Lucas
JF-Expert Member
- Dec 3, 2011
- 2,457
- 1,108
huwa ni kuanzia mida ya saa nane, ni mapambio na kumsifu Mungu.
Kuanzia saa 10 anaanza kufundisha.
Afadhali amekuja, atusaidie ku-renew hizi roho zilizogoma kutakata.
Asante sana kwa taarifa. Ubarikiwe.
ndio maana nakakuwilaga nikikuona raha...
naomba ukihudhuria weka thread hapa ili wa mbali pia tupokee
SEBHA AKUSUNGULILE MBANGO JAKWE