lazima ukae
JF-Expert Member
- May 15, 2013
- 789
- 383
Hii sio meme, huu ni ukweli ulio wazi
Siku hizi maisha ni kusaidiana na katika kusaidiana huko ndio maana baba anafanya kazi na mama pia anafanya kazi.
Ofisini kuna mambo mengi yanaendelea ikiwemo mabosi kuwataka kimapenzi wafanyakazi wao na hii mara nyingi hutokea kwa mabosi wa kiume kuwataka kimapenzi wafanyakazi wao wa kike ingawa hata mabosi wa kike baadhi yao hutoka kimapenzi na wafanyakazi wao wa kiume.
Wanawake wengine unakuta wao wenyewe ndio wanajilengesha kwa mabosi zao ili tu waongezwe mshahara au wapandishwe cheo na wengine huwataka kimapenzi wafanyakazi wenzao wakigundua tu wanalipwa mishahara mara mbili zaidi yao.
Nakumbuka mwaka flani niliwahi ajiriwa na kampuni moja hapa town na siku za mwanzoni nikashangaaa baadhi ya wadada wanajua hadi mshahara wangu sasa nikajiuliza nani aliewaambia lakini nikahisi huenda muhasibu tulienae sio msiri na anatoa taarifa za mishahara ya watu kwa baadhi ya Staffs.
Niliona dada mmoja mke wa mtu anajilengesha sana kwangu na kuna muda kama watu sio wengi ofisini alikua anakuja kunikalia mapajani kabisa na wezere lake la haja.
Kama ingekua sio kuogopa kutembea na mke wa mtu yule dada ningeshapita nae sema huwa naheshimu sana mke wa mtu
Kiukweli maofisni kuna mambo mengi sana machafu yanafanyika kwa wake za watu na waume zao hawajui chochote. Mida ya lunch wengi ndo wanatumia kufanya uzinzi maana lisaa limoja linatosha sana kwa watu waliodhamiria kuvunja amri ya sita.
Kama mwanaume unajiweza kiuchumi basi muachishe kazi mkeo na badala yale mfungulie biashara atakayo yeye hii kidogo itapunguza hatari ya mkeo kuliwa na mabosi ambao wamekuzidi pakubwa mno kiuchumi.
Kinga ni bora kuliko tiba!
Siku hizi maisha ni kusaidiana na katika kusaidiana huko ndio maana baba anafanya kazi na mama pia anafanya kazi.
Ofisini kuna mambo mengi yanaendelea ikiwemo mabosi kuwataka kimapenzi wafanyakazi wao na hii mara nyingi hutokea kwa mabosi wa kiume kuwataka kimapenzi wafanyakazi wao wa kike ingawa hata mabosi wa kike baadhi yao hutoka kimapenzi na wafanyakazi wao wa kiume.
Wanawake wengine unakuta wao wenyewe ndio wanajilengesha kwa mabosi zao ili tu waongezwe mshahara au wapandishwe cheo na wengine huwataka kimapenzi wafanyakazi wenzao wakigundua tu wanalipwa mishahara mara mbili zaidi yao.
Nakumbuka mwaka flani niliwahi ajiriwa na kampuni moja hapa town na siku za mwanzoni nikashangaaa baadhi ya wadada wanajua hadi mshahara wangu sasa nikajiuliza nani aliewaambia lakini nikahisi huenda muhasibu tulienae sio msiri na anatoa taarifa za mishahara ya watu kwa baadhi ya Staffs.
Niliona dada mmoja mke wa mtu anajilengesha sana kwangu na kuna muda kama watu sio wengi ofisini alikua anakuja kunikalia mapajani kabisa na wezere lake la haja.
Kama ingekua sio kuogopa kutembea na mke wa mtu yule dada ningeshapita nae sema huwa naheshimu sana mke wa mtu
Kiukweli maofisni kuna mambo mengi sana machafu yanafanyika kwa wake za watu na waume zao hawajui chochote. Mida ya lunch wengi ndo wanatumia kufanya uzinzi maana lisaa limoja linatosha sana kwa watu waliodhamiria kuvunja amri ya sita.
Kama mwanaume unajiweza kiuchumi basi muachishe kazi mkeo na badala yale mfungulie biashara atakayo yeye hii kidogo itapunguza hatari ya mkeo kuliwa na mabosi ambao wamekuzidi pakubwa mno kiuchumi.
Kinga ni bora kuliko tiba!