Zawadi ya ngono

unajua hii kitu wengi wanaanzia shule kabisa! mtu hawezi kuweka juhudi kwenye masomo mwisho wasiku anaanza kutengeneza mazingira kwawalimu! akitoka hapo akienda mtaani kusaka kazi nakwenye anaendeleza! wanawake baadhi huwa hawajiamini! naasilimia kubwa niwale vilaza! mtu kama unajuhudi kwenye masomo hata walimu hawatapata loop hole yakukuchezea! watakupenda nakukuheshimu!
ni kweli uyasemayo mkuu ila sometimes maisha yanaweza kumfanya binadamu kufanya jambo lolote hata kama sio haiba yake.unaweza kukuta mtu mwingine anayomisingi mizuri tu ila akaja kukwama mahali ile kujinasua na lile jambo akaingia kwenye njia isiyofaa shida ni mbaya sana mkuu kumbuka
 
Cant even thnk 'bt it. Kwangu itakua km kula haram, kuchuma haram.
Muhm kujiamini tu. Ndo mana hatuendelei, utakuta mtu hata haqualify lkn anapeta kuliko mwenye uwezo. Mungu awalaani wote wanaotoa na kula rushwa especially hii ya ngono kwani wanizibia rizk wenziwao. Ameen
 
mimi kila mwaka nachukua zawadi ya mfanyakazi bora niko vizuri am professional ujue kuna mahali hapahongeki besides sijasoma elimu zenu uchwara za bongo. niko na confidence na kazi yangu ipo kwenye damu yangu siitaji kuhonga k nipate kazi cause nauzika kila mahali dunia nzima usipime
Mhh... Huoni kuwa unaweza kuwa unapewa huo ufanyakazi bora kama hizo zawadi nyingine unazopokea, au kwa kazi ile nyingine? Mhh naogopa... Majibu yako!!!
 
ni kweli uyasemayo mkuu ila sometimes maisha yanaweza kumfanya binadamu kufanya jambo lolote hata kama sio haiba yake.unaweza kukuta mtu mwingine anayomisingi mizuri tu ila akaja kukwama mahali ile kujinasua na lile jambo akaingia kwenye njia isiyofaa shida ni mbaya sana mkuu kumbuka
nisahihi shida nimbaya je upande wapili(wanaume!) kwani wao hawapati shida? wanakabiliana nazo vipi? nikujiendekeza tu dada yangu!
 
nisahihi shida nimbaya je upande wapili(wanaume!) kwani wao hawapati shida? wanakabiliana nazo vipi? nikujiendekeza tu dada yangu!
sijui kama ni kujiendekeza au lah maana shida ikiwepo kila mtu ana resistance mechanism yake mkuu. sisi ni binadamu tupo tofauti
 
Hii inanikumbusha wadada wapenda dezo waliokuwa wakienda JKT enzi hizo. Bahati nzuri JKT imefutwa vinginevyo kwa ukimwi huu wa sasa wengi wangeangamia kwenye makucha ya maafande wenye uchu wa ngono.
 
