Zifahamu aina 7 za limbwata

Zifahamu aina 7 za limbwata

Haki wanaume wanakufa na mengi mno..Mungu azidi kusimama nao.kutunza familia,maisha bado ni magumu,bado hajalogwa mke/mchepuko 🙆‍♀️🙆‍♀️🙆‍♀️Bwana wa majeshi awatetee hakuna namna
Hapo ndio una wake 4 na michepuko mi3 na kila mmoja akupe limbwata lake , kumbe ndio maana machizi wengi wanaume
 
Wanawake na limbwata ni Kama Pete na kidole isipokuwa Mchamungu peke yake
 
Aisee ndio maana magonjwa ya papuchi yamekuwa mengiiii,. kumbee..hivi kweli ukaweke nyama kwa bibi halafu ikae siku kadhaa jamanii si kutafuta fangasi na magonjwa yasoeleweka!? Aarggh😫🤮


Pole sana mkuu.
 
Hivi limbwata la nn nyie ke, maneno matamu tu mie nishazingulika. Haya mambo ya siri kuna siku yatakuja fichuka na hutopenda. Sio fair game hiyo mjue! 😥
 
Back
Top Bottom