Honey Faith
JF-Expert Member
- Aug 21, 2013
- 15,782
- 11,838
Kama unataka gari sema mkuu, maneno mengi mbona??
Na mie naomba zawadi?
Kama unataka gari sema mkuu, maneno mengi mbona??
Shangaa na hii
![]()
Asante sana mkuu Bulldog miss chagga tutadrive hii wakati tunaelekea kumtembelea Ntuzu na mke wake ladyfurahia na Tized
Wanawashaga kwa ku-push button mkuu, hakuna mafunguo tena
Unamaanisha nini mkuu? yaani sis ni wake zake Ntuzu? Natangaza kudai fidia ya Tshs 1.
Ina maana tukishatoka kumtembelea Ntuzu na mke wake ladyfurahia tunakuja kwako maana wewe ni bachelor mzoefu huna mke
Hahahahaaaa... Just kidding bro. Huyu miss chagga atakua na dhahabu aisee... anavyogombaniwa ni baraaa.... ila mwenye kisu kikali ndiyu mla nyama siku zote.
Ntuzu binamu nyama ya hamuUshemeji Shemeji eeeeh huku nazima TAA!
Shemeji Shemeji eeeeeeeeeee huku nazima taa!
Ubinamu binamu eeeeeeeeeee huku watu wanazima TAA!
Cc: Tized Mr Rocky mwallu miss chagga
Ntuzu binamu nyama ya hamuUshemeji Shemeji eeeeh huku nazima TAA!
Shemeji Shemeji eeeeeeeeeee huku nazima taa!
Ubinamu binamu eeeeeeeeeee huku watu wanazima TAA!
Cc: Tized Mr Rocky mwallu miss chagga
gwijimimi mume wangu mbona umekuwa mkali jamani ... kwani kwenye ndoa yetu ukumwona huyu yani umkumbuki kabisa kweli mume wangu uzee umekuiba duh![]()
Yaani ni balaa mkuu Tized kila mtu anayekuja hapa ni miss chagga na wengine wanatishia kuua mtu kisa miss chagga
Hapa ni balaa na Ntuzu bado ana hamu naye na anampenda hajakata tamaa
Yaaani unazidi kunipa machungu aisee wewe mbn x wangu alivyotuzawadia ile baiskeli ukasema ananihonga ikabidi niirudishe?
We mwanamke nikuoende vp au mpaka nivue nguo nibaki uchi unions chizi sio?
Yaaan kila nikitanzama hilo gari naongeza idadi ya risasi kwenye rifle yangu wallah ntamtundika huyo so called Shemej
Anashindwa kumjunulia mkewe ananunulia wake za with
Kwani mi sijui kwamba.mkewe anatembelea vile vivitz?
Nahisi yale maisha ya kuchinja kuku now yatakua kuchinja binadamu