Uchaguzi 2020 Ziara ya Dkt. Magufuli Kilimanjaro imebeba ajenda za msingi

Na Thadei Ole Mushi.

Watu wa Kilimanjaro sio wajinga kiasi hicho, watamchagua Rais Magufuli kwa Kura nyingi Sana kuliko wagombea wengine wa uraisi. Twende sawa na agenda zetu....

1. Kilimanjaro ina makabila mawili makubwa, Wachaga na wapare. Kwa silka ya makabila haya yapo profit oriented. Makabila haya haswa wachaga ni opportunist in nature.

Kuwa opportunist sio kosa au kitu kibaya kwa Kiingereza wanaelezewa watu wenye tabia hiyo kuwa huwa kila fursa inayojitokeza mahali huwa inatumika effectively ( *Opportunists are people who see a chance to gain some advantage from a situation,an opportunist seizes every opportunity to improve things for himself* )

Ndio maana wanakuambia kuwa ukiona mahali hayupo mchaga ondoka hakuna fursa Wala fedha.

Mwaka 2015 kwa jinsi Hali ya Mambo yakivyokuwa waliona kabisa kuwa Edward Lowassa atakuwa Rais, wakaamua kuside nao ili mambo yao yaende. Baada ya Uchaguzi hawakuamini kilichotokea.

2020 wanajua wazi kuwa uelekeo upo wapi leo kuanzia Mwanga Hadi Moshi mjini km 80.7 watu walisimama na majani ya Masale Kumpokea Rais Magufuli akitokea Same mkoani Kilimanjaro alikofanya mkutano Jana.

Kitendo hicho kimemgusa Sana Rais Magufuli na kwenye hotuba yake amerudia zaidi ya Mara 20 kuwa hakuwahi kupata Mapokezi makubwa kiasi hiki popote na haswa Mkoa wa Kilimanjaro.

Jani la *Isale* Lina maana nyingi lakini maana kubwa zaidi hutumika kumpokea mtu mwenye heshima na kuomba msamaha kwa watu waliokoseana. Kiutamaduni wa Kabila letu ukiombwa msamaha na Jani Hilo huna budi kuutoa msamaha huo. Rais Magufuli kalizungumzia Jani Hilo Mkoani hapa Kilimanjaro. Na amesema amesameheana na watu wa Kilimanjaro kwa makosa waliofanyiana mwaka 2015.

2. *Win win situation* nimeielezea Sana. Mara nyingi Rais Magufuli anasema kwenye Kampeni zake nichague nikuletee maendeleo. Hili halifichi huwa analisema hadharani. Mkoa wa Kilimanjaro una agenda nyingi ambazo zinatakiwa ziende ambazo zimekuwa haziendi.

Tuna Mambo makubwa matatu ambayo bila kura za kutosha tutaweza kuchelewa Sana kuvipata. Moja Moshi kupata hadhi ya Jiji. Hakuna mtu asiyejua faida za Jiji. Kihistoria Moshi ni mojawapo ya miji mikongwe Sana, kutanguliwa na Miji mingine kuwa Jiji ni aibu kubwa. Moshi ina Vigezo vyote kuwa Jiji. Watu wa kupush hili ni Mbunge anayeweza kufanya lobbying. Ni Dhahiri tukitaka huu mji uwe Jiji hata Kesho kutwa ni kuichagua CCM tu.

Jambo la Pili kubwa lipo Jimbo la Vunjo ambalo wanahitaji Sana kuwa na Halmashauri yao. Rais Magufuli kalizungunzia hili Sana. Hapa panahitaji political will yaani maamuzi ya kisiasa. Vunjo ikipata Halmashauri itarahisisha kujiletea maendeleo kwa haraka sana. Mji Mdogo wa njia panda unakua kwa haraka sana Kama Vunjo ikifanikiwa kujinasua Moshi Vijijini itaharakisha sana maendeleo ya eneo hili.

Jambo la tatu Kuna issue ya Barabara ambazo kwa muda mrefu wabunge wa Upinzani wameshindwa kufanya lobbying ya kukamilishwa kwake. Barabara zote za Old Moshi, Barabara ya Mabogini ambayo ni Kero Sana eneo hilo. Rais Magufuli kaizungumzia Barabara hii. Nani anayeweza kupishana na bahati hii?

3. Mkoa wa Kilimanjaro niliwahi kusema umebeba Mzigo wa Misumari. Gunia lenyewe ni kuwa Jamvi la Wapinzani. Yaani Wapinzani wamekuwa wakitaka kwenda Bungeni lazima wapitie Kilimanjaro. Kwangu Mimi ninavyoona Upinzani umedumaza Sana maendeleo ya Kilimanjaro.

