CHEKA UPIGWE
JF-Expert Member
- Dec 28, 2015
- 252
- 176
Hiyo namba 3 mistar mitatu ya mwisho weka mbal na watoto kabisa
Labda na waume zao nao ni wajeda!Nisaidie kumshangaa maana wengine aunt zetu ni wajeda kabisa lakin wanafamilia na wanaishi vizuri na waume zao.
KweliInategemea NTU na NTU wengine wanakuwa nao hawa kufanikisha mambo Yao, mwenye akili ataelewa
Koplo ajibu.1. Wewe hakuna unachokijua, uzi wako umekaa kifitnafitna baada ya kutoswa na askari.
2. Uandishi wako wa kudonyoadonyoa pia na umebase upande mmoja wa kuponda umesahau zipo familia za kiaskari nzuri zaid ya raia na maisha yanaenda.
3. Mwalimu Nyerere mtu mzito sana kwenye hili taifa kuliko hata baba yako, lakini umeshindwa kumnukuu vizuri, umechanganyachanganya na ufyoro wako hapo juu kisha unasema (Mwal Nyerere).
Ushauri: Zingatia hivyo vitu hapo juu kisha urekebishe uzi wako
Duh mkuuWakuu habari za muda huu.
Nitumie fursa hii kuwapa darasa vijana wenzangu wanaotarajia kua na wachumba au pengine wana wachumba tayari na wanapanga kufunga pingu za maisha.
Huu ndio ukweli kuhusu plan zenu kuwaoa askari wa kike, japo naweza kuwakwaza au kuharibu mipango ya baadhi ya watu lakini ukweli lazima usemwe na hatuwezi kutatua matatizo yetu kwa kujidanganya kwamba hayapo(Mwl. Nyerere).
Niende kwenye baadhi ya sababu ninazoweza kusema hupaswi kumuoa askari wa kike endapo unataka kua na ndoa imara na yenye furaha.
1. Hulka ya askari wa kike ni watu jeuri sana (hilo mnalifahamu sina cha kusema sana).
2. Askari wa kike wengi ni wahuni, kwao kugawa penzi sio tatizo maana wana ujasiri wa mafunzo mpaka ujasiri wa kufanya matendo ya hovyo. Kingine ni vema ukajua kazi ya uaskari ni kazi yenye mazingira magumu na kwa kawaida wanawake hawapendi ugumu kwenye maisha, sasa kinachofuata ni kuliwa na wenye mamlaka ili kupunguza ugumu wa mazingira ya kazi, hapa hutamkuta anapangwa zamu za ajabu ajabu, hutamkuta anakaa mazingira ya ajabu kama kijijini sana, kituo cha ajabu ajabu, utamkuta ofisini, kazi simple simple.
Ukiona hivyo mara nyingi ndo basi tena, ukiona manyoya ujue kaliwa.
3. Endapo utamuoa na ikatokea siku mmekosana basi jua kabisa kesi yenu itahamia kazini na huko kazini kesi yenu itashughulikiwa kwa kutegemea rank zenu na sio kwamba nyie ni mume na mke(endapo wewe na mkeo mtakua wote ni askari).
Sasa kibaya zaidi mkeo awe na rank kubwa kukuzidi nakwambia utashughulikiwa vilivyo, kesi ya kumpiga makofi mkeo itageuka na kuitwa kesi ya wewe kumpiga kiongozi wako wa kijeshi,nakwambia utajuta ndipo utakapotambua mpapai haufai kwa mbao.
4. Kwa nature ya kazi yao ni vigumu kutekeleza majukumu yao kama wanandoa maana ratiba zao hazieleweki, akiitwa kazini saa tano usiku huwezi kukataa maana kaitwa na boss,sasa je wewe una uhakika gani kwamba huo wito ni wa kikazi(halali).
Sikatai, wapo askari wa kike wastaarabu sana tu na wameolewa,ila ukifuatilia asilimia za waliowengi ni matatizo matupu.
Najua sio kila mtu atakubaliana na hili, nami nakaribisha mawazo tofauti maana sio dhambi ila ukweli ninaoufahamu ndio huo hapo juu, wengine matomaso siku yakiwakuta watakumbuka huu uzi, nawahakikishia iko siku baadhi yenu mtasema "Natoka hapa" aliwahi kuandika uzi flani tukaupuuza.
