bokassa
JF-Expert Member
- May 19, 2007
- 401
- 11
kama kweli TBC wanafikiri wana haki na Ze Comedy si waanze kuwatumia kama Ze Comedy halafu waone kama hawatafilisiwa hadi senti ya mwisho?
Duh!!! Mzee Mzima Mengi, kaamua kupapambana hata na vijana wanaojitafutia riziki!!? Kweli la uvumba halina ubani!!!!!