Ziara ya dr. Bilal (Mbeya) yadoda

Ziara ya dr. Bilal (Mbeya) yadoda

Inafahamika kuwa Chama chetu kina utaratibu wakusomba watu kwa Fuso kutoka maeneo mbali mbali ili kuwaghilibu wakubwa kuwa kinakubalika kwa wananchi. Hata hapa Mbeya umetumika utaratibu huo huo. Kigumu Chama Cha Mapinduziiiiii!
 
nadhani wengi waliokwenda nia yao ni kuona hata Sura ya makamu wa raisi inafananiaje coz kwa wengi mikoani ni mtu mgeni kwao, hana any poltical Impact kama anadorora ZNZ kwenye ngome yake ataweza Bar?
 
bnafsi kije chama chochote kile uswahilini kwe2 kama nina muda lazima nikawasikilize watakaloliongea. iwe ccm/ cdm ama chochote kile siwezi amini wingi wa wa2.watu wakijaa ndio nn sasa?wengine wanaenda kubuzi tu
 
hana issue Dk wa fizikia wa watu kafulia ........... amepoozeshwa umakamu baada ya kuchakachuliwa zenji ndo mana hata mvuto wa kisiasa hana kabisa.
 
naona mnaangaika pole, ndo hivyo katua mbeya kwa kishindo na kasi ya ajabu

Call spade a spade and not a big spoon!!!! Mnalazimisha umaarufu!!!!! Ndio maana mnazidi kuchemka!!!!! Kazi mnayo
 
Huyu mbuda muwahisheni kwa babu Loliondo, mnaona kilivyodhoofu pamoja na kula bata kote lakini ndiyo kwanza kinakongoroka
 
1m.jpg
Mbona ni picha zile za wakati wa kampeni.
 
Hivi mtu akidanganya laivu kama hivi ndo unamfanyaje? Maskini JeyKey kweli , akafu inawezekana ni wewe mwenyewe Jk maana unatia hurumaaaaaaaaaaaa, aghhh unatupotezea time bana ahggghhhh,,,,/./;l;kl/.;''/.;,,k.,;;...,.,/,/,.,;,'/,.,.,/,,/,/,/,.,;,;,p,,0,0,,,,0,,9,8,,7,7,,,..;,,/./,,,,/,.,,.,.,//..,';;,;
MMH.jpg

sura yakooo
 
hahaaaa safi sana...CCM wanatapatapa...Mwenyekiti wao naona yuko LOLIONDo anafakamia mikombe ya dawa naye akirudi ataenda chalinze kwa kishindo

Mkwele lazima atie timu Loliondo taarifa za inteligensia zipo wazi!
 
Ila Wandugu Hebu tuumize Vichwa vyetu Kidogo

1. Hivi JeyKey ameiweka hii Picha hapa Kwa Makusudi?

2. Kwa nini Aweke Picha za Kiongozi aliye katika Ziara za Kiserikali huku amevaa Nguo za Kichama yaani ionekane kwamba Bilal anafanya Shughuli za Kichama


Naamini JeyKey alikuwa na Malengo yake Dhalili ya Kuweka hizo Picha hapo

Kwamba CHADEMA waanze kulalamikia Ziara ya Vice Pres huko Mbeya kwamba anatumia Pesa ya Uma kufanya Shughuli za Kichama ili Baadaye waje waseme CHADEMA ni waongo. Lakini Janja yake watu kwisa Jua na Hampati Mtu hapa. Mwezi Ujao tunahamishia Maandamo yetu Mbeya so Mafisadi kaeni Mkao wa Kula

Njama zenu za Distract Agenja Muhimu za Kuweka Picha za Bilal za Uongo Zimefichuliwa Hadharani tafuteni Mbinu Mingine
 
Kwa wachunguzi utaona kwamba huyu mzee ana shida ndani yake, inaonekana wazi. Kwanza hakuna cha maana kilichompeleka huko hivyo anaonekana kuchoka.
Tofauti ni kwamba Chadema wanafanya kazi ya volunteer na kuna msemo usemao, "Nothing is stronger than the heart of a volunteer." (Hakuna kilicho na nguvu kama moyo wa mtu anayejitolea). Ni kwa sababu hiyo basi, Chadema wanapokuwa kwenye mikutano wanaonekana kama watu wanaoishi na si mfu.
 
Mbeya kwa sasa ni green. hiyo picha ya Jeykey ni uzushi. Watu tulikuwa tunaendelea na kazi zetu bila kujali kama huyo babu amekuja huku
 
Back
Top Bottom