Website yake inaonesha kuwa tarehe 29 januari atakuwa na watu wote dar kwa ajili ya kufungua mwaka,inawezekana kuwa viwanja vya biafra kinondoni ila hawajasema.ubarikiwe.
Huyu mtu jamani ni mtumishi wa kiroho.?? Ni mfanyabiashara tuu, Ulizeni pale Peacock Hotel habari za bwana huyu,
Huyu mtu jamani ni mtumishi wa kiroho.?? Ni mfanyabiashara tuu, Ulizeni pale Peacock Hotel habari za bwana huyu,
Huyu mtu jamani ni mtumishi wa kiroho.?? Ni mfanyabiashara tuu, Ulizeni pale Peacock Hotel habari za bwana huyu,
Huyu mtu jamani ni mtumishi wa kiroho.?? Ni mfanyabiashara tuu, Ulizeni pale Peacock Hotel habari za bwana huyu,
Huyu mtu jamani ni mtumishi wa kiroho.?? Ni mfanyabiashara tuu, Ulizeni pale Peacock Hotel habari za bwana huyu,
Mwakasenge ndo nani vile.
huwa ni kuanzia mida ya saa nane, ni mapambio na kumsifu Mungu.
Kuanzia saa 10 anaanza kufundisha.
Afadhali amekuja, atusaidie ku-renew hizi roho zilizogoma kutakata.
Asante sana kwa taarifa. Ubarikiwe.
maneno yako yamenikosha
maneno yako yamenikosha
hata mimi amenichanganya,
kongosho kweli au macho yangu.