Kudumaza maendeleo sio kwamba maendeleo hayapo Bali yapo Ila yaliletwa na watu wengine na sio Wapinzani. Tulipo tumesimama hatuendelei mbele matokeo yake tunaanza kupitwa kimaendeleo. Mkoa wa Kilimanjaro haupaswi kuwa Kama ulivyo. Hata Rais Magufuli kasema Mkoa wa Kilimanjaro unajichelewesha wenyewe. Kwa nature ya Wapinzani wa Taifa hili si watu wa round table si watu wa kufanya Lobbying ni watu wa kupinga kila kitu. Mkoa wa Kilimanjaro mwaka huu watajitua gunia hili la Misumari libebwe Tena na Singida au Mbeya. Hatuhitaji wabunge wakupinga tu, tunahitaji wabunge wanaoweza kufanya lobbying ya kumfuata rais Ikulu na kumuomba maendeleo ya maeneo yetu.

Wabunge wetu wamekuwa wakitumia nafasi zao za kibunge kujenga mahekalu ya nyumba nyumbani kwao huku wananchi wakibakia kupanua vidole tu. We need to change this kwa miaka Mitano tu.

4. Pamoja na Mambo Mengine leo Jambo la kufurahisha zaidi ni Askofu Mkuu KKKT kutokea kwenye Uwanja Leo na kufanya Sala ya kuombea Taifa.

Askofu Mkuu wa KKKT Dr Fredrick Shoo ni mojawapo ya watu wenye influence Sana kisiasa Mkoa Kilimanjaro.

Dr Shoo kwa namna Moja au nyingine amekuwa ana misimamo mikali Sana kuhusu Siasa za Tanzania Ila Kitendo Cha yeye kuwepo Kwenye mkutano leo wachambuzi wa Mambo ya kisiasa wamelitafsiri tofauti Sana na ni kiashiria Cha Rais Magufuli kukubalika na Makundi yote hata wale wenye msimamo mkali.

Rias bado anaendelea na Mikutano Mkoani Kilimanjaro. Tuendelee kulijadili Mkoa wetu na mustakabali wa maendeleo yetu. Kwa kichaga Kuna msemo usemao Mangi akikutembelea ndio wakati wa kumueleza shida za eneo husika. Kilimanjaro na Magufuli....

Ole Mushi

0712702602
We jamaa bana.. Moshi wanajielewa.. Yani mpaka umpigie mtu kura ndio akuletee maendeleo? maendeleo yanaletwa na kodi yako sio kura yako!
 
Na Thadei Ole Mushi.

Watu wa Kilimanjaro sio wajinga kiasi hicho, watamchagua Rais Magufuli kwa Kura nyingi Sana kuliko wagombea wengine wa uraisi. Twende sawa na agenda zetu....

1. Kilimanjaro ina makabila mawili makubwa, Wachaga na wapare. Kwa silka ya makabila haya yapo profit oriented. Makabila haya haswa wachaga ni opportunist in nature.

Kuwa opportunist sio kosa au kitu kibaya kwa Kiingereza wanaelezewa watu wenye tabia hiyo kuwa huwa kila fursa inayojitokeza mahali huwa inatumika effectively ( *Opportunists are people who see a chance to gain some advantage from a situation,an opportunist seizes every opportunity to improve things for himself* )

Ndio maana wanakuambia kuwa ukiona mahali hayupo mchaga ondoka hakuna fursa Wala fedha.

Mwaka 2015 kwa jinsi Hali ya Mambo yakivyokuwa waliona kabisa kuwa Edward Lowassa atakuwa Rais, wakaamua kuside nao ili mambo yao yaende. Baada ya Uchaguzi hawakuamini kilichotokea.

2020 wanajua wazi kuwa uelekeo upo wapi leo kuanzia Mwanga Hadi Moshi mjini km 80.7 watu walisimama na majani ya Masale Kumpokea Rais Magufuli akitokea Same mkoani Kilimanjaro alikofanya mkutano Jana.

Kitendo hicho kimemgusa Sana Rais Magufuli na kwenye hotuba yake amerudia zaidi ya Mara 20 kuwa hakuwahi kupata Mapokezi makubwa kiasi hiki popote na haswa Mkoa wa Kilimanjaro.

Jani la *Isale* Lina maana nyingi lakini maana kubwa zaidi hutumika kumpokea mtu mwenye heshima na kuomba msamaha kwa watu waliokoseana. Kiutamaduni wa Kabila letu ukiombwa msamaha na Jani Hilo huna budi kuutoa msamaha huo. Rais Magufuli kalizungumzia Jani Hilo Mkoani hapa Kilimanjaro. Na amesema amesameheana na watu wa Kilimanjaro kwa makosa waliofanyiana mwaka 2015.

2. *Win win situation* nimeielezea Sana. Mara nyingi Rais Magufuli anasema kwenye Kampeni zake nichague nikuletee maendeleo. Hili halifichi huwa analisema hadharani. Mkoa wa Kilimanjaro una agenda nyingi ambazo zinatakiwa ziende ambazo zimekuwa haziendi.

