peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 12,829
- 21,460
Ujio wako mkoa wa Kilimanjaro fedha zinaombwa kila mahali, na huna Habari fedha zinakusanywa tena Kwa fedhea kubwa.
Ulipanga safari bila kuwa na Bajeti ya safari zako mkoani Kilimanjaro? Kama utakuwa unaokota fedha Za kuomba omba Kwa watu , bora ujikalie huko uliko!
Ukitaka kuja jitegemee au CCM na UWT ikugharamie.
Unasababisha watu kusumbuliwa na michango na michango yenyewe haijulikani itatumika kununua nini na mapato na matumizi yake yanasimamiwa na nani?
Ulipanga safari bila kuwa na Bajeti ya safari zako mkoani Kilimanjaro? Kama utakuwa unaokota fedha Za kuomba omba Kwa watu , bora ujikalie huko uliko!
Ukitaka kuja jitegemee au CCM na UWT ikugharamie.
Unasababisha watu kusumbuliwa na michango na michango yenyewe haijulikani itatumika kununua nini na mapato na matumizi yake yanasimamiwa na nani?