Zifahamu aina 7 za limbwata

Zifahamu aina 7 za limbwata

Acha visanga sasa wewe nae.
Kwani kusema mwanamke kwa mumewe atabaki kuwa mwanamke chuki na uadui viko wapi hapo.

Hata madame akirudi chumbani kwake kwa mumewe ni mke.sijui umeelewa.

Next time mfano wa bibi yako uutumie vizuri.
Mfano dhahiri wa adui wa mwanamke ni mwanamke huu hapašŸ‘‡
Kama mimi mwanamke najua kabisa mwanaume huyu ameoa...ana mke na watoto nyumbani lakini nitafanya kila aina ya figisu basi atoke yeye niingie mimi hata kama ninaufahamu ukweli.

Na sio wanawake wote ni maadui kwa wanawake wenzao hilo pia usilisahau
Sawa mkuu, ni kweli
 
Ni kama kugeuza dish la azam
Kuna dem alienda kwa mganga kumkoleza mme wa mtu, huko akaambiwa mke wake kamfunga ila usijali tutamtengeneza

Huku mke kafunga, mchepuko anafungua halafu nae afunge kivyake,
wanaume wanapitia mengi sana, ndio maana hata hutangulia kufa walah!!!!
 
Bila shaka mzee wangu yule mama wa kilangi kumfanyia haya eti asinijari mimi bali awajari watoto aliozaa naye, inauma sana
 
Mie limbwata langu Mahaba tuu...

Mtu fudenge analegezewa macho...
Sauti inalegezwa na kutoka kwa vituo...
Huku anadekezwa kwa Mahaba Matata.....

Aahahahahhahaaaa akijastuka amaliza wiki nzima kwangu .

K’ Platinum.
bibi bhana lol
 
Kuna dem alienda kwa mganga kumkoleza mme wa mtu, huko akaambiwa mke wake kamfunga ila usijali tutamtengeneza

Huku mke kafunga, mchepuko anafungua halafu nae afunge kivyake,
wanaume wanapitia mengi sana, ndio maana hata hutangulia kufa walah!!!!
numecheka hadi mbavu sina lol
 
Kuna mtu nataka nimroge tena huyu namchanganyia quote ya kaburi la mtoto mchanga naenda kuifanyia kigoma, ya kisomo naenda kilwa na nyingine nitnafanyia tanga yaani nachanganya mizim na majini mshenzi yule aonje maumivu maana anajifanya hasikii
 
Back
Top Bottom