Sisemi watu msioe askari,ninachosema hapa ni kuwapa alert mjue kama mnaelekea huko mjiandae vipi kukabiliana na changamoto, kingine akili za kuambiwa changanya na za kwako, ikumbukwe maneno yangu sio sheria.
Naishia hapa najua kuna wenzangu mnajua sababu nyingine mnaweza kuongezea.
NB:Sijataja jeshi lolote wala chombo chochote kutoka nchi yoyote.
Ieleweke kwamba uzi huu ni universal.
Nawasilisha.
Namba tatu ni shida.Wakuu habari za muda huu.
Nitumie fursa hii kuwapa darasa vijana wenzangu wanaotarajia kua na wachumba au pengine wana wachumba tayari na wanapanga kufunga pingu za maisha.
Huu ndio ukweli kuhusu plan zenu kuwaoa askari wa kike, japo naweza kuwakwaza au kuharibu mipango ya baadhi ya watu lakini ukweli lazima usemwe na hatuwezi kutatua matatizo yetu kwa kujidanganya kwamba hayapo(Mwl. Nyerere).
Niende kwenye baadhi ya sababu ninazoweza kusema hupaswi kumuoa askari wa kike endapo unataka kua na ndoa imara na yenye furaha.
1. Hulka ya askari wa kike ni watu jeuri sana (hilo mnalifahamu sina cha kusema sana).
2. Askari wa kike wengi ni wahuni, kwao kugawa penzi sio tatizo maana wana ujasiri wa mafunzo mpaka ujasiri wa kufanya matendo ya hovyo. Kingine ni vema ukajua kazi ya uaskari ni kazi yenye mazingira magumu na kwa kawaida wanawake hawapendi ugumu kwenye maisha, sasa kinachofuata ni kuliwa na wenye mamlaka ili kupunguza ugumu wa mazingira ya kazi, hapa hutamkuta anapangwa zamu za ajabu ajabu, hutamkuta anakaa mazingira ya ajabu kama kijijini sana, kituo cha ajabu ajabu, utamkuta ofisini, kazi simple simple.
Ukiona hivyo mara nyingi ndo basi tena, ukiona manyoya ujue kaliwa.
3. Endapo utamuoa na ikatokea siku mmekosana basi jua kabisa kesi yenu itahamia kazini na huko kazini kesi yenu itashughulikiwa kwa kutegemea rank zenu na sio kwamba nyie ni mume na mke(endapo wewe na mkeo mtakua wote ni askari).
Sasa kibaya zaidi mkeo awe na rank kubwa kukuzidi nakwambia utashughulikiwa vilivyo, kesi ya kumpiga makofi mkeo itageuka na kuitwa kesi ya wewe kumpiga kiongozi wako wa kijeshi,nakwambia utajuta ndipo utakapotambua mpapai haufai kwa mbao.
4. Kwa nature ya kazi yao ni vigumu kutekeleza majukumu yao kama wanandoa maana ratiba zao hazieleweki, akiitwa kazini saa tano usiku huwezi kukataa maana kaitwa na boss,sasa je wewe una uhakika gani kwamba huo wito ni wa kikazi(halali).
Sikatai, wapo askari wa kike wastaarabu sana tu na wameolewa,ila ukifuatilia asilimia za waliowengi ni matatizo matupu.
Najua sio kila mtu atakubaliana na hili, nami nakaribisha mawazo tofauti maana sio dhambi ila ukweli ninaoufahamu ndio huo hapo juu, wengine matomaso siku yakiwakuta watakumbuka huu uzi, nawahakikishia iko siku baadhi yenu mtasema "Natoka hapa" aliwahi kuandika uzi flani tukaupuuza.
Sisemi watu msioe askari,ninachosema hapa ni kuwapa alert mjue kama mnaelekea huko mjiandae vipi kukabiliana na changamoto, kingine akili za kuambiwa changanya na za kwako, ikumbukwe maneno yangu sio sheria.
Naishia hapa najua kuna wenzangu mnajua sababu nyingine mnaweza kuongezea.
NB:Sijataja jeshi lolote wala chombo chochote kutoka nchi yoyote.
Ieleweke kwamba uzi huu ni universal.
Nawasilisha.
Na ambao tumeshazaliwa na wanawake ambao ni askari tukafungue kesi ya rufani ili tuzaliwe mara ya pili?
Itabidi uwe deported si unasikia UN wamekataza ushirikiano kati ya tz na nk
Ithibitishie jamiiforums kwamba mimi niko Tanzania.
Otherwise kubaliana namimi kwamba niko North Korea.