Jifanye kidume lakini tambua kwamba ofisini kwa mkeo lazima kuna mwanaume anatoka nae kimapenzi

lazima ukae

JF-Expert Member
May 15, 2013
789
383
Hii sio meme, huu ni ukweli ulio wazi

Siku hizi maisha ni kusaidiana na katika kusaidiana huko ndio maana baba anafanya kazi na mama pia anafanya kazi.

Ofisini kuna mambo mengi yanaendelea ikiwemo mabosi kuwataka kimapenzi wafanyakazi wao na hii mara nyingi hutokea kwa mabosi wa kiume kuwataka kimapenzi wafanyakazi wao wa kike ingawa hata mabosi wa kike baadhi yao hutoka kimapenzi na wafanyakazi wao wa kiume.

Wanawake wengine unakuta wao wenyewe ndio wanajilengesha kwa mabosi zao ili tu waongezwe mshahara au wapandishwe cheo na wengine huwataka kimapenzi wafanyakazi wenzao wakigundua tu wanalipwa mishahara mara mbili zaidi yao.

Nakumbuka mwaka flani niliwahi ajiriwa na kampuni moja hapa town na siku za mwanzoni nikashangaaa baadhi ya wadada wanajua hadi mshahara wangu sasa nikajiuliza nani aliewaambia lakini nikahisi huenda muhasibu tulienae sio msiri na anatoa taarifa za mishahara ya watu kwa baadhi ya Staffs.

Niliona dada mmoja mke wa mtu anajilengesha sana kwangu na kuna muda kama watu sio wengi ofisini alikua anakuja kunikalia mapajani kabisa na wezere lake la haja.

Kama ingekua sio kuogopa kutembea na mke wa mtu yule dada ningeshapita nae sema huwa naheshimu sana mke wa mtu

Kiukweli maofisni kuna mambo mengi sana machafu yanafanyika kwa wake za watu na waume zao hawajui chochote. Mida ya lunch wengi ndo wanatumia kufanya uzinzi maana lisaa limoja linatosha sana kwa watu waliodhamiria kuvunja amri ya sita.

Kama mwanaume unajiweza kiuchumi basi muachishe kazi mkeo na badala yale mfungulie biashara atakayo yeye hii kidogo itapunguza hatari ya mkeo kuliwa na mabosi ambao wamekuzidi pakubwa mno kiuchumi.

Kinga ni bora kuliko tiba!
 
Hii sio meme, huu ni ukweli ulio wazi

Siku hizi maisha ni kusaidiana na katika kusaidiana huko ndio maana baba anafanya kazi na mama pia anafanya kazi.

Ofisini kuna mambo mengi yanaendelea ikiwemo mabosi kuwataka kimapenzi wafanyakazi wao na hii mara nyingi hutokea kwa mabosi wa kiume kuwataka kimapenzi wafanyakazi wao wa kike ingawa hata mabosi wa kike baadhi yao hutoka kimapenzi na wafanyakazi wao wa kiume.

Wanawake wengine unakuta wao wenyewe ndio wanajilengesha kwa mabosi zao ili tu waongezwe mshahara au wapandishwe cheo na wengine huwataka kimapenzi wafanyakazi wenzao wakigundua tu wanalipwa mishahara mara mbili zaidi yao.

Nakumbuka mwaka flani niliwahi ajiriwa na kampuni moja hapa town na siku za mwanzoni nikashangaaa baadhi ya wadada wanajua hadi mshahara wangu sasa nikajiuliza nani aliewaambia lakini nikahisi huenda muhasibu tulienae sio msiri na anatoa taarifa za mishahara ya watu kwa baadhi ya Staffs.

Niliona dada mmoja mke wa mtu anajilengesha sana kwangu na kuna muda kama watu sio wengi ofisini alikua anakuja kunikalia mapajani kabisa na wezere lake la haja.

Kama ingekua sio kuogopa kutembea na mke wa mtu yule dada ningeshapita nae sema huwa naheshimu sana mke wa mtu

Kiukweli maofisni kuna mambo mengi sana machafu yanafanyika kwa wake za watu na waume zao hawajui chochote.Mida ya lunch wengi ndo wanatumia kufanya uzinzi mana lisaa limoja linatosha sana kwa watu waliozamilia kuvunja amri ya sita.