1. Nimerudi lizzy, katika hili swala watoa zawadi ni wanawake ila lawama ziende pande zote mbili pamoja na jamii husika.
2. Case 1: Wakati nipo secondary kuna mdada alikuwa anatakwa na mwalimu kimapenzi. Yule dada alikuwa anakula fimbo kila siku bila sababu za maana na sometimes anatolewa nje wakati wa pindi. Mashtaka yakafika kwa mwalimu wa darasa ila hayakufanyiwa kazi, yakafika kwa mwalimu mkuu, mwalimu mkuu akamwambia avumilie maana anamaliza shule mwaka huo na hiyo shule haikuwa na mwalimu mwingine wa hilo somo kwa hiyo hawawezi kumfukuza. Mwisho wa siku sijui ilikuwaje ila majirani tuliona mwalimu na denti wanacheka pamoja, wanakula pamoja.
3. Case 2: kuna mdada flani wa chuo nae alizembea kufanya mtihani, kumfata professor prof akasema akitaka amsaidie huyo dada nae ajue namna ya kumsaidia. Mdada akaondoka pale, baada ya siku tatu akarudi kwa prof na bahasha yenye hela (anadai aliweka tsh 300,000). Kumkabidhi prof, prof akamrudishia ile bahasha akamwambia hakujua kama ana hela kiasi kile, achukue ile hela akatafute lodge/hotel na akishapata amjulishe. Mwisho wa siku sijui nini kiliendelea.
4. Case3: hii imemtoke rafiki yangu kabisaaa. Alikuwa anatafuta kazi, boss wa kampuni binafsi akamwambia aende bagamoyo siku ya ijumaa apelekee cv then atarudi kwao jumapili. Kampuni ipo dar, rafiki yangu na huyo bosi wote wanaishi dar ila cv ipelekwe bagamoyo. Hili likamshinda.
5. Nimejaribu kuelezea case moja moja katika kila level tupime uzito ingawa nina mifano mingi ya hivyo.
6. Sababu za zawadi ya rushwa:
7. 1.Uzembe. reference ni case 2. Kama mdada asingezembea mtihani ina maana asingekumbana na mauza uza ya prof. wanawake nao hujitakia na ndio maana yanawafika haya.
8. 2. kutokujiamini. Baadhi ya wadada hawajiamini kama wanaweza simama bila kushikwa mkono.
9. 3.kupenda mtelemko kama wengine walivyosema.
10. 4. mazingira kwa ujumla. Mazingira yanachangia kwa kiasi kikubwa na walimu wengi pamoja na maboss maofisini wamekosa maadili ya kazi. Refer case1.
11. Jibu la swali lako la 3: wapo wanaotoa rushwa huku hawapendi na wanajutia wanachofanya ila kwa namna moja au nyingine wanahisi hawawezi kufanikiwa bila kufanya hivo, watu wa hivyo kuna uwezekano wakawa walezi wazuri tu as hawatopenda kuona watoto wao wanapitia waliyoyafanya. Watu waliozoea mteremko sidhani kama watakuwa wazazi bora labda mazingira yawabadilishe tena baada ya kuwa na watoto.
Unaonaje hii ya kukubali kila zawadi unayopewa kwa mwanamke? Hi ni kwanini hawa wanaume wakupe wewe tu zawadi? Kwanini wasiwape wanaume wenzao? Eti mtu anauliza ukipewa zawadi ya gari hata kama unalo utakataa? Kweli ni lazima uchukue?? Hii ni dalili mbaya kwa mtazamo wangu? Au muonekano wako ni wa kuzawadiwa zawadiwa tu? Toa basi na wewe zawadi!
 
yote hayo n ni matokeo ya roho mbaya za wanaume kupenda kutumia udhaifu wa wanawake kujinufaisha kimwili. tuchukulie swala la ajira,suppose lizzy jinsi soko la ajira lilivogumu leo hii boss wa tbl hrm tena aseme anataka k katika wadada mia wangapi watakataa? maisha na wanaume ndo vinaharibu wadada.ila mimi namshukuru mungu toka la kwanza hadi chuo nilitumia akili yangu ata kazi yangu niliipata kiuhalali kabisa
ingawa watu hawaachi kuchonga ila ndo ukweli,
Hapa umechemka
 
Siwezi kukutumia vocha ya 500 bila kupata mrejesho ukisepa nakupiga roba ya mbao.
 
Unaonaje hii ya kukubali kila zawadi unayopewa kwa mwanamke? Hi ni kwanini hawa wanaume wakupe wewe tu zawadi? Kwanini wasiwape wanaume wenzao? Eti mtu anauliza ukipewa zawadi ya gari hata kama unalo utakataa? Kweli ni lazima uchukue?? Hii ni dalili mbaya kwa mtazamo wangu? Au muonekano wako ni wa kuzawadiwa zawadiwa tu? Toa basi na wewe zawadi!
mi najua ukipokea jiandae kutoa ila sio lazima utoe k, kama anakupa zawadi na wewe jijengee mazoea ya kumpa zawadi.
 
Rushwa ya ngono nimeona mengi sana wengine hata kabla hawajaombwa wanatoa wenyewe hii kitu imeishafanywa kama jambo la kawaida kati ya anayetoa na anayepokea..
 
katika taasisi nyingi hivi vitu vipo
ila vinafanyika guest huwezi viona kwa sana

ila men are devils
wanavictimise wanawake sana
i hate u meeen tukiwa kazini
i like you tukiwa mtaani

wewe vp si kweli mimi niko kwenye taasisi ambayo sijaona hicho kitu
sema source ya iyo data
 
wee Lizy
unaishi dunia ipi hiyo
ambayo mwanamme akikupa lazima ulipe?

Njoo uone huku kwetu kwa Tumbo
tunapokea na ukileta zako unaitiwa mwizi
inategemea na mazingira ya kupokea

Tofauti wapi?Deni ni deni tu aisee...liwe la pesa au kitu. Siku ukitakiwa kulipa itabidi ulipe vile unavyoweza.
 
Back
Top Bottom