Ziara ya dr. Bilal (Mbeya) yadoda

Ziara ya dr. Bilal (Mbeya) yadoda

naona mnaangaika pole, ndo hivyo katua mbeya kwa kishindo na kasi ya ajabu
mkuu huyu si ndo mlikuwa mnataka awe raisi wenu!? Ila kiukweli mvuto hana kabisaaa angemuweza kweli shalif huyu! Acheni mbwembwe wapemba ninyi.
 
Unaweza kutoa proof za fedha zenu zilizotumiwa na yeye na familia yake? No research no haki ya kuongea!

Hizi pesa zinakuhusu hata wewe, so rekebisha kwanza lugha yako au ulidhani walipewa offer ya kwenda kuishi mbugani kule? kama ni offer basi wangeenda peke yao bila walinzi na bila magari ambayo yanaendeshwa kwa fedha ya walipa kodi watoe wenye akili timamu kama CDM, au ulidhani nikitaja pesa hadi ziwe mkononi...bytheway..hayo ni mameo tu eti no research no right to speak.shauri yako
 
katika hali ambayo ilitegemewa makamu wa Rais ametua kwa kishindo mbeya huku akilakiwa na umati mkubwa wa watu.

Dr Bilal kaacha Historia Mbeya

ISMAN+1.jpg

YEAAAAH! Kishindo cha sisimizi nacho ni kishindo lakini!!!:blah::blah::blah:!!!
 
katika hali ambayo ilitegemewa makamu wa Rais ametua kwa kishindo mbeya huku akilakiwa na umati mkubwa wa watu.

Dr Bilal kaacha Historia Mbeya

ISMAN+1.jpg

YEAAAH! Kishindo cha sisimizi nacha ni kishindo!!!:blah::blah::blah:
 
naona mzee wa propaganda za ccm kabaki mmoja 2. tena yupo jamiiforums pekee. haya sasa chanzo cha ku2wekea picha za mtwara wakati wa kampen nn? dont think sote wajinga!
 
Ndio niliona picha kwenye gazeti, ni yeye. Lakini sina uhakika kama alitumia pesa ya walipakodi kupumzika SENAPA, hata yeye si anlipwa mshahara? Atakuwa alitumia mshahara wake, aahaaaa, ....nimekumbuka......walinzi wake, dereva.....walilipwa kutoka huko ulikosema......

Hahahaaa, umeniogopesha kwanza, kumbe uko vizuri kichwani kama mwana CDM wa ukweli...safiii sana, walitumia walinzi, magari, dereva ( au aliendeshwa na mwanae), na waandishi wa habri pia na mengine mengi ambayo yangeweza kutumiwa kwa maslahi ya wengi..au hamkuona ile shule juzi darasa moja linatumiwa na darasa la nne na la saba, yaani walichofanya ni madawati haya yamegeuzwa upande mwingine
 
Hizi pesa zinakuhusu hata wewe, so rekebisha kwanza lugha yako au ulidhani walipewa offer ya kwenda kuishi mbugani kule? kama ni offer basi wangeenda peke yao bila walinzi na bila magari ambayo yanaendeshwa kwa fedha ya walipa kodi watoe wenye akili timamu kama CDM, au ulidhani nikitaja pesa hadi ziwe mkononi...bytheway..hayo ni mameo tu eti no research no right to speak.shauri yako

Mkuu hata hapo hujatoa researched info! Hayo magari unayajua? Je, kama ilikuwa private na ikabaki private tabu iko wapi mzee? Hapa unazungumzia mbuga za Tanzania hivi angekuwa kaenda ughaibuni sio ndio ungekuwa na maandamano kabisa? Fikiri kabla ya kushambulia kwa kuwa si kila jambo lazima lishambuliwe! Narudia no research no right to open up your mouth
 
I don't buy this, stop foolin us your time is up!
 
Mkuu hata hapo hujatoa researched info! Hayo magari unayajua? Je, kama ilikuwa private na ikabaki private tabu iko wapi mzee? Hapa unazungumzia mbuga za Tanzania hivi angekuwa kaenda ughaibuni sio ndio ungekuwa na maandamano kabisa? Fikiri kabla ya kushambulia kwa kuwa si kila jambo lazima lishambuliwe! Narudia no research no right to open up your mouth
Mpwa, naomba nikubaliwe kushindwa Mimi, ubingwa pata wewe, you are speaking on the behalf of somebody and am speaking on the behalf of the deserted public, naona hapo ndio kwenye tofauti, haya tuyaache bana, ukweli ni ukweli, haya ngoja niandae madodoso niende nikfanye research, maana STK, STJ na Polisi walipoonyeshwa kwenye TV na kwenye magazeti yalikuwa ni magari ya Familia ya Bilal na askari walikuwa ni Ndg zake Bilal...hii sio research? au hadi proposal kwanza? tusikremu
 
Dk Bilal,katua mby jana,hajafanya mkutano wowote wa hadhara,mapokezi yalikuwa na gari kama kumi,za viongozi wa ccm na serikali tu.huo umati umeukuta wapi.kumbe kirefu cha Jk, ni Jinga Kubwa
 
Watu wengine bana, wana kichefuchefu kibayaaaaaa, kama waja wepesi........sijatukana mtu
 
Ziara ya Dr Bilal mbeya ni ya kiserikali;Makamu w Rais akiwa kwenye shughuli za kiserikali hawezi vaa magwanda ya chama na likely picha hii ni wakati wa kampeni za uchaguzi mkuu;huyu nae Jeykey kaongopa kama mwenzake John na please mods tupeni mwongozo wa adhabu ya mtu kama huyu anayepotosha wasomaji wa Jamii yetu!

Mkikaa kimywa bila kuwaadhibu watu kama hawa mtaishusha hadhi jukwaa letu hili!
 
makamu wa rais toka wakati wa kampeni hajavaa tena magwandaya chama na vilevile ana body guard siku hizi.wewe jk huna hata haya kusema uongo wa namna hiyo?
yaani unaidhalilisha nchi yetu makamu wa rais alindwe na kibabu kilichochoka namna hiyo?
kweli ccm ina wenyewe

Nimekuwa nikijiuliza sana; hivi kwa nini baadhi yetu hupenda sana uongo hata kwa mambo ambayo yako wazi? Jamani, uongo haujengi zaidi hubomoa na mbaya zaidi uongo ni wa kitambo tu lakini ukweli hauna mpinzani. Lakini sishangai, UONGO unaonekana kuwa kama sera rasmi ya CCM na wafuasi wao. Katika kila maneno 10 atakayoongea mwana-sisiem yeyote, 6 ni ya uongo - very bad. Taifa haliendeshwi hivyo ndugu zanguni.
 
Wana mbeya wamempokea kwa kishindo

Kaenda kichama kumbe!!!!!!!!!!!! Nilifikiri kitaifa.. Aghrrrhh!! Hii ni campaign za 2010 acha propaganda..:A S 13::A S 13::A S 13::A S 13: Kadanganye chekechea !!!!
 
katika hali ambayo ilitegemewa makamu wa Rais ametua kwa kishindo mbeya huku akilakiwa na umati mkubwa wa watu.

Dr Bilal kaacha Historia Mbeya

ISMAN+1.jpg

Hahahahahahahahahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa.....ahahaaaaaahaaahaaaaaa.................hahahahaaaaaa....kwikwikwikwikwi...........duh kweli nimekubali sisiem kwa uchakachuaji....
 
Back
Top Bottom