Kisu changariba
Member
- Oct 19, 2010
- 29
- 2
Inafahamika kuwa Chama chetu kina utaratibu wakusomba watu kwa Fuso kutoka maeneo mbali mbali ili kuwaghilibu wakubwa kuwa kinakubalika kwa wananchi. Hata hapa Mbeya umetumika utaratibu huo huo. Kigumu Chama Cha Mapinduziiiiii!