Kama mwanaume unajiweza kiuchumi basi muachishe kazi mkeo na badala yale mfungulie biashara atakayo yeye hii kidogo itapunguza hatari ya mkeo kuliwa na mabosi ambao wamekuzidi pakubwa mno kiuchumi.

Kinga ni bora kuliko tiba!
Kila mtu ana akili zake si kila mtu ana akili ya kuendesha biashara kama usemavyo.
 
Kama mwanaume unajiweza kiuchumi basi muachishe kazi mkeo na badala yale mfungulie biashara atakayo yeye hii kidogo itapunguza hatari ya mkeo kuliwa na mabosi ambao wamekuzidi pakubwa mno kiuchumi.
Mkuu, wanawake uliowazungumzia hapa ni MALAYA.

Mke wa mtu hawezi fanya huo ujinga, ukiona anafanya basi ujue ni MALAYA ambae kajificha kwenye kivuli cha NDOA.

Mwanaume unatakiwa ujue ya kuzingatia, ili uachane na mambo ya kijinga ya kumfuatilia Mtu mzima ni jinsi gani anatumia UCHI wake ambao umemkuta nao na anatembea nao 24/7.

Be a Man, Focus na kupambana kiuchumi ili usije dhalilika uzeeni. Acha watumie NYUCHI zao kwa namna wanavyoona wao inawafaa. hasara ni kwao.
 
Hii sio meme, huu ni ukweli ulio wazi

Siku hizi maisha ni kusaidiana na katika kusaidiana huko ndio maana baba anafanya kazi na mama pia anafanya kazi.

Ofisini kuna mambo mengi yanaendelea ikiwemo mabosi kuwataka kimapenzi wafanyakazi wao na hii mara nyingi hutokea kwa mabosi wa kiume kuwataka kimapenzi wafanyakazi wao wa kike ingawa hata mabosi wa kike baadhi yao hutoka kimapenzi na wafanyakazi wao wa kiume.

Wanawake wengine unakuta wao wenyewe ndio wanajilengesha kwa mabosi zao ili tu waongezwe mshahara au wapandishwe cheo na wengine huwataka kimapenzi wafanyakazi wenzao wakigundua tu wanalipwa mishahara mara mbili zaidi yao.

Nakumbuka mwaka flani niliwahi ajiriwa na kampuni moja hapa town na siku za mwanzoni nikashangaaa baadhi ya wadada wanajua hadi mshahara wangu sasa nikajiuliza nani aliewaambia lakini nikahisi huenda muhasibu tulienae sio msiri na anatoa taarifa za mishahara ya watu kwa baadhi ya Staffs.

Niliona dada mmoja mke wa mtu anajilengesha sana kwangu na kuna muda kama watu sio wengi ofisini alikua anakuja kunikalia mapajani kabisa na wezere lake la haja.

Kama ingekua sio kuogopa kutembea na mke wa mtu yule dada ningeshapita nae sema huwa naheshimu sana mke wa mtu

Kiukweli maofisni kuna mambo mengi sana machafu yanafanyika kwa wake za watu na waume zao hawajui chochote.Mida ya lunch wengi ndo wanatumia kufanya uzinzi mana lisaa limoja linatosha sana kwa watu waliozamilia kuvunja amri ya sita.

Kama mwanaume unajiweza kiuchumi basi muachishe kazi mkeo na badala yale mfungulie biashara atakayo yeye hii kidogo itapunguza hatari ya mkeo kuliwa na mabosi ambao wamekuzidi pakubwa mno kiuchumi.

Kinga ni bora kuliko tiba!
Umesema kama sio kuogopa mke wa mtu ningeshapita nae, kuna maboss pia wanaogopa wake za watu kwahyo hawapiti nao wote.

Furaha ni ya muhimu ya wanawake achia wanawake bro, we wa kiume ujue !!!!
 
Umesema kama sio kuogopa mke wa mtu ningeshapita nae, kuna maboss pia wanaogopa wake za watu kwahyo hawapiti nao wote.

Furaha ni ya muhimu ya wanawake achia wanawake bro, we wa kiume ujue !!!!
Kumuwinda bosi sio rahisi kama kumuwinda mfanyakazi wa kawaida mana bosi ana kisu kirefu.
 
Back
Top Bottom