Tuna Mambo makubwa matatu ambayo bila kura za kutosha tutaweza kuchelewa Sana kuvipata. Moja Moshi kupata hadhi ya Jiji. Hakuna mtu asiyejua faida za Jiji. Kihistoria Moshi ni mojawapo ya miji mikongwe Sana, kutanguliwa na Miji mingine kuwa Jiji ni aibu kubwa. Moshi ina Vigezo vyote kuwa Jiji. Watu wa kupush hili ni Mbunge anayeweza kufanya lobbying. Ni Dhahiri tukitaka huu mji uwe Jiji hata Kesho kutwa ni kuichagua CCM tu.

Jambo la Pili kubwa lipo Jimbo la Vunjo ambalo wanahitaji Sana kuwa na Halmashauri yao. Rais Magufuli kalizungunzia hili Sana. Hapa panahitaji political will yaani maamuzi ya kisiasa. Vunjo ikipata Halmashauri itarahisisha kujiletea maendeleo kwa haraka sana. Mji Mdogo wa njia panda unakua kwa haraka sana Kama Vunjo ikifanikiwa kujinasua Moshi Vijijini itaharakisha sana maendeleo ya eneo hili.

Jambo la tatu Kuna issue ya Barabara ambazo kwa muda mrefu wabunge wa Upinzani wameshindwa kufanya lobbying ya kukamilishwa kwake. Barabara zote za Old Moshi, Barabara ya Mabogini ambayo ni Kero Sana eneo hilo. Rais Magufuli kaizungumzia Barabara hii. Nani anayeweza kupishana na bahati hii?

3. Mkoa wa Kilimanjaro niliwahi kusema umebeba Mzigo wa Misumari. Gunia lenyewe ni kuwa Jamvi la Wapinzani. Yaani Wapinzani wamekuwa wakitaka kwenda Bungeni lazima wapitie Kilimanjaro. Kwangu Mimi ninavyoona Upinzani umedumaza Sana maendeleo ya Kilimanjaro.

Kudumaza maendeleo sio kwamba maendeleo hayapo Bali yapo Ila yaliletwa na watu wengine na sio Wapinzani. Tulipo tumesimama hatuendelei mbele matokeo yake tunaanza kupitwa kimaendeleo. Mkoa wa Kilimanjaro haupaswi kuwa Kama ulivyo. Hata Rais Magufuli kasema Mkoa wa Kilimanjaro unajichelewesha wenyewe. Kwa nature ya Wapinzani wa Taifa hili si watu wa round table si watu wa kufanya Lobbying ni watu wa kupinga kila kitu. Mkoa wa Kilimanjaro mwaka huu watajitua gunia hili la Misumari libebwe Tena na Singida au Mbeya. Hatuhitaji wabunge wakupinga tu, tunahitaji wabunge wanaoweza kufanya lobbying ya kumfuata rais Ikulu na kumuomba maendeleo ya maeneo yetu.

Wabunge wetu wamekuwa wakitumia nafasi zao za kibunge kujenga mahekalu ya nyumba nyumbani kwao huku wananchi wakibakia kupanua vidole tu. We need to change this kwa miaka Mitano tu.

4. Pamoja na Mambo Mengine leo Jambo la kufurahisha zaidi ni Askofu Mkuu KKKT kutokea kwenye Uwanja Leo na kufanya Sala ya kuombea Taifa.

Askofu Mkuu wa KKKT Dr Fredrick Shoo ni mojawapo ya watu wenye influence Sana kisiasa Mkoa Kilimanjaro.

Dr Shoo kwa namna Moja au nyingine amekuwa ana misimamo mikali Sana kuhusu Siasa za Tanzania Ila Kitendo Cha yeye kuwepo Kwenye mkutano leo dio wachambuzi wa Mambo ya kisiasa wamelitafsiri tofauti Sana na ni kiashiria Cha Rais Magufuli kukubalika na Makundi yote hata wale wenye msimamo mkali.

Rias bado anaendelea na Mikutano Mkoani Kilimanjaro. Tuendelee kulijadili Mkoa wetu na mustakabali wa maendeleo yetu. Kwa kichaga Kuna msemo usemao Mangi akikutembelea ndio wakati wa kumueleza shida za eneo husika. Kilimanjaro na Magufuli....

Ole Mushi

0712702602
Yaani na akili zako zotee ndio umeandika huu UHARO hapa,kwanza nikuulize unaamini katika mfumo wa siasa za vyama vingi?kama kweli haya uyasemayo leo hii Marekani na nchi za Ulaya leo hii zingekuwa nyuma kimaendeleo umeeandika sana lakini ni ZERO nijuavyo mie na uelewa wangu mdogo ni kwamba bila vyama vingi kwa nchi haiwezi endelea hapa unaweza sema mbona China crazy.

