njoro
Senior Member
- Dec 21, 2010
- 178
- 8
Pamoja na kutangaza kwa siku 2 kila mtaa wa jiji la mby watu hawakujitokeza kumpokea vp dr. Bilal, hii inaashiria nini?
Inaashiria UDINI TU!!!!!!!
Hotuba zake zote zinaboa saana na huwa anasoma karatasi bila hata kuangalia pembeni ili asikosee na anajidai kusoma eti kwa unyenyekevu kama mtakatifu fulani.
Hana mvuto kabisa huyu muzee na hana jipya yupo kwa ajili ya kuwatembeza wake zake Tanzania na alianza na kule serengeti.
Inaashiria UDINI TU!!!!!!!
katika hali ambayo ilitegemewa makamu wa Rais ametua kwa kishindo mbeya huku akilakiwa na umati mkubwa wa watu.
Dr Bilal kaacha Historia Mbeya
![]()