impongo
JF-Expert Member
- Feb 18, 2015
- 8,732
- 7,611
Hawa wengine unaweza kumsimamia ila hawa wa jesh wameshindikanjaHumu watu wanapayuka na hawaelewi wanachokikanusha na kukitetea juu ya hoja ya mtoa mada.
Ila kasahau kutaja na kujumuisha baadhi ya kada zenye wanawake maharage ya mbeya pia.
Kada ya waalimu na maness ni kundi moja la nyani.
Utaona huyu ni ngedere ama nyani ama kima lakini ni wale wale.