Kama serikali na mgombea mwenye akili timamu baada ya uchaguzi anakuwa Rais wa wote huwezi lazimisha kila mtu kumpenda Pombe hata YESU KRISTO wapo watu leo hii hawakubaliana nae sembuse Pombe!Nijuavyo serikali ndio inakusanya kodi na kuwahudumia wananchi unaposemaa Moshi Kilimanjaro walikosea wamemkosea nani haswa, kwani wamemkosea nini huyo mtu?Hivi kodi za watu wa Moshi zaenda wapi au nani anazikusanya?This happening only in Tanzania watu wenye akili kutoka Mataifa mengine wakisoma huu ujumbe watadharau Watanzania wote kumbe sio wote wale wachumia Tumbo ndio wene kujitoa ufahamu.

Nikuulize swali moja Majimbo ya Mkoa wa Tanga yanaongozwa na Upinzani au yalishawahi kuongozwa na Upinzani ukiacha jimbo la Tanga mjini na je yana hali gaani waweza yafananisha na majimbo ya Vunjo na Rombo ambayo yako chini ya Upinzani hebu tuache kujitoa ufahamu.

Rais yoyote atakayechaguliwa anakuwa Rais wa Tanzania na anahudumia kila sehemu hata kama sehemu husika hawajampa kura hata moja lakini kwa kuwa ni Watanzania na walipa kodi lazima wapate huduma kupitia kodi zao.Pombe hajawahi na hatawahi kutoa pesa zake mfukoni ati ajenge kitu flani never pesa yote ni ya wavuja jasho full stop acheni ushamba wa ubaguzi wa kisiasa.

Kuhusu Dr Shaoo kuhudhuria amehudhuria kama kiongozi ambae sio mbaguzi kama Pombe alivyo kila anapoenda anatisha watu mara siwaletei maendeleo hivi yeye ndio anaatoa pesa yake mfukoni?Mlivyo wabaguzi Dr Shoo angeenda kwa mikutano ya Lissu usingeyasema haya kuwa ndio kukubalika kwa Lissu never sana sana ungeandika Dr Shoo kajihusisha na siasa mara ungesema Mkuu wa KKKT ajihusisha na siasa za upinzani.
 
Na Thadei Ole Mushi.

Watu wa Kilimanjaro sio wajinga kiasi hicho, watamchagua Rais Magufuli kwa Kura nyingi Sana kuliko wagombea wengine wa uraisi. Twende sawa na agenda zetu....

1. Kilimanjaro ina makabila mawili makubwa, Wachaga na wapare. Kwa silka ya makabila haya yapo profit oriented. Makabila haya haswa wachaga ni opportunist in nature.

Kuwa opportunist sio kosa au kitu kibaya kwa Kiingereza wanaelezewa watu wenye tabia hiyo kuwa huwa kila fursa inayojitokeza mahali huwa inatumika effectively ( *Opportunists are people who see a chance to gain some advantage from a situation,an opportunist seizes every opportunity to improve things for himself* )

Ndio maana wanakuambia kuwa ukiona mahali hayupo mchaga ondoka hakuna fursa Wala fedha.

Mwaka 2015 kwa jinsi Hali ya Mambo yakivyokuwa waliona kabisa kuwa Edward Lowassa atakuwa Rais, wakaamua kuside nao ili mambo yao yaende. Baada ya Uchaguzi hawakuamini kilichotokea.

2020 wanajua wazi kuwa uelekeo upo wapi leo kuanzia Mwanga Hadi Moshi mjini km 80.7 watu walisimama na majani ya Masale Kumpokea Rais Magufuli akitokea Same mkoani Kilimanjaro alikofanya mkutano Jana.

Kitendo hicho kimemgusa Sana Rais Magufuli na kwenye hotuba yake amerudia zaidi ya Mara 20 kuwa hakuwahi kupata Mapokezi makubwa kiasi hiki popote na haswa Mkoa wa Kilimanjaro.

Jani la *Isale* Lina maana nyingi lakini maana kubwa zaidi hutumika kumpokea mtu mwenye heshima na kuomba msamaha kwa watu waliokoseana. Kiutamaduni wa Kabila letu ukiombwa msamaha na Jani Hilo huna budi kuutoa msamaha huo. Rais Magufuli kalizungumzia Jani Hilo Mkoani hapa Kilimanjaro. Na amesema amesameheana na watu wa Kilimanjaro kwa makosa waliofanyiana mwaka 2015.

2. *Win win situation* nimeielezea Sana. Mara nyingi Rais Magufuli anasema kwenye Kampeni zake nichague nikuletee maendeleo. Hili halifichi huwa analisema hadharani. Mkoa wa Kilimanjaro una agenda nyingi ambazo zinatakiwa ziende ambazo zimekuwa haziendi.

Tuna Mambo makubwa matatu ambayo bila kura za kutosha tutaweza kuchelewa Sana kuvipata. Moja Moshi kupata hadhi ya Jiji. Hakuna mtu asiyejua faida za Jiji. Kihistoria Moshi ni mojawapo ya miji mikongwe Sana, kutanguliwa na Miji mingine kuwa Jiji ni aibu kubwa. Moshi ina Vigezo vyote kuwa Jiji. Watu wa kupush hili ni Mbunge anayeweza kufanya lobbying. Ni Dhahiri tukitaka huu mji uwe Jiji hata Kesho kutwa ni kuichagua CCM tu.

Jambo la Pili kubwa lipo Jimbo la Vunjo ambalo wanahitaji Sana kuwa na Halmashauri yao. Rais Magufuli kalizungunzia hili Sana. Hapa panahitaji political will yaani maamuzi ya kisiasa. Vunjo ikipata Halmashauri itarahisisha kujiletea maendeleo kwa haraka sana. Mji Mdogo wa njia panda unakua kwa haraka sana Kama Vunjo ikifanikiwa kujinasua Moshi Vijijini itaharakisha sana maendeleo ya eneo hili.

Jambo la tatu Kuna issue ya Barabara ambazo kwa muda mrefu wabunge wa Upinzani wameshindwa kufanya lobbying ya kukamilishwa kwake. Barabara zote za Old Moshi, Barabara ya Mabogini ambayo ni Kero Sana eneo hilo. Rais Magufuli kaizungumzia Barabara hii. Nani anayeweza kupishana na bahati hii?

3. Mkoa wa Kilimanjaro niliwahi kusema umebeba Mzigo wa Misumari. Gunia lenyewe ni kuwa Jamvi la Wapinzani. Yaani Wapinzani wamekuwa wakitaka kwenda Bungeni lazima wapitie Kilimanjaro. Kwangu Mimi ninavyoona Upinzani umedumaza Sana maendeleo ya Kilimanjaro.

Kudumaza maendeleo sio kwamba maendeleo hayapo Bali yapo Ila yaliletwa na watu wengine na sio Wapinzani. Tulipo tumesimama hatuendelei mbele matokeo yake tunaanza kupitwa kimaendeleo. Mkoa wa Kilimanjaro haupaswi kuwa Kama ulivyo. Hata Rais Magufuli kasema Mkoa wa Kilimanjaro unajichelewesha wenyewe. Kwa nature ya Wapinzani wa Taifa hili si watu wa round table si watu wa kufanya Lobbying ni watu wa kupinga kila kitu. Mkoa wa Kilimanjaro mwaka huu watajitua gunia hili la Misumari libebwe Tena na Singida au Mbeya. Hatuhitaji wabunge wakupinga tu, tunahitaji wabunge wanaoweza kufanya lobbying ya kumfuata rais Ikulu na kumuomba maendeleo ya maeneo yetu.

Wabunge wetu wamekuwa wakitumia nafasi zao za kibunge kujenga mahekalu ya nyumba nyumbani kwao huku wananchi wakibakia kupanua vidole tu. We need to change this kwa miaka Mitano tu.

4. Pamoja na Mambo Mengine leo Jambo la kufurahisha zaidi ni Askofu Mkuu KKKT kutokea kwenye Uwanja Leo na kufanya Sala ya kuombea Taifa.

Askofu Mkuu wa KKKT Dr Fredrick Shoo ni mojawapo ya watu wenye influence Sana kisiasa Mkoa Kilimanjaro.

Dr Shoo kwa namna Moja au nyingine amekuwa ana misimamo mikali Sana kuhusu Siasa za Tanzania Ila Kitendo Cha yeye kuwepo Kwenye mkutano leo wachambuzi wa Mambo ya kisiasa wamelitafsiri tofauti Sana na ni kiashiria Cha Rais Magufuli kukubalika na Makundi yote hata wale wenye msimamo mkali.

Rias bado anaendelea na Mikutano Mkoani Kilimanjaro. Tuendelee kulijadili Mkoa wetu na mustakabali wa maendeleo yetu. Kwa kichaga Kuna msemo usemao Mangi akikutembelea ndio wakati wa kumueleza shida za eneo husika. Kilimanjaro na Magufuli....

Ole Mushi

0712702602
Umeongea vizuri sana katika kuwaaminisha wakazi wa Moshi na Kilimanjaro kwa ujumla kuwa kasi yao ya maendeleo imedumazwa na wao kuegemea zaidi upande wa wapinzani kuliko Chama Tawala. Umewahakikishia kuwa wakijirekebisha na kuchagua kukabidhili uongozi wa mkoa wao na nchi yao kwa Chama Tawala basi maendeleo makubwa kama mji wao mpendwa wa Moshi kupewa hadhi ya Jiji na jimbo la Vunjo kuwa kupewa Halmashauri yake yatapatikana. Ungekuwa umewafanyia jambo jema sana wananchi wa Kilimanjaro kama ungewaonyesha jinsi mikoa ya Ruvuma, Tabora na Dodoma ilivyopaa kimaendeleo baada ya kutokitosa Chama Tawala hata mara moja. Kwa kuendelea kuwalaumu wabunge waliopita kwa kujijengea makasri wakati walio wachagua wanaendelea kupiga miyao. Ingekuwa vyema kama ungeweka wazi majina ya wabunge hao na vyama vyao ambao walijenga hayo makasri baada ya kupata nafasi ya uongozi. Aidha, ungewahakikishia pia hao wananchi jinsi hali yao itakavyoboresha baada ya kuwa wanapata lifti kwenye hard top na V80 ya viongozi wao yakiwa full viyoyozi.

Amandla...
 
Na Thadei Ole Mushi.

Watu wa Kilimanjaro sio wajinga kiasi hicho, watamchagua Rais Magufuli kwa Kura nyingi Sana kuliko wagombea wengine wa uraisi. Twende sawa na agenda zetu....

1. Kilimanjaro ina makabila mawili makubwa, Wachaga na wapare. Kwa silka ya makabila haya yapo profit oriented. Makabila haya haswa wachaga ni opportunist in nature.

Kuwa opportunist sio kosa au kitu kibaya kwa Kiingereza wanaelezewa watu wenye tabia hiyo kuwa huwa kila fursa inayojitokeza mahali huwa inatumika effectively ( *Opportunists are people who see a chance to gain some advantage from a situation,an opportunist seizes every opportunity to improve things for himself* )

Ndio maana wanakuambia kuwa ukiona mahali hayupo mchaga ondoka hakuna fursa Wala fedha.

Mwaka 2015 kwa jinsi Hali ya Mambo yakivyokuwa waliona kabisa kuwa Edward Lowassa atakuwa Rais, wakaamua kuside nao ili mambo yao yaende. Baada ya Uchaguzi hawakuamini kilichotokea.

2020 wanajua wazi kuwa uelekeo upo wapi leo kuanzia Mwanga Hadi Moshi mjini km 80.7 watu walisimama na majani ya Masale Kumpokea Rais Magufuli akitokea Same mkoani Kilimanjaro alikofanya mkutano Jana.

Kitendo hicho kimemgusa Sana Rais Magufuli na kwenye hotuba yake amerudia zaidi ya Mara 20 kuwa hakuwahi kupata Mapokezi makubwa kiasi hiki popote na haswa Mkoa wa Kilimanjaro.

Jani la *Isale* Lina maana nyingi lakini maana kubwa zaidi hutumika kumpokea mtu mwenye heshima na kuomba msamaha kwa watu waliokoseana. Kiutamaduni wa Kabila letu ukiombwa msamaha na Jani Hilo huna budi kuutoa msamaha huo. Rais Magufuli kalizungumzia Jani Hilo Mkoani hapa Kilimanjaro. Na amesema amesameheana na watu wa Kilimanjaro kwa makosa waliofanyiana mwaka 2015.

2. *Win win situation* nimeielezea Sana. Mara nyingi Rais Magufuli anasema kwenye Kampeni zake nichague nikuletee maendeleo. Hili halifichi huwa analisema hadharani. Mkoa wa Kilimanjaro una agenda nyingi ambazo zinatakiwa ziende ambazo zimekuwa haziendi.

Tuna Mambo makubwa matatu ambayo bila kura za kutosha tutaweza kuchelewa Sana kuvipata. Moja Moshi kupata hadhi ya Jiji. Hakuna mtu asiyejua faida za Jiji. Kihistoria Moshi ni mojawapo ya miji mikongwe Sana, kutanguliwa na Miji mingine kuwa Jiji ni aibu kubwa. Moshi ina Vigezo vyote kuwa Jiji. Watu wa kupush hili ni Mbunge anayeweza kufanya lobbying. Ni Dhahiri tukitaka huu mji uwe Jiji hata Kesho kutwa ni kuichagua CCM tu.

Jambo la Pili kubwa lipo Jimbo la Vunjo ambalo wanahitaji Sana kuwa na Halmashauri yao. Rais Magufuli kalizungunzia hili Sana. Hapa panahitaji political will yaani maamuzi ya kisiasa. Vunjo ikipata Halmashauri itarahisisha kujiletea maendeleo kwa haraka sana. Mji Mdogo wa njia panda unakua kwa haraka sana Kama Vunjo ikifanikiwa kujinasua Moshi Vijijini itaharakisha sana maendeleo ya eneo hili.

Jambo la tatu Kuna issue ya Barabara ambazo kwa muda mrefu wabunge wa Upinzani wameshindwa kufanya lobbying ya kukamilishwa kwake. Barabara zote za Old Moshi, Barabara ya Mabogini ambayo ni Kero Sana eneo hilo. Rais Magufuli kaizungumzia Barabara hii. Nani anayeweza kupishana na bahati hii?

3. Mkoa wa Kilimanjaro niliwahi kusema umebeba Mzigo wa Misumari. Gunia lenyewe ni kuwa Jamvi la Wapinzani. Yaani Wapinzani wamekuwa wakitaka kwenda Bungeni lazima wapitie Kilimanjaro. Kwangu Mimi ninavyoona Upinzani umedumaza Sana maendeleo ya Kilimanjaro.

Kudumaza maendeleo sio kwamba maendeleo hayapo Bali yapo Ila yaliletwa na watu wengine na sio Wapinzani. Tulipo tumesimama hatuendelei mbele matokeo yake tunaanza kupitwa kimaendeleo. Mkoa wa Kilimanjaro haupaswi kuwa Kama ulivyo. Hata Rais Magufuli kasema Mkoa wa Kilimanjaro unajichelewesha wenyewe. Kwa nature ya Wapinzani wa Taifa hili si watu wa round table si watu wa kufanya Lobbying ni watu wa kupinga kila kitu. Mkoa wa Kilimanjaro mwaka huu watajitua gunia hili la Misumari libebwe Tena na Singida au Mbeya. Hatuhitaji wabunge wakupinga tu, tunahitaji wabunge wanaoweza kufanya lobbying ya kumfuata rais Ikulu na kumuomba maendeleo ya maeneo yetu.

Wabunge wetu wamekuwa wakitumia nafasi zao za kibunge kujenga mahekalu ya nyumba nyumbani kwao huku wananchi wakibakia kupanua vidole tu. We need to change this kwa miaka Mitano tu.

4. Pamoja na Mambo Mengine leo Jambo la kufurahisha zaidi ni Askofu Mkuu KKKT kutokea kwenye Uwanja Leo na kufanya Sala ya kuombea Taifa.

Askofu Mkuu wa KKKT Dr Fredrick Shoo ni mojawapo ya watu wenye influence Sana kisiasa Mkoa Kilimanjaro.

Dr Shoo kwa namna Moja au nyingine amekuwa ana misimamo mikali Sana kuhusu Siasa za Tanzania Ila Kitendo Cha yeye kuwepo Kwenye mkutano leo wachambuzi wa Mambo ya kisiasa wamelitafsiri tofauti Sana na ni kiashiria Cha Rais Magufuli kukubalika na Makundi yote hata wale wenye msimamo mkali.

Rias bado anaendelea na Mikutano Mkoani Kilimanjaro. Tuendelee kulijadili Mkoa wetu na mustakabali wa maendeleo yetu. Kwa kichaga Kuna msemo usemao Mangi akikutembelea ndio wakati wa kumueleza shida za eneo husika. Kilimanjaro na Magufuli....

Ole Mushi

0712702602
Hakika sisi tutamchagua Ndugu Magufuli awe tena Rais wa Jamhu ya Muungano wa Tanzania
 
Walifanya makosa gani?
Na Thadei Ole Mushi.

Watu wa Kilimanjaro sio wajinga kiasi hicho, watamchagua Rais Magufuli kwa Kura nyingi Sana kuliko wagombea wengine wa uraisi. Twende sawa na agenda zetu....

1. Kilimanjaro ina makabila mawili makubwa, Wachaga na wapare. Kwa silka ya makabila haya yapo profit oriented. Makabila haya haswa wachaga ni opportunist in nature.

Kuwa opportunist sio kosa au kitu kibaya kwa Kiingereza wanaelezewa watu wenye tabia hiyo kuwa huwa kila fursa inayojitokeza mahali huwa inatumika effectively ( Opportunists are people who see a chance to gain some advantage from a situation,an opportunist seizes every opportunity to improve things for himself )

Ndio maana wanakuambia kuwa ukiona mahali hayupo mchaga ondoka hakuna fursa Wala fedha.

Mwaka 2015 kwa jinsi Hali ya Mambo yakivyokuwa waliona kabisa kuwa Edward Lowassa atakuwa Rais, wakaamua kuside nao ili mambo yao yaende. Baada ya Uchaguzi hawakuamini kilichotokea.

2020 wanajua wazi kuwa uelekeo upo wapi leo kuanzia Mwanga Hadi Moshi mjini km 80.7 watu walisimama na majani ya Masale Kumpokea Rais Magufuli akitokea Same mkoani Kilimanjaro alikofanya mkutano Jana.

Kitendo hicho kimemgusa Sana Rais Magufuli na kwenye hotuba yake amerudia zaidi ya Mara 20 kuwa hakuwahi kupata Mapokezi makubwa kiasi hiki popote na haswa Mkoa wa Kilimanjaro.

Jani la Isale Lina maana nyingi lakini maana kubwa zaidi hutumika kumpokea mtu mwenye heshima na kuomba msamaha kwa watu waliokoseana. Kiutamaduni wa Kabila letu ukiombwa msamaha na Jani Hilo huna budi kuutoa msamaha huo. Rais Magufuli kalizungumzia Jani Hilo Mkoani hapa Kilimanjaro. Na amesema amesameheana na watu wa Kilimanjaro kwa makosa waliofanyiana mwaka 2015.

2. Win win situation nimeielezea Sana. Mara nyingi Rais Magufuli anasema kwenye Kampeni zake nichague nikuletee maendeleo. Hili halifichi huwa analisema hadharani. Mkoa wa Kilimanjaro una agenda nyingi ambazo zinatakiwa ziende ambazo zimekuwa haziendi.

Tuna Mambo makubwa matatu ambayo bila kura za kutosha tutaweza kuchelewa Sana kuvipata. Moja Moshi kupata hadhi ya Jiji. Hakuna mtu asiyejua faida za Jiji. Kihistoria Moshi ni mojawapo ya miji mikongwe Sana, kutanguliwa na Miji mingine kuwa Jiji ni aibu kubwa. Moshi ina Vigezo vyote kuwa Jiji. Watu wa kupush hili ni Mbunge anayeweza kufanya lobbying. Ni Dhahiri tukitaka huu mji uwe Jiji hata Kesho kutwa ni kuichagua CCM tu.

Jambo la Pili kubwa lipo Jimbo la Vunjo ambalo wanahitaji Sana kuwa na Halmashauri yao. Rais Magufuli kalizungunzia hili Sana. Hapa panahitaji political will yaani maamuzi ya kisiasa. Vunjo ikipata Halmashauri itarahisisha kujiletea maendeleo kwa haraka sana. Mji Mdogo wa njia panda unakua kwa haraka sana Kama Vunjo ikifanikiwa kujinasua Moshi Vijijini itaharakisha sana maendeleo ya eneo hili.

Jambo la tatu Kuna issue ya Barabara ambazo kwa muda mrefu wabunge wa Upinzani wameshindwa kufanya lobbying ya kukamilishwa kwake. Barabara zote za Old Moshi, Barabara ya Mabogini ambayo ni Kero Sana eneo hilo. Rais Magufuli kaizungumzia Barabara hii. Nani anayeweza kupishana na bahati hii?

3. Mkoa wa Kilimanjaro niliwahi kusema umebeba Mzigo wa Misumari. Gunia lenyewe ni kuwa Jamvi la Wapinzani. Yaani Wapinzani wamekuwa wakitaka kwenda Bungeni lazima wapitie Kilimanjaro. Kwangu Mimi ninavyoona Upinzani umedumaza Sana maendeleo ya Kilimanjaro.

Kudumaza maendeleo sio kwamba maendeleo hayapo Bali yapo Ila yaliletwa na watu wengine na sio Wapinzani. Tulipo tumesimama hatuendelei mbele matokeo yake tunaanza kupitwa kimaendeleo. Mkoa wa Kilimanjaro haupaswi kuwa Kama ulivyo. Hata Rais Magufuli kasema Mkoa wa Kilimanjaro unajichelewesha wenyewe. Kwa nature ya Wapinzani wa Taifa hili si watu wa round table si watu wa kufanya Lobbying ni watu wa kupinga kila kitu. Mkoa wa Kilimanjaro mwaka huu watajitua gunia hili la Misumari libebwe Tena na Singida au Mbeya. Hatuhitaji wabunge wakupinga tu, tunahitaji wabunge wanaoweza kufanya lobbying ya kumfuata rais Ikulu na kumuomba maendeleo ya maeneo yetu.

Wabunge wetu wamekuwa wakitumia nafasi zao za kibunge kujenga mahekalu ya nyumba nyumbani kwao huku wananchi wakibakia kupanua vidole tu. We need to change this kwa miaka Mitano tu.

4. Pamoja na Mambo Mengine leo Jambo la kufurahisha zaidi ni Askofu Mkuu KKKT kutokea kwenye Uwanja Leo na kufanya Sala ya kuombea Taifa.

Askofu Mkuu wa KKKT Dr Fredrick Shoo ni mojawapo ya watu wenye influence Sana kisiasa Mkoa Kilimanjaro.

Dr Shoo kwa namna Moja au nyingine amekuwa ana misimamo mikali Sana kuhusu Siasa za Tanzania Ila Kitendo Cha yeye kuwepo Kwenye mkutano leo wachambuzi wa Mambo ya kisiasa wamelitafsiri tofauti Sana na ni kiashiria Cha Rais Magufuli kukubalika na Makundi yote hata wale wenye msimamo mkali.

Rias bado anaendelea na Mikutano Mkoani Kilimanjaro. Tuendelee kulijadili Mkoa wetu na mustakabali wa maendeleo yetu. Kwa kichaga Kuna msemo usemao Mangi akikutembelea ndio wakati wa kumueleza shida za eneo husika. Kilimanjaro na Magufuli....

Ole Mushi

0712702602
 
Back
Top Bottom