Slim5
JF-Expert Member
- Jan 7, 2014
- 28,374
- 38,248
Walisema ana undugu na SQUEEZERNilimkubali sana Dataz,wasanii wa kike nchi hii sijui wana matatizo gani! hawana mwendelezo mzuri.
Walisema ana undugu na SQUEEZERNilimkubali sana Dataz,wasanii wa kike nchi hii sijui wana matatizo gani! hawana mwendelezo mzuri.
Neema humwangukia mwenye bahati.
Mdogo wangu asante kwa upendo! Hilo ni hitaji muhimu la kiasili la binadamu kupenda na kupendwa ila mimi tayari dadaako Angel Nylon nimeshaweka tuo....penda sana yeyeAsante Dada hata Mshana?

Mshana ikianzishwa lugha ya imoj.. Utakuwa dictionary yetu wana jf wote..
unaijuaa vizuri sana
Sister P .....Zay b alitamba na hii
Zay B sasa yuko gado mashairi yamejaa kisado... (kumbe ndio maana alipotea! Mashairi ya kwenye kisado si chochote kwenye game)
Sister P alivuma na hii
Anakuja...Anakuja....Sister P Anakuja (Ana haki ya kupotea... tendo la kuja ni la sekunde)
Mdogo wangu asante kwa upendo! Hilo ni hitaji muhimu la kiasili la binadamu kupenda na kupendwa ila mimi tayari dadaako Angel Nylon nimeshaweka tuo....penda sana yeye![]()
![]()
![]()

Sawa mtaniUsilipe kisasi Mungu hapendi mtani

Hata mm nilikuwa namkubali sana yule shombe shombe inabidi tumuulize mwisho mwampamba alimpeleka wapi mkali wetu?Ilisaidia gemu kuchangamka lakin, kama walipigwa kwenye maslahi hilo ni jambo jingine
Mimi nilikuwa shabiki wa Rah P, sjui alienda wap yule.
Anafanya kazi bank ila cjajua bank ganiJamani mwingine ni Datas" yuko wapi huyu Dada? Tulikua naye pale lfunda Tech tunasoma.
Ki ukweli Rah P alikuwa ana imba hiphop with beauty ilikuwa safi sana.Hata mm nilikuwa namkubali sana yule shombe shombe inabidi tumuulize mwisho mwampamba alimpeleka wapi mkali wetu?
Aliachika? mbona naskia ukizalizwa huko majuu unaishi fresh tu na mshahara unapewa? kama mange mbna hana shida huyo bi mkubwaKi ukweli Rah P alikuwa ana imba hiphop with beauty ilikuwa safi sana.
Naskia alizalishwa huko US na mambo hayakuwa mazuri kwake
Me moreThat's Y I lahu yuuu![]()
![]()
![]()
![]()

AaahAliachika? mbona naskia ukizalizwa huko majuu unaishi fresh tu na mshahara unapewa? kama mange mbna hana shida huyo bi mkubwa