miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,805
- 49,104
bibie nawe una maneno mmmh na kasura kako basi tena
nakupenda pia
Asante sana mpenzi wangu miss chagga
cc gwijimimi
Kova ameweka ulinzi kama kwa watoto wa mbwa
Hapa naona kama kichwa kinauma uma hivi Bulldog hebu ninunulie panadol asie naona kichwa kinaniuma kiaina hapa
Halafu hayo maandishi ya gwijimimi kama yamekaa kifaransa vile na mimi sikielewi hebu nitafasarie tafadhali
Asante sana mkuu Bulldog miss chagga tutadrive hii wakati tunaelekea kumtembelea Ntuzu na mke wake ladyfurahia na Tized
binamu aliyekwambia kuwa mm ni mke wa Ntuzu ni nani? na nani ameadhinisha jambo hilo?
MM SIO MKE WAKE NAOMBA MFUTE KAULI HIYO NINA MUME WANGU HAPA MJENGONI
MSINICHAFULIE JINA LANGU HAPA BINAMU NILIKUWA NAKUTEGEMEA NAONA SASA
UMESHALISHWA YABINI NA HONGO TOKA USUKUMANI HIVYO SITAKI MNITANGAZE NDOA
NAYE HUYO SI MUME WANGU KABISA NASEMA SITAKI
ACHENI KUNICHAFULIA HALI YA HEWA HAPA MUME BONGO!!!! Thubutuuuuuuuuuu
Bulldog binamu yangu navyo kupenda jamani ijui kwa nini tumekuwa ndugu you always know what i need... i love u sana View attachment 167245always in my heart doo u kill me... afu ukija usije n ayule girl wako uwe unakuja mwenyewe
binamu aliyekwambia kuwa mm ni mke wa Ntuzu ni nani? na nani ameadhinisha jambo hilo?
MM SIO MKE WAKE NAOMBA MFUTE KAULI HIYO NINA MUME WANGU HAPA MJENGONI
MSINICHAFULIE JINA LANGU HAPA BINAMU NILIKUWA NAKUTEGEMEA NAONA SASA
UMESHALISHWA YABINI NA HONGO TOKA USUKUMANI HIVYO SITAKI MNITANGAZE NDOA
NAYE HUYO SI MUME WANGU KABISA NASEMA SITAKI
ACHENI KUNICHAFULIA HALI YA HEWA HAPA MUME BONGO!!!! Thubutuuuuuuuuuu
Hivi Nanjilinji yupo wapi siku hizi?bibie nawe una maneno mmmh na kasura kako basi tena
Kimenuka hapa mchana kweupe
Binamu ladyfurahia wala sijalishwa jibini na hongo huko usukumani kwanza sina mpango wowote na hao watu wa fujo na kulkazimisha kupendwa Ntuzu mwenyewe anatangaza ndoa kati yako na wewe na sisi hatuna idhini wala mamlaka kuingilia mapenzi ya watu wawili ndo maana tukakaa pembeni
Ila huu ni mzuka Ntuzu uko wapi uje uone huku kimenuka bana
cc Tized na mwallu na muuza ubuyu
miss u more cousin .... ujanikumbaatia mda ... nimemiss kumbatio lako
Asante sana mpenzi wangu miss chagga
cc gwijimimi
Hapa naona kama kichwa kinauma uma hivi Bulldog hebu ninunulie panadol asie naona kichwa kinaniuma kiaina hapa
Halafu hayo maandishi ya gwijimimi kama yamekaa kifaransa vile na mimi sikielewi hebu nitafasarie tafadhali
Najuta kuacha kazi Buchan
nahisi kuirudia kazi Yang spoon na hio ucousin wenu
Mr#rocky nakuheshim sana ila plz Mke Wa MTU Huyo
Sitajali we mwili jumba wala nn
Namwaga MTU mavi ila naomba isiwe ww maana Nana umeanza kununua ugomvi
HVO I lavu yuu unazompa Mke wangu kwanini usipeleke kwa mkeo na wanao ?
HV mnanitafuta nn kaki I wewe na huyo #bulldog ?
mwenzio kahonga gari kwann asimuhinge mkewe na wanae wakat tunawajua wanapanda Daladala daile?
T does not make any sense kumfanya mke Wa MTU mchepuko
Mmemfanya juz kasingizia an anaenda kwenye kitchen party kumbe kumpa mambo bulludogi?
Mwanawane this will be final warning
Hivi Nanjilinji yupo wapi siku hizi?
Sina la kusema Mr RockyKimenuka hapa mchana kweupe
Binamu ladyfurahia wala sijalishwa jibini na hongo huko usukumani kwanza sina mpango wowote na hao watu wa fujo na kulkazimisha kupendwa Ntuzu mwenyewe anatangaza ndoa kati yako na wewe na sisi hatuna idhini wala mamlaka kuingilia mapenzi ya watu wawili ndo maana tukakaa pembeni
Ila huu ni mzuka Ntuzu uko wapi uje uone huku kimenuka bana
cc Tized na mwallu na muuza ubuyu