Crashwise
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 22,227
- 8,735
Si kadanganya bali wananchi wenyewe ndo wamesema kuwa Lissu anazuia michango. Hakika hawa akina Lissu wameingizwa chaka na akina Mbowe. Ukienda kilimanjaro, wananchi wanachangia kweli shughuli za maendeleo
inamaana pesa zao huwa anakaa nazo Lisu? kwahiyo unataka kusema wakiambiwa wamuue kinana watamuua kwasababu wameambiwa na lisu...hongera lisu kwa wananchi kukuunga mkono..