Nakubaliana na wewe kuwa kama serikali imeamua kupiga vita rushwa ni lazima ifanye hivyo kwa vitendo. Inapobainika kuwa mshindi wa kura za maoni alitoa rushwa na akawa wa kwanza na katika wale aliowashinda wako watu safi ambao hawakutoa rushwa uamuzi unakuwa rahisi kuwa yula aliyetoa rushwa anakatwa na yule ambae hakutoa ndiye anayeteuliwa kuwa mgombea.

So far so good, tatizo linatokea pale wagombea wote wametoa rushwa na hiyo imedhihilika isipokuwa wamezidiana kete katika viwango walivyotoa!! Sasa hapo utamteua yule aliye honga kidogo na kumuacha yule aliyetoa dau kubwa au utamteua yule aliyetoa dau kubwa na kushinda?

Nimkumbushe kidogo mzee wa mafaili kuwa katika Uchaguzi za ccm huko nyuma hali kama hii iliwahi kujitokeza katika majimbo fulani fulani hivyo kuna precedent kama wanataka kazi yao iwe rahisi. Uamuzi wa wakati ule ulikuwa, kwavile wagombea wate walijulikana Kuwa walihonga na tofauti Yao ni dau walilotoa basi yule aliye shinda kura za maoni ndiye aliyeteuliwa kuwa mgombea.
 
Hivi kwani utaratibu ukoje kwa Takukuru ikishapata uthibitisho wa Mtu kutoa au kupokea Rushwa? Je ili kumchukulia hatua ikiwemo kumpeleka Mahakamani, inapaswa iombe ruhusa kutoka kwenye Chama? Je chama ukiwapotezea lakin wao Takukuru waba ushahidi, nao watawapotezea? Kwa kufanya hivyo haioni kuwa haitendi haki kwa wale wasio wanasiasa/CCM?
Inashangaza sana.
 
Nakubaliana na wewe kuwa kama serikali imeamua kupiga vita rushwa ni lazima ifanye hivyo kwa vitendo. Inapobainika kuwa mshindi wa kura za maoni alitoa rushwa na akawa wa kwanza na katika wale aliowashinda wako watu safi ambao hawakutoa rushwa uamuzi unakuwa rahisi kuwa yula aliyetoa rushwa anakatwa na yule ambae hakutoa ndiye anayeteuliwa kuwa mgombea.

So far so good, tatizo linatokea pale wagombea wote wametoa rushwa na hiyo imedhihilika isipokuwa wamezidiana kete katika viwango walivyotoa!! Sasa hapo utamteua yule aliye honga kidogo na kumuacha yule aliyetoa dau kubwa au utamteua yule aliyetoa dau kubwa na kushinda?

Nimkumbushe kidogo mzee wa mafaili kuwa katika Uchaguzi za ccm huko nyuma hali kama hii iliwahi kujitokeza katika majimbo fulani fulani hivyo kuna precedent kama wanataka kazi yao iwe rahisi. Uamuzi wa wakati ule ulikuwa, kwavile wagombea wate walijulikana Kuwa walihonga na tofauti Yao ni dau walilotoa basi yule aliye shinda kura za maoni ndiye aliyeteuliwa kuwa mgombea.
Hapo ndio unakuwa umepambana na rushwa!?
 
Itoshe tu kusema kua majimbo yote walioshinda Ni wale walioongoza kwa kutoa rushwa which means rushwa ilitawala kila jimbo
 
Na hapo wakifanya makosa ndipo na uchaguzi utakuwa mgumu kwao. Wajumbe wachague mtu wanaomuoma anafaa jimboni kwao theni kamat kuu iwapangie. Kitaumana
 
It is a way out when you are caught between a rock and a hard place as they are now!!! WaNAPAMBANA NA HALI YAO!
Solution; tuwapumzishe tu maana wao wameshindwa kupambana nayo badala yake wamesurrender na viongozi wakuu wa chama wamejiingiza kwenye mtego huo huo refer hamahama ya viongozi waliotokea upinzani ni rushwa tupu tena ikisimamiwa na ofisi kuu ya chama.
 
Itoshe tu kusema kua majimbo yote walioshinda Ni wale walioongoza kwa kutoa rushwa which means rushwa ilitawala kila jimbo

JIWE is NAIVE because he is trying to do the impossible within ccm; bila rushwa ccm cannot survive!! It is in its DNA.
The opposition should be celebrating because whichever decision they are going to make ,there will be a faction within the party that will be disgruntled hivyo watawasaiadia wapinzani kisirisiri!!
 
Solution; tuwapumzishe tu maana wao wameshindwa kupambana nayo badala yake wamesurrender na viongozi wakuu wa chama wamejiingiza kwenye mtego huo huo refer hamahama ya viongozi waliotokea upinzani ni rushwa tupu tena ikisimamiwa na ofisi kuu ya chama.

Haiwezekani wewe kama ni mtoa rushwa ukaweza kupiga vita rushwa kwa dhati; utakuwa mnafiki tu!!!
 
Hapa TAKUKURU imekuwa kama jumuiya ya ccm,shida ni kuwa watoa rushwa ni zaidi ya nusu ya watia nia wote wa ccm,kama takukuru wangeamua kuwapeleka mhakamani ingekuwa shida sana na mwenyekiti wetu wa ccm haeleweki,atujui upi ni msimamo wake kwenye suala la rushwa ndani ya ccm na pia huwa anabadilika kila uchao.Ndio maana takukuru wameona bora warudishe hili janga ndani ya ccm ili wao waamue wenyewe na sio kuwapeleka mahakamani.
 
Back
Top Bottom