Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,597
- 215,270
Afadhali sisi tunaokota nyinyi mnanunua makomboNa hivi wapinzani wamezoea kuokota makombo
Afadhali sisi tunaokota nyinyi mnanunua makomboNa hivi wapinzani wamezoea kuokota makombo
Wawakate tu waliotoa rushwa wote na wafanye uamuzi based na advantage ya mtu utendaji wake. Ila CCM kwa rushwa kiboko hadi viti maalumu rushwa, hichi chama kwa kweli kijifikirie mtu anayetoa rushwa hafai maana ni adui wa haki.
Wewe na nani mlimkataa Membe?Awamu hii ya Magufuli hakuna kopo litakalouzika upinzani. Yote yamebakia machakavu. Sasa unategemea Chadema wamchukue mtu kama Makonda? Waitara? Gambo? Sahau awamu hii. Kama tulimkataa Membe nani mwingine tutachukua?
Nitajie kombo hata moja lilinunuliwa na ccm? Au hujui maana ya makombo?Afadhali sisi tunaokota nyinyi mnanunua makombo
Na huyo ndio mbunge wa Kigamboni, watake wasitakeDr Ndungulile jina limerudi? Maana yeye anapendwa jimboni lakini uongozini hana Godfather.
Lisiporudi jina la Ndungulile ni sawa tu tutawapa upinzaniDr Ndungulile jina limerudi? Maana yeye anapendwa jimboni lakini uongozini hana Godfather.
Watawapa ushindi upinzani kirahisiNa huyo ndio mbunge wa Kigamboni,watake wasitake
Umuhimu wa rushwa ni mkubwa ndani ya CCM, Rushwa ndio koridani za CCM hivyo ni muhimu kwa kizazi kijacho cha CCM.
Mzee wa tungi sasa hivi anatafuna tu nazi, mihogo na karanga ikiwa ni matayarisho ya chujio la viti maalumuUmuhimu wa rushwa ni mkubwa ndani ya CCM, Rushwa ndio koridani za CCM hivyo ni muhimu kwa kizazi kijacho cha CCM.
Wawakate tu waliotoa rushwa wote na wafanye uamuzi based na advantage ya mtu utendaji wake. Ila CCM kwa rushwa kiboko hadi viti maalumu rushwa, hichi chama kwa kweli kijifikirie mtu anayetoa rushwa hafai maana ni adui wa haki.
Sijawahi kutoa rushwa yoyote Mimi aiseeNujibu kutoka moyoni na Mungu shahidi: umewahi kutoa rushwa?
Kumbe? Mimi pia nilikuwa najiuliza kunani pale CCM makao makuu? Huku polepole akijigamba kuwashikisha waheshimiwa wakubwa adabu mwaka huu. Hivi mwenyekiti akimgeuka atajiuzulu kwa msimamo wake kutosikilizwa?
Siku moja inatosha mtu kuhama chama na kuchukua fomu, acha wajidanganye.Sababu nyingine ya kuchelewa ni kwamba
Watakaokatwa wasiweze kwenda kwenye vyama vingine,kwani mchakato wa tume ya uchaguzi ya uchukuaji wa fomu utakuwa umeisha.