Africa Tanzania
JF-Expert Member
- Jun 13, 2015
- 1,504
- 2,262
Umetoa wapi kibali cha kuzungumzia siri za wana dola?
Poti raia wanataka usiorewePumbafuuuuuu
Kwanini mkuuHahahaha.... ..mkuu wewe unaongoza jimbo gani?
Wana dola wa nchi gani maana mada yangu haijataja nchi wala jeshi loloteUmetoa wapi kibali cha kuzungumzia siri za wana dola?
Hao ni kwaajili ya kuwakama majizi yale yanapenda totozi yani unampa siri zote halafu unaangushiwa jumba bovuUnakuta kabinti kazuri na karembo sana eti askari, haya ni matumizi mabaya ya rasirimali watu, ni sawa na kwenda kuuza machungwa kwenye shule ya kata
Taratibu potikawaida huwa nawachukia watu wa Dizaini yako kuwazibia ridhki watu
Huu ni uchuro na uwanga na uchawi
Watu wakipendana Waoane
Who are you to judge?
Umekataliwa na Askari si bure
Haya anzisha Uzi tena wa Manesi na Walimu
Rihoo mbayaaaaaa!
Acha hizo 😀😀😀😀Nakuunga mkono mtoa uzi 100%