Kasie
Platinum Member
- Dec 29, 2013
- 21,239
- 36,274
inabidi tufanye jambo la pamoja mim na ww
Rabekaa....😊
inabidi tufanye jambo la pamoja mim na ww
Halafu kuna mtu anaila hiyo nyama duh!!!!Aisee ndio maana magonjwa ya papuchi yamekuwa mengiiii,. kumbee..hivi kweli ukaweke nyama kwa bibi halafu ikae siku kadhaa jamanii si kutafuta fangasi na magonjwa yasoeleweka!? Aarggh😫🤮
😂😂😂😂😂😂😂Hapo ndio una wake 4 na michepuko mi3 na kila mmoja akupe limbwata lake , kumbe ndio maana machizi wengi wanaume
Yaani wanachanganyikiwa maskini mpaka wanakosa nguvu za kiume jamanii,..looh ila wakomage na wao hawatulii😄acha warogwe tuu wengine,Halafu kuna mtu anaila hiyo nyama duh!!!!
Ndio maana akili za wanaume sometimes hazieleweki wanafanyiwa mengi ni wa kusamehe tu bure.
Imagine mke amlishe, michepuko nayo imlishe kuna mtu hapo?!
Haki wanaume wanakufa na mengi mno..Mungu azidi kusimama nao.kutunza familia,maisha bado ni magumu,bado hajalogwa mke/mchepuko 🙆♀️🙆♀️🙆♀️Bwana wa majeshi awatetee hakuna namna
Na nyie muache kufungua fungua hizo zip zenu ovyo...ndo maana mnalogwaEndelea kutuombea mama hamna namna
Kuna dem alienda kwa mganga kumkoleza mme wa mtu, huko akaambiwa mke wake kamfunga ila usijali tutamtengeneza😂😂😂Yaani wanachanganyikiwa maskini mpaka wanakosa nguvu za kiume jamanii,..looh ila wakomage na wao hawatulii😄acha warogwe tuu wengine,
Wanaume wengine si ng'ombe tuu kama ng'ombe zingine...acha ziliwe nyama😂😂🏃🏃🏃Kuna dem alienda kwa mganga kumkoleza mme wa mtu, huko akaambiwa mke wake kamfunga ila usijali tutamtengeneza😂😂😂
Huku mke kafunga, mchepuko anafungua halafu nae afunge kivyake,
wanaume wanapitia mengi sana, ndio maana hata hutangulia kufa walah!!!!
Kwa kulogwa huko hamna nyama tena, wanafanya hizo ng'ombe kuwa maksai 😂😂😂Wanaume wengine si ng'ombe tuu kama ng'ombe zingine...acha ziliwe nyama😂😂🏃🏃🏃
. Ayajakukuta wanga(mwanamke) hana jema akikupangia tukio
Kulogwa kuna sababu nyingi zaid ya hiyo ya kufungua zipNa nyie muache kufungua fungua hizo zip zenu ovyo...ndo maana mnalogwa
Sawa mama tumeskia, maan tokea mchukue nchi tunawaheshimuNa nyie muache kufungua fungua hizo zip zenu ovyo...ndo maana mnalogwa
Hakuna ugomvi wenye kisasi kama wa kufungua zip kwa kila mwanamke.jitahidini kufunga zip zenu vinginevyo mtalogwa hadi pumzi maana na akili zenu zinalogwa mlichoachiwa ni pumzi sasa na pumzi iko mbioni kulogwa piaKulogwa kuna sababu nyingi zaid ya hiyo ya kufungua zip
😆😆😆😆😆 nimecheka kijinga sana.hata mwanamke awe raisi wa dunia...akifika kwa mwanaume yeye ni mwanamke kama wanawake wengine.HallelujahSawa mama tumeskia, maan tokea mchukue nchi tunawaheshimu
Wapo wanaologa ili wawe wanaume wao ndan ya nyumba, kwamba ata akifanya madudu usiwe na uwezo wa kumpazia sauti, wapo wanaologa kwaajir ya tamaa zao tu(wanataka wateke kila kitu ndan kuanzia mshahara wa mme )Hakuna ugomvi wenye kisasi kama wa kufungua zip kwa kila mwanamke.jitahidini kufunga zip zenu vinginevyo mtalogwa hadi pumzi maana na akili zenu zinalogwa mlichoachiwa ni pumzi sasa na pumzi iko mbioni kulogwa pia
Ameeen, Huu mwaka mmeamua😆😆😆😆😆 nimecheka kijinga sana.hata mwanamke awe raisi wa dunia...akifika kwa mwanaume yeye ni mwanamke kama wanawake wengine.Hallelujah
🙄 sasa tukiwafanya hivi si tutakuwa tumeolewa na mazombi kha!kazi kweli kweli.wanaume Salini sana maana kila mahali mnavutwa vutwa tu😁😁Wapo wanaologa ili wawe wanaume wao ndan ya nyumba, kwamba ata akifanya madudu usiwe na uwezo wa kumpazia sauti, wapo wanaologa kwaajir ya tamaa zao tu(wanataka wateke kila kitu ndan kuanzia mshahara wa mme )
Sio wanawake wote wona jua hili sasa🙄
Raha ya mwanaume ndani ni sauti ya kiume na kutimiza majukumu 😎
Unikumbuke kwenye sala zako🤗🤗Haki wanaume wanakufa na mengi mno..Mungu azidi kusimama nao.kutunza familia,maisha bado ni magumu,bado hajalogwa mke/mchepuko 🙆♀️🙆♀️🙆♀️Bwana wa majeshi awatetee hakuna namna
Acha visanga sasa wewe nae.Ameeen, Huu mwaka mmeamua
Pongezi kwenu kina wanawake
Ila magomvi na chuki sijui ,mtaacha lini baina yenu🤣🤣
Anyway bibi yangu alipata kuniambia Adui wa mwanamke ni mwanamke mwenyewe.Nimethibitisha hilo sio chini ya mara Laki mbili
RIP bibi