Smile
JF-Expert Member
- Jul 18, 2011
- 15,347
- 11,610
ni kweli uyasemayo mkuu ila sometimes maisha yanaweza kumfanya binadamu kufanya jambo lolote hata kama sio haiba yake.unaweza kukuta mtu mwingine anayomisingi mizuri tu ila akaja kukwama mahali ile kujinasua na lile jambo akaingia kwenye njia isiyofaa shida ni mbaya sana mkuu kumbukaunajua hii kitu wengi wanaanzia shule kabisa! mtu hawezi kuweka juhudi kwenye masomo mwisho wasiku anaanza kutengeneza mazingira kwawalimu! akitoka hapo akienda mtaani kusaka kazi nakwenye anaendeleza! wanawake baadhi huwa hawajiamini! naasilimia kubwa niwale vilaza! mtu kama unajuhudi kwenye masomo hata walimu hawatapata loop hole yakukuchezea! watakupenda nakukuheshimu!