Cheo cha makamu wa rais hakiwezi kufutwa yeye ni rais wa akiba. Kumbuka ikitokea rais aliko madarakani ameshindwa kufanya kazi na kuachia ngazi makamu wa rais ndiye anakuwa rais na kumalizia kipindi cha miaka mitano. Hii ni kwa mujibu ya katiba ya jamhuri ya muungano wa Tanzania ibara ya 37.5
Mpwa, naomba nikubaliwe kushindwa Mimi, ubingwa pata wewe, you are speaking on the behalf of somebody and am speaking on the behalf of the deserted public, naona hapo ndio kwenye tofauti, haya tuyaache bana, ukweli ni ukweli, haya ngoja niandae madodoso niende nikfanye research, maana STK, STJ na Polisi walipoonyeshwa kwenye TV na kwenye magazeti yalikuwa ni magari ya Familia ya Bilal na askari walikuwa ni Ndg zake Bilal...hii sio research? au hadi proposal kwanza? tusikremu
Pamoja na kutangaza kwa siku 2 kila mtaa wa jiji la mby watu hawakujitokeza kumpokea vp dr. Bilal, hii inaashiria nini?
unautani na wazanzibari, cheo cha uraisi wa zanzibar kidogo mkuu wakiamka hapa! Zanzibar ni nchi mkuuu tena uraisi wake sawa kabisaaa na wamkwere! Kama unabisha mwambie mkwere atoe amli yeyote kuhusu zanzibar!haijalishi katiba ya sasa inasemaje lakini je kuna umuhimu kweli wa kuweka cheo kikubwa hivi lakini kisicho na mamlaka yoyote ya kiutendaji na kuishia kukatakata tu vitambaa?hapana mkuu!!
Ndio maana dr. Shein aliamua kuachana na umakamu wa rais na kugombea urais wa zanzibar japo ki-protocol ni cheo kidogo kuliko cha makamu wa rais, hiki cheo kwa namna kilivyo sasa kinamfanya makamu wa rais autumie muda wake mwingi ofisini kusoma magazeti tu.
katika hali ambayo ilitegemewa makamu wa Rais ametua kwa kishindo mbeya huku akilakiwa na umati mkubwa wa watu.
Dr Bilal kaacha Historia Mbeya
yah kweli ametua kwa kishindo...hao watu si haba, wanaweza kufikia about 10% ya wale wa slaa kila anapopita
good job
We mkubwa sasa.naona mnaangaika pole, ndo hivyo katua mbeya kwa kishindo na kasi ya ajabu
Mkuu hivi unadhani JF akina Riziwani Kikwete, Kinje, January Makamba na watoto wa majambazi wote wanaotafuna keki ya taifa unadhani wanazuiwa kujiunga humu, hao wote wapo humu ila huwezi kuwatambuwa kwa username zao, bali utawatambuwa kwa thread zao na comment zao. kwahiyo wasikuumize kichwa, kimsingi wao wako humu kupigana JIHAD ya cyber war. thats it. usitegemee positive kutoka kwa akina jeykey, majimshindo & co. wewe unachopaswa kuelewa ni kwamba kwenye vita ya haki ushindi ni lazima, hiyo ndio salaamu yangu kwao. wako wapi Uday na Qusay? hawa ni watoto wa marehemu Saddam Hussein walikuwa ni makatili na kama miungu watu, lakini leo wako wapi? utawala wowote katili siku utakapoanguka hautabaki salama, hasira za wananchi hazitaishia kwa hao viongozi tu, bali na kwa familia zao zote. kumbuka kizazi chochote katili ili kisije kuchipuwa tena lazima kiangamizwe.
katika hali ambayo ilitegemewa makamu wa Rais ametua kwa kishindo mbeya huku akilakiwa na umati mkubwa wa watu.
Dr Bilal kaacha Historia Mbeya
NAONA MMEFUNIKWA mnahaa huku na huku
eti eeeh?? naona kweli kafunika hadi watu wanaesabika!katika hali ambayo ilitegemewa makamu wa Rais ametua kwa kishindo mbeya huku akilakiwa na umati mkubwa wa watu.
Dr Bilal kaacha Historia Mbeya
NAONA MMEFUNIKWA mnahaa